Wanangu msiogope kujenga, hapa nimetumia 6M

Kujenga sio kugumu Mkuu watu wasingejenga...hicho kibanda sio cha kukijadili..
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😪😪😥😥😥😥😥


Lete chaiii tuuu

Ukizani things is easy
 
Huyu kapiga picha karusha sidhani kama nyumba ni yake!
Huenda ni ya shemeji yake (mume wa dada yake)
 
Haifiki tofali 2000 hio. Labda 1,400 hivi. Nyumba inaonekana ni ya vyumba viwili vya kulala,sebule,jiko dogo na Choo. 6m kiugumu anaweza kutoboa.
Duu hivo vyumba vyote vinaenea kwenye hiyo nyumba?
 
Ukiwa unafanya kitu na huna hela ya kutosha kisimamie vizur utajua tatizo wewe unapga gharama mpaka za mtu kukusimamia jitambue broo usibishe kwenye vitu hujawahi fanya
Kwani huyo jamaa wa insta alitumia sh ngapi?
 
Tofali ngapi?
Bati ngapi?
Saruji mifuko mingapi?
Mchanga je?
Ngoja tuongeze;
Nondo ngapi?
Mbao ngapi?


Lakini tunaweza kumpinga mtoa mada kumbe Fundi alikuwa mwenyewe na mbao kwa kuwa amesema yupo Pwani huenda ametumia mbao za Minazi ya nyumbani kwao.

Though kila la kheri Mkuu, hapo ujipange kufanya finishing ya kiwango kuanzia tiles, kufunga vioo (Aluminums) na Rangi then mtu akijitokeza unampiga Milioni zako 45 unamuuzia.
 
Kwani huyo jamaa wa insta alitumia sh ngapi?
Hahaha........... Mkuu Glenn kwahiyo jamaa anatupiga fix hapa tuingie kujenga kichwa kichwa kwa milioni 6 aliyosema alafu tuje tufe kwa Presha ya nyumba kuishia kwenye lantor 😂😂
 
Hahaha........... Mkuu Glenn kwahiyo jamaa anatupiga fix hapa tuingie kujenga kichwa kichwa kwa milioni 6 aliyosema alafu tuje tufe kwa Presha ya nyumba kuishia kwenye lantor 😂😂
Iga ufe mkuu🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…