Wanaomchukia Tundu Lissu wanaumiza nafsi zao bure

Wanaomchukia Tundu Lissu wanaumiza nafsi zao bure

He is a dead horse, do not go about beating a dead horse. He likes his own voice, to be sure, bur that's insuffient to justify your treasonous roll.
Sisi wa Dumila hapa tutakuelewa kweli?
 
Mwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!

Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.

Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.

1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.

Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.

2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR .
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.

3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.

4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA ,kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.

5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lisu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Unaangalia hayo tu? Hilo deni aliotuachia unafikili tutamaliza kulilipa mwaka gani? Huoni kuwa inawezekana vizazi vyako vitaku vitakosa ajira kwa sababu ya uharibifu alioufanya Magufuli kwenye uchumi wetu
 
Kiukweli hili jambo linashangaza sana.

Linashangaza kwa sababu watu hawataki kujifunza. Bado kuna watu bila sababu yoyote ya msingi wanahendekeza chuki zao dhidi ya Lissu.

Lissu hana kosa lolote. Lissu hajawahi kushika madaraka makubwa ya nchi. Kwa hiyo kama kuna watu wana umaskini, njaa, maradhi, huduma duni za kijamii basi wajue sababu sio Lissu.

Wajifunze kuwa kuweka chuki moyoni dhidi ya Lissu ni kujiumiza nafsi bure tu.

Hata waliomchukia kwa chuki za wazi wazi hawapo tena madarakani.
Msalimieni Mh Job.

Jioni njema Kazi iendelee.

Maridhiano daima mbele.
Umeongea point.... ni UPUMBAVU ulikidhiri kumchukia mtu asiye na maamuzi wa hatma ya matatizo ya jamii yako
 
Sasa unamchukiaje MTU aliyenusurika kufa,mi nadhani ni jambo la kumshukuru Mungu na kumpa ushindi kwa kumpa uhai mpaka Leo.
 
Unaangalia hayo tu? Hilo deni aliotuachia unafikili tutamaliza kuliapa mwaka gani? Huoni kuwa inawezekana vizazi vyako vitaku vitakosa ajira kwa sababu ya uharibifu alioufanya Magufuli kwenye uchumi wetu
Kweli kabisa. Deni na matokeo ni vitu viwilo tofauti
 
Kiukweli hili jambo linashangaza sana.

Linashangaza kwa sababu watu hawataki kujifunza. Bado kuna watu bila sababu yoyote ya msingi wanahendekeza chuki zao dhidi ya Lissu.

Lissu hana kosa lolote. Lissu hajawahi kushika madaraka makubwa ya nchi. Kwa hiyo kama kuna watu wana umaskini, njaa, maradhi, huduma duni za kijamii basi wajue sababu sio Lissu.

Wajifunze kuwa kuweka chuki moyoni dhidi ya Lissu ni kujiumiza nafsi bure tu.

Hata waliomchukia kwa chuki za wazi wazi hawapo tena madarakani.
Msalimieni Mh Job.

Jioni njema Kazi iendelee.

Maridhiano daima mbele.
Wanaomchukia Lissu watapotea kiaina kama yule mkuu wao alivyopotea.
 
Mwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!

Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.

Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.

1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.

Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.

2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR .
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.

3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.

4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA ,kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.

5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lisu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Upuuzi mtupu.
 
Kumchukia kilema wa maisha anaemuwaza magufuli muda wote ni ujinga. Mwacheni aendelee kupayuka kwa amani jamani, akimaliza atarudi kwao ubelgiji
Hii comment imenikitisha sana. Ndugu uwe na utu na ubinadamu. Rudia kusoma ulivjoandika. Umeshafikiria aliyoyapitia ndugu Lissu?. Sisi ni Binafamu sio manyani..
Unaweza pata ukemavu anytime hata wewe huijui kesho yako.

Tubu tu hata kimoyomoyo!
 
Hii comment imenikitisha sana. Ndugu uwe na utu na ubinadamu. Rudia kusoma ulivjoandika. Umeshafikiria aliyoyapitia ndugu Lissu?. Sisi ni Binafamu sio manyani..
Unaweza pata ukemavu anytime hata wewe huijui kesho yako.

Tubu tu hata kimoyomoyo!
Hizi ndio siasa zao ndugu wala usiwashangae
 
Wenye hatia wanapelekwa mahakamani lofa wewe hawashambuliwi na risasi majumbani huo ni uhalifu. State terrorism from a terrorist magufuli.
Aliyekudanganya hivyo ninani?? Kila nchi unayoijua duniani inamifumo nje ya mahakama ya kudeal na mamluki.
 
Aliyekudanganya hivyo ninani?? Kila nchi unayoijua duniani inamifumo nje ya mahakama ya kudeal na mamluki.
Mamluki aliyeonana na rais mstaafu mwinyi na màmluki huyo akaja kuonana rais akiwa deputy na Bado màmluki huyo akaonana na rais akiwa amiri jeshi kama haitoshi màmluki huyo kalipwa stahiki zake zote na serikali (Bado bunge)tafsiri ya màmluki itakuwa ni Kwa mujibu ya dik she nali ya chato.
 
Mamluki aliyeonana na rais akiwa deputy na Bado màmluki huyo akaonana na rais akiwa amiri jeshi kama haitoshi màmluki huyo kalipwa stahiki zake zote na serikali (Bado bunge)tafsiri ya màmluki itakuwa ni Kwa mujibu ya dik she nali ya chato.
Pesa sabuni ya roho, hayo malipo ni plan nyingine mzee hayajatolewa bahati mbaya, mamluki anavutwa Karibu.
 
Hii comment imenikitisha sana. Ndugu uwe na utu na ubinadamu. Rudia kusoma ulivjoandika. Umeshafikiria aliyoyapitia ndugu Lissu?. Sisi ni Binafamu sio manyani..
Unaweza pata ukemavu anytime hata wewe huijui kesho yako.

Tubu tu hata kimoyomoyo!
Pole sana, ungeyajua yaliyofanywa na yanayofanywa na huyo unayemuona wa maana sana yenye usaliti kwa watanzania wenzake basi labda usingemuona wa maana sana.
 
Back
Top Bottom