Wanaojiita “Samia Queens” ni akina nani na wanatafuta nini?

Mkuu naona umeweka picha kabisa ushawajua sisi haina haja yakudadavua
 
Hawa ni chawa wa Mama kama ilivyo wewe ni chawa wa Mwenyekiti.

Siku zote nyani haoni kun.......
 
Mbowe akiwa m/kiti kwa miaka 100 itakuathiri vipi? Tuseme labda ndio imefanya sukari kuadimika/kupanda bei? Ndio imeleta mgao wa umeme? Mbowe ndiye amesababisha mashule kutokuwa na madarasa, madawati na vyoo? Mbowe ndiye amesababisha maisha duni kwa mapolisi, waalimu na watumishi wengine?
 
"2020 hukuwa na uchaguzi hofu ilitanda kila nchi...watu wakauliwa na wakapata vilema kisha Jiwe na makamu wake wapite bila kupingwa kama vile Majaliwa nawe zake" Kinana(2024).
 
Mbowe ni kigando aka Ruba ,king'ang'anizi aka mkwe wa mwanzilishi wa chadema ,hatoki hata kwa rato 😂😂😂😂
 
Mtoa mada kama unaona wivu na nyie huko ufipani jiungeni tu mjiite MBOWE QUEENS, mbona rahisi tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…