Mkuu uyo haelewi anachojaribu kukifikisha yani mimi kwanza nikiacha napata shida sana na matokeo ya mazoezi nayaona nina miaka zaida ya kumi naa nayaishi.Nike ndio walianzisha hii mambo ya kutangaza biashara zao kupitia Joggin ni muda mrefu watu wa Adidas walikua wanapinga hizo mambo kwa kwa kuwa zimeanzishwa na wahasimu wao kwenye biashara mazoezi haya madhara kwa binadamu ni vile jamii ya sasa hivi wamekua wavivu kufanya mazoezi ndio maana unaona wanakuja na hoja zao ili mradi kuwapumbaza na wanajua wapo watakaokubaliana nao...toka lini mazoezi yakawa na madhara kwa binadamu sisi wengine toka tunakua mpaka leo hii ni mwendo wa Mazoezi tu leo hii nije nimsikilize mtu aseme mazoezi sio Afya daah sio kila kitu unachokiona unatakiwa kukiokota...
Mimi nipo na Maveterani muda kipindi hiki mara nyingine nachezea Timu ya vijana kuruka koni huko na kucheza sana mpira nina mwezi wa pili nyama za paja zinauma sana nimeamua kupumzika kidogo madhara yake nayaona kabisa harafu pana mtu anakuja kusema tusifanye mazoezi daah...Mkuu uyo haelewi anachojaribu kukifikisha yani mimi kwanza nikiacha napata shida sana na matokeo ya mazoezi nayaona nina miaka zaida ya kumi naa nayaishi.
Kazoea kuuweka mwili bila kufanya mazoezi kama mtu umezoea ni mateso angejua hata hasingeongea anacho ongea nimemshangaa sana.Mimi nipo na Maveterani muda kipindi hiki mara nyingine nachezea Timu ya vijana kuruka koni huko na kucheza sana mpira nina mwezi wa pili nyama za paja zinauma sana nimeamua kupumzika kidogo madhara yake nayaona kabisa harafu pana mtu anakuja kusema tusifanye mazoezi daah...
Kutembea ni bonge la zoeziMie msukumo wa damu ulikuwa 140/90, daktari akanihoji je nina stress, nkasema hapana.. Nkaendelea fwatilia kwa wiki mbili bado ikawa inacheza 135/136/137/141 kwa 86/88/90
Meanza mazoezi ya kutembea km 3 hadi 5 kwa siku
now msukumo wa damu unasoma 125/127/130 kwa 78/80/83
Mazoezi inategemea unafanya ya namna gani na kwa malengo gani (sio wamaliza mazoez unaenda piga nyama choma na ....
Kukimbia kwa wiki labda mara 2Kuna mwanangu yuko BOA ameanza huo mchezo sasa ana mwaka wa 3 ila sura yake ukiifananisha na umri wake kimsingi mwana hana tofauti na mstaafu. Kipindi tunamaliza chuo alikuwa kijana mtanashati sana na kitambi cha kufutia simu kilikuwepo.
I do think he is overdoing it, maana unakimbia kilometre 15 kwa siku thats too much. Mi nafanya lifting kwa kiasi chake na kutembea tembea ndio sana. Thats enough for me as long as natoka jasho.
Kutembea imekaa mazoezi ya wazee sana. Acha uvivu ukishindwa kukimbia at leat troti.Mwili wa mwadam umeumbwa kwa ajili ya kutembea,kukimbia ni mambo ya kujiongeza tu
Ova
Push upsKutembea imekaa mazoezi ya wazee sana. Acha uvivu ukishindwa kukimbia at leat troti.
Mkuu unafuatilia maelezo ya professor janabi kuhusu kula na unamuona yeye muonekano wake alivyo watanzania tunapenda kula ndio tatizo.Wazungu wanafanya mazuzu Sana, Goal ya kwanza ya binadamu kula chakula ni kukabilina na njaa na si kwaajiri ya afya, goal ya afya inajileta yenyewe automatically kwasababu umekula chakula.
Sisi hula chakula Kama Breakfast kwasababu ya njaa ukiacha mpaka mchana njaa itakuuma na hakuna anayeamua kula Breakfast fast kwasababu ya afya
Hata professor janabi alishawahi kuelezea siku moja kuhusu kula hovyo na kufanya mazoezi bila kupima heart beat kwasababu kuna uwezekano wa kupata heart attack au cardiac arrest watu wanakimbia kimbia tu ndio maana wachezaji licha ya kufanya mazoezi ila wana dondoka na kufariki wakati mwingine.Hiyo ni kweli mkuu. Hata uki- skip lunch, dinner moja kwa siku si vibaya na ni nzuri kiafya.
Hahahahahah anapoteza uloto tu dronedrakeHuyo mzungu ni wa kupuuzwa. Ila ni kweli mazoezi ukizidisha lazima uzeeke. Sura inajikunja. Kukimbia kilometa zisizozidi 3 ni sahihi kiafya. Mazoezi makali ya kukimbia lazima yakuletee shida kwenye magoti. Wanariadha wengi wakifika uzeeni hupambana sana na goti. Na kama unapenda kukimbia jitahidi kula vitu vinavyosaidia kuongeza lubricants kwenye magoti na sehemu zingine mifupa inapoungana. Mtu kama dronedrake hapaswi kufanya jogging maana kila siku anapoteza lubricants nyingi kupitia nyeto.
Kabla haujaanza kufanya jogging lazima kwanza ufanye vipimo vya kucheck moyo kama upo sawa sasa watu wanakimbia kimbia tu it's very dangerous for their health.Kitu kama hicho hata mimi namuunga mkono ila sio kwenye swala la mazoezi. Chai hata mimi mara nyingi sinywi ila mazoezi nikifanya naona faida zake kwangu na sio kwa kuambiwa.
Wakiongozwa na professor janabi CEO wao.Cheers kwa wazee wa kuua winga[emoji1787]
Kwa wiki ni vizuri kukimbia au kutembea kwa siku ngapi?Kukimbia kwa wiki labda mara 2
Unaweza kujikuta unakimbia sana
Mpaka ukajikuta unaunguza carolies zako ,kwenye kukimbia inataka kiasi
Usikumbie kupitiliza
Ova
hahaha, zinarudi namna hiiHahahahahah anapoteza uloto tu dronedrake
Hivi mwili hauwezi kuchoma mafuta wenyewe tu kwa hali ya kawaida ?Una akili za hovyo Sana za kushikiwa kwahio mzungu kusema NIKE ndio walianza kampeni ya Jogging ili wauze viatu kwahio Jogging inakuwa sio mazoezi tena na hayana faida kwenye mwili just because yalikuwa influenced na NIKE Hilo wauze viatu what kind of thinking is this??
Hii inamaana ikitokea mfano Bank Kama NMB ikaanzosha kampeni ya kuweka akiba ya kukufaa uzeeeni au baadae na kampeni ikashika moto watu wakawa wanaweka akiba So kwako hio akiba inakua haina faida Just because NMB walianzisha kampeni tu wapate faida kibaishara
Kuna mitano zaidi ya 100 naweza kuweka hapa Cha muhimu chakata ubongo wako kabla ya kuuitimisha jambo pia Mzungu anakufanya zwazwa Kama hivyo na wewe unakubali
JOGGING
Ni aina ya mazoezi yaliyo na faida kibao
1/Kuchoma mafuta
2/Kuimarisha misuri
3/Kuimarisha mfumo wa hewa
4/Kuimarisha mzunguuko wa damu
5/Body Speed and flexibility
6/Muscles Endurance
7/NK (I can list to 100 here)