Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Acheni kuharibu uzi wa watuMbege tu, sio issue. Muite Hope urassa aseme neno nifurahi🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kuharibu uzi wa watuMbege tu, sio issue. Muite Hope urassa aseme neno nifurahi🤣
Kuna kiongozi wa kuchaguliwa CCM anayepita bila TAKRiMA?...ThubutuuSamia aliona ya kazi gani, akamfurusha kwenye aridhi.
Na hata ukifuatilia uhalali wa Ubunge wake wawezakuta ni rushwa tupu!
Sasa tunaweza kuongea mambo ya wabunge wanaofukuzwa. Roho yangu imefurahi🤣Acheni kuharibu uzi wa watu
Huu ni Uzushi tu upuuzweWana Ilemela wameamua ! Wamemfukuza mbunge wao Angelina Mabula katika mkutano wa hadhara, wananchi wamelalamika kwamba kwa miaka karibu kumi hakuna alichofanya.
Mbombo ngafu! Ni dhahiri sasa Jimbo la Ilemela liko wazi.
View attachment 3064272
Leta ukweli isije kuwa we ndie mtoto wa Mabula mwenyeweHuu ni Uzushi tu upuuzwe
Kichwa chako kina ubongo au Funza ndio wanakusaidia kufikiri, uhakika upo kwasababu maendeleo hamna, ngoja nikuelezee kama mtoto wa chekechea, kama mbunge ameshindwa kuisimamia serikali ya jimbo lake kuhakikisha maendeleo yanaletwa jimboni kwake anahaja gani yakuitwa mwakilishi wa wananchi ?Nimeuliza wana uhakika gani hakupeleka kero yao bungeni au mahala panapohusika?
Kwani Tanzania kuna sehemu isiyo na kero ya wananchi? Masaki tu kule wanapokaa mabalozi na washua kuna kero hadi za takataka kutokusanywa kwa wakati!
Nchi hii wananchi kutokana na ujinga wenu mnapigana na msichokijua. Mbunge hakusanyi kodi, mbunge sio afisa masuhuli. Kwa katiba yetu hii mbunge ni boshen tu.
Siku mkipata akili vizuri mtajua shida ni Katiba yetu ndo mtafanya maamuzi sahihi. Ila kwa kuwa kwa sasa bado mna ujinga mwingi, endeleeni tu na ujinga wenu. Na mkiweza mtafukuza wabunge wote kila siku.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!Hata Samia tu hatumtaki ndo sembuse wabunge
Vipi jirani zenu Mbogwe yeye kawafanyia nini wanaMbogwe😅😅😅😅?🤭😂😂😂 bora na huyu wa kwetu huku ushi rombo katupambania pambania ana pa kuhemea💯
Ile video sidhani kama ni kweli japo yule mbunge hskubaliki huko kwaoDuh hii nje na ya Mtaturu Singida Mashariki?..maana niliona kwenye page ya Mh Sugu X, video ya huyo Mh Mtaturu na yeye, akivurushwa
Labda BAO la MKONO liwabebeHuo ndio ukwel, wasione tumekaa kimya wakadhani wameshida. Kiama chaja
Kodi wanalipa tu CCM?Wanaweza kuwa ni WA mtaa au kata Fulani tuu sio Jimbo Zima.
Mwisho Huwa mnanishangaza sana ,tuchukulie mnaleta Wabunge wa Upinzani Sasa watafanya nini na hela zinatoka Serikali ya CCM?
Hayo mambo Yana maana kama mtashika Dola kinyume na hapo mtasalia hivyo hivyo bora mrudishe ccm hao hao.
Maambukizi ya GEN Z ya Kenya.Wana Ilemela wameamua ! Wamemfukuza mbunge wao Angelina Mabula katika mkutano wa hadhara, wananchi wamelalamika kwamba kwa miaka karibu kumi hakuna alichofanya.
Mbombo ngafu! Ni dhahiri sasa Jimbo la Ilemela liko wazi.
View attachment 3064272
Wanaolipa wote ila utaratibu wa kuunda Serikali inawapa washindi kuamua matumizi ya hizo Kodi.Kodi wanalipa tu CCM?
Elimu elimuTangu lini kazi ya mbunge ikawa kuleta maendeleo kwa wananchi? Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania!
Hope urassaMbege tu, sio issue. Muite Hope urassa aseme neno nifurahi🤣
Mkuu endelea na kazi underground, thawabu yako ninayo🤣🤣
Ondoa shaka kaka mkubwa😁Mkuu endelea na kazi underground, thawabu yako ninayo🤣🤣