Umeng'akaYani wanachosha wakat wao ndo waharibifu wakubwa
nani analawiti watoto?
Nani anaongoza Kwa kutoka nje ya ndoa?
Nani huwa wanalawit wanaume wenzao?
Nani analawiti wanawake?
Nani anakuza biashara ya ukahaba Kwa kuwa wanunuaji mahiri?
Walichotuzidi ni uhodari wa kulalamika na kuona wanaonewa watupumzishe kwanza
Foolish, hujaelewa vizuriSio TU mwanamke. Isipokuwa ni binadamu yoyote ni vigumu kumtabiri. Mimi siku nikichepuka basi hiyo ndio siku ambayo nikirudi nyumbani ni lazima nimpande, Tena kumpanda Kule Kwa kukera Ili asiwaze chochote. Same to them siku akiliwa ndio siku atakayokuonyesha kuwa na minyege.
Oooh!! Wameamua waje na kampeni mpya ya kumchafua mwanamkeπππWameshtuka sasa hivi hawaweweseki baada ya kuwasema kuwa sera yao kuu ni USHOGA
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ning'ake Kwa lipi nduguUmeng'aka
Mahusiano ni fumbo full stop
Nakukumbusha pia kuwa Ke ni kambavu kamoja tu tokana na Me.Nawakumbusha mwanamke alitoka kwenye mwili wa mwanaume, sasa Mungu alimpa usingizi mwanaume akalala fofofo ndio baadae akafanya uumbaji wa mwanamke, kwahiyo mwanamke akakamilika akiwa ameona kila kitu pale ndio mwanaume akaamshwa akakuta kuna mtu pembeni, sasa pale jamaa alipokua amelala hauwezi kujua yule mwanamke alipanga nini muda ule ili kujinufaisha kwanza ndio mambo yalianzia hapo
Wahaya wanafanyaje sema kwa uchacheJifunzeni somo la ndoa kwa Wahaya hamtopata tabu ya ndoa tena.
Hii umeandika tu hujakutana na wazee hizo mambo mwenyewe utarudisha mpira kwa kipa. Kuna mabaharia wakiamua hata mwaka wanautenga ili wakupige mambo. Nataka nikwambie jambo moja mtu yeyote akishaingia kwenye ndoa concentration ya mambo ya mapenzi inapungua, iwe mwanamke au mwanaume na wengi tunajikita kwenye issue ya maisha, kama kutafuta hela, kujenga na kusomesha watoto.Wanawake na wanaume wote ni WA ovyo na hakuna uharibifu bila uwepo wa wanaume
Unatongoza mke wa mtu had unampa mimba nani ni muharibifu?
Na mwanamke unakubali kutoka nje ya ndoa nae ni mwehu Kwa kifupi wote hatuna akili
Shida hujui mwanamke ni kwa ajili ya mume na mume si kwa ajili ya mkeNa Huyo mwanamke Alikuwa na Mwanaume. Yaani hakuna Mwanamke bila mwanaume, yaani hakuna Kosa la Mwanamke Mwanaume Hajahusika!
Hila nitatizo la wote sio kutwa mwanamke mwanamke
Mwanaume yeye Ruksa.
WAnawake yafaa wadhibitiweHahaha! Mi naona thamani ya mwanamke ni kunizalia watoto tu mengine sioni cha maana. Ni wenzetu lakini ni watu wenye njama za ajabu ajabu sana.
Nb: usitambe mbele ya jamii eti wewe una mke bora ( inawezekana watu wote wanajua mkeo ni malaya kasoro wewe tu ndiyo hujui, utachekwa)
We wasema, mi simo [emoji1732][emoji137]Oooh!! Wameamua waje na kampeni mpya ya kumchafua mwanamke[emoji134][emoji134][emoji134]
Je Yusufu na Ayubu nao waliponzwa na nani?Angalia hapa:
Adamu aliponzwa na mwanamke
Samson aliponzwa na mwanamke
Rutu aliponzwa na mwanamke
Mfalme suleiman aliponzwa na mwanamke
Dola ya rumi chanzo cha kuanguka ni mwanamke
Ndio maana vitabu vitakatifu vikawaasa wanaume muishi nao kwa akili sana maana anaweza kua analia usoni kumbe moyoni anacheka tu na anaweza kua anacheka kumbe usoni analia ni vyema kua makini sana .mwanamke sio kiumbe dhaifu kama wengi mnavodhani, kama aliweza kupanga mipango na nyoka unadhani atashindwa kupanga nini huyu kiumbe
Kheri kwako ulielewa vizuri.Foolish, hujaelewa vizuri
Sina shida na vocha mpe mwingine yeyote.We kilete ntakutumia 2000 ya vocha
I promise nataka moyo wangu uumie vilivyo
Ili niwe na courage ya kukataa ndoa vizuri π
Ishi nao kwa akili, ila haijasemwa TUSIOOEIshi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%
Basi kilete hapa mkuuu kwani kuna shida π¨π¨π¨π΅Sina shida na vocha mpe mwingine yeyote.
Nimecheka sana.Sio TU mwanamke. Isipokuwa ni binadamu yoyote ni vigumu kumtabiri. Mimi siku nikichepuka basi hiyo ndio siku ambayo nikirudi nyumbani ni lazima nimpande, Tena kumpanda Kule Kwa kukera Ili asiwaze chochote. Same to them siku akiliwa ndio siku atakayokuonyesha kuwa na minyege.
Ogopa sana, hats siku ukiletewa zawadi uipendayo kupitiliza[emoji23]Nimecheka sana.
Ndio maana siku ambayo unaona mpenzi wako ana vibe sana ndio siku ya kuitilia shaka.
Kwani wao ndio wanaishije kwenye ndoa zao?Jifunzeni somo la ndoa kwa Wahaya hamtopata tabu ya ndoa tena.