Ni kweli kabisa mkuuNi kweli ila kupigina hapana hasa kwa watu wazima watu watambue ukimpiga mtu mzima lazima kutakuwa na hali fulani ya chuki au kisasi hata watoto baadhi anaweza kuchukia mzazi wake kama kupiga itakuwa sehem ya kuelekezana
Hawa viumbe huwajui[emoji28][emoji28]Yanasameheka mkuu! Kupigana makofi siyo fresh kabisa! Kumbuka ulipoapa madhabuhuni ulisema huyu ni nyama katika nyama zangu na mifupa katika mifupa yangu. Sasa unapomdhaba makofi maanake unajipiga mwenyewe!
Yan naweza lala hata kijora 😃😃Pole sana , nadhani kuanzia hio siku hujafanya makosa..
Hujapenda broHivi naanzaje kukaa na mtu kaninunia? mara amebinua domo?
Aisee kuna watu mnajua kuvumilia!!! Tena akinuna mimi namuongezea makofi ya nguvu, nitamtimua kama fisi!!
Sibembelezi kisirani!! Akamnunie baba ake huko! Eboo!
Hakuna jipya.Hujapenda bro
🤣🤣🤣Ni kweli kabisa mkuu
Kupigana sio vizuri kwanza nguvu inatokaga wapi kumpga mtu anaekupikia akijaza pilipil msosi😄
Ulimzimisha nn?Ndugu zangu ishu ya kupiga wife mimi saiv nigekua jela mwaka wa nne saiv kwa maana hilo tukio kama lingetokea ningefungwa maisha aisee. Nmejiapisha sitajaribu kupiga mtoto wa mtu mi najijua nina hasira mbaya ya hatari.
Nahisi utakuwa una kitanda cha futi 6x6 au 5x6. ukiwa na kitanda cha 3x6 mara nyingi kununiana hakuzidi siku mbili. (kuna somo ndani hapo)Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Mwisho dk 45Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Haya mambo hayana mwenyewe! Hawa dada zetu akili zao wanazijua wenyewe, ukiishi na mwanamke ndani kuna mengi utayasikia na kuyaona.Kwanini amvizie wakati ni wa kwake?
Yeye ambembeleze tu maisha yaendelee.
Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Pole sn rafiki, hupewi chochote?Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Kiza kikiingia mitaa ya saa nane usiku hiviWakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?