sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kwa watu hasa wakristo ambao ndoa ya dini zao huwaminya kubanana na wake zao mpaka kifo na wanatafuta mbadala wa kufunga ndoa kwa mataraajio ya kuongeza mke hapo mbeleni, huwa wanadhani ndoa ya serikali / bomani ndio mbadala.
Uhalisia ni kwamba, ndoa ya bomani zipo za aina mbili, ya kwanza ni mme moja na mke moja ambayo mkifunga huruhusiwi kuongeza mke, ya pili ni ya mke zaidi ya moja ambayo inabidi mke wako mtarajiwa akubali na aweke sahihi kwamba umeamua kumuoa lakini huko mbele ya safari unaweza kuongeza mke
Ni mwanamke gani asie na wivu na mum wake mtarajiwa atatia sahihi ya aina hii ya ndoa ? Yaani aache kusaini ndoa ya kumlinda yeye aende kusaini ndoa ya kufungulia milango wanawake wengine ?
Hapa ndipo inapokuja shida ya ndoa za bomani, mwanamke atasaini ndoa ya kufugia milango wake wa ziada, ni ngumu sana akubali kuweka sahihi kwenye ndoa ya kukuruhusu kuongeza mke.
Uhalisia ni kwamba, ndoa ya bomani zipo za aina mbili, ya kwanza ni mme moja na mke moja ambayo mkifunga huruhusiwi kuongeza mke, ya pili ni ya mke zaidi ya moja ambayo inabidi mke wako mtarajiwa akubali na aweke sahihi kwamba umeamua kumuoa lakini huko mbele ya safari unaweza kuongeza mke
Ni mwanamke gani asie na wivu na mum wake mtarajiwa atatia sahihi ya aina hii ya ndoa ? Yaani aache kusaini ndoa ya kumlinda yeye aende kusaini ndoa ya kufungulia milango wanawake wengine ?
Hapa ndipo inapokuja shida ya ndoa za bomani, mwanamke atasaini ndoa ya kufugia milango wake wa ziada, ni ngumu sana akubali kuweka sahihi kwenye ndoa ya kukuruhusu kuongeza mke.