Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Acha unafki wee icho chochote unacho?Pole sn rafiki, hupewi chochote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha unafki wee icho chochote unacho?Pole sn rafiki, hupewi chochote?
Patella huko dunian atakutafuta. Ishi nao kwa akili jombaaWakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Bado hujafikwa na hawa viumbe ten wakijua huwezi kuwagusa wao huchukulia kama weaknessYanasameheka mkuu! Kupigana makofi siyo fresh kabisa! Kumbuka ulipoapa madhabuhuni ulisema huyu ni nyama katika nyama zangu na mifupa katika mifupa yangu. Sasa unapomdhaba makofi maanake unajipiga mwenyewe!
Nikwambie dawa yake?Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Huo ni udhaifu na ndio maana Wanaume tuko wachache...Mwanaume aliekamilika hawezi kuikimbia nyumba yake kwa sababu ya maudhi ya mke...Mwanamke akikukosea ikiwa anaelekezeka muelekeze, na ikiwa haelekezeki muonye Kwa kumkalipia,,ikiwa hakalipiki mstue kidogo kumkumbusha kuwa nyumba ina mamlaka...usirudie kumpiga makofi mkeo kijana. Next time ukihisi hasira zinazidi kwa mdomo wake, we ondoka nenda mahali then after sometime ukishusha hasira rudi nyumbani kamuongeleshe asikukosee adabu, muelekeza hata kwa kumfokea atakuelewa, but dont take your hand on her please[emoji120]
Ewaaaaa!! Wewe sasa ndio wa kiumeWatu wanafki sana humu wanajidai ooh mwanamke hapigwi ooooh kesi hiyooo,
Kumbe wengi wao mpaka wake zao vibogoyo kwa vipigo na minundu
Kipigo hiko mimi kwa kweli pia nakipinga sana sana lakini kumlamba kofi moja na makonzi mawili hiyo lazima bi must ,
Wanawake wana mdomo sana ukijitia baby baby sanaaa anakutia kidole cha macho kwahiyo kadiria dozi mpe sio umvimbishe jicho mtoto wa watu hapana, au umrukie mateke kama unacheza mieleka hapana,
Kwenye kikao cha mwisho tulikubalina ni kofi moja na makonzi mawili
Na mkwara mzito sanaa, tuache unafki huko vijijini tulipokulia chumbani kwa mzee unakuta bakora kabisaa mnajua ni ya watoto hii kumbe ya watoto na mama yao.
Kama mjanja, masaa, piga shoo ya kufa mtu tu!Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Huyo mwanamke hakuwahi kumpenda huyo rafiki yako. Hayo makofi yalimsaidia kumjua mkewe! Mwambie rafiki yako aache ujinga wa kujiumiza kusiko sbabuSiku ukimkera sana na hana nguvu ya kukupiga atafanyaje kama anayekasirika ni kuchapana makofi? Kwanza kwa 80% hata akikusamehe ni mazoea yatabaki mapenzi hakuna, utapigwa matukio fulani ambayo hutajua kesho wala miaka ya karibuni.
N:B Kuna rafiki yangu aliwahi kumchapa mkewe makofi 2 tu na walikuwa wanapendana mno hadi tunawaonea wivu sisi. Na alimpiga kwa kitu kidogo tu, kumbe mwanamke anatafsiri kupigwa ni unyama, ni roho mbaya, humpendi n.k ALIONDOKA NA NDOA ILIVUNJIKA KABISA MWAKA 2023 mwanzoni. Sahivi rafiki yangu ana depression, mlevi anadai mwanamke kamtenda na kumuacha n.k. sasa sijaelewa alomtenda mwenzie nani wakati yeye kajifanya Tyson.
Ukila mzigo tu mchuno unaishaWakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
Ni sheria, mwanandoa hatakiwi kumnunia mwenza wake. Jeuri hii anaitoa wapi?Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi.
So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia.
Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
hamna nipendacho hapo.Unapenda kupigwa/kupigana??..
PoleniHaya mambo hayana mwenyewe! Hawa dada zetu akili zao wanazijua wenyewe, ukiishi na mwanamke ndani kuna mengi utayasikia na kuyaona.
Kuta ziendelee kutuficha
Nyie wenyewe ndio mnawafanya hawa viumbe wawe sugu! Mnachapanaje makofi watu mliooana? Mkijifanya wote mafahari hamfiki mbali! Kuna vitu vingi mwanaume ukipotezea wala hatakaa akusumbue tena!Bado hujafikwa na hawa viumbe ten wakijua huwezi kuwagusa wao huchukulia kama weakness
Basi unafaa kuwa wangu..hamna nipendacho hapo.