Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
wanyonge walio wengi nduguMama yetu ...wewe na nani?
Vyawa ??!Wewe ni mgeni kwenye hii nchi??
Njaa mbaya sana😏Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT , Msanii duni wa filamu , Jokate .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini )
Sasa swali letu ni hili , wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani ? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana , Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao , tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais
View attachment 2927375
🤣🤣🤣Usihofu Mzee baba kama wao ni ma queen sisi ma king ni kawaida wafalme kuwala malkia.
Si umewaona wako wazi Mkuu, bongo movies na some bongo fleva.
Ni wale wale tulio wazoea miaka yote ikikatiria chaguzi na fursa mbalimbali.
Acha watekeleze jukumu lao la "usanii".
Mbona sijaon mahal mbowe katajwakwa huu Uzi 🧐Ingekuwa vyema ufuatilie na kuhoji Ruzuku za CHADEMA zinakwenda wapi mpaka chama kinakosa ofisi zenye hadhi ya chama chenye umri wa miaka zaidi ya 32.
Ungehoji ni kwanini Mbowe ameng'ang'ania uwenyekiti kwa miaka 20 sasa kana kwamba wanachama wengine ni manyumbu na mazuzu wasio na akili ambao hawawezi kuongoza chama isipokuwa yeye tu.
Zilipendwa wanatafuta pa kutokea.Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT , Msanii duni wa filamu , Jokate .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini )
Sasa swali letu ni hili , wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani ? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana , Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao , tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais
View attachment 2927375
🤣🤣🤣Christina Shusho anahangaika Sana. Mara wasafi, mara Samiah. Hata kipindi Cha Magufuli alijihangaisha Sana ila Magufuli hakumuona.
Nchi ngum sana hii, tutaona majina mpaka ya pangoni kipindi ichi,mpaka aibu yani, mara chawa, mara friend of Samia sasa Queens, shida tupuNimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT , Msanii duni wa filamu , Jokate .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini )
Sasa swali letu ni hili , wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani ? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana , Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao , tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais
View attachment 2927375
Hawa watakuwa wanafanya ile kazi ya Lucas mwashambwa bila shakaNimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT , Msanii duni wa filamu , Jokate .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini )
Sasa swali letu ni hili , wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani ? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana , Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao , tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais
View attachment 2927375
Noma sana !Kwa sasa sie wapenda nchi kwa vizazi vijavyo tunaendelea kujipanga vizuri , uchaguzi ukifanyika ccm itaondoka madarakani mapema sana , acha waendelee na maigizo yao ,