- Thread starter
- #41
Unaujaza sumu moyo wako bure tuKilema Lissu ni CHIZI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaujaza sumu moyo wako bure tuKilema Lissu ni CHIZI.
Kazi kweli kweliMamluki aliyeonana na rais mstaafu mwinyi na màmluki huyo akaja kuonana rais akiwa deputy na Bado màmluki huyo akaonana na rais akiwa amiri jeshi kama haitoshi màmluki huyo kalipwa stahiki zake zote na serikali (Bado bunge)tafsiri ya màmluki itakuwa ni Kwa mujibu ya dik she nali ya chato.
TL alisaliti mafisadi ila Watanzania wema wanampenda sanaPole sana, ungeyajua yaliyofanywa na yanayofanywa na huyo unayemuona wa maana sana yenye usaliti kwa watanzania wenzake basi labda usingemuona wa maana sana.
Kiukweli hili jambo linashangaza sana.
Linashangaza kwa sababu watu hawataki kujifunza. Bado kuna watu bila sababu yoyote ya msingi wanahendekeza chuki zao dhidi ya Lissu.
Lissu hana kosa lolote. Lissu hajawahi kushika madaraka makubwa ya nchi. Kwa hiyo kama kuna watu wana umaskini, njaa, maradhi, huduma duni za kijamii basi wajue sababu sio Lissu.
Wajifunze kuwa kuweka chuki moyoni dhidi ya Lissu ni kujiumiza nafsi bure tu.
Hata waliomchukia kwa chuki za wazi wazi hawapo tena madarakani.
Msalimieni Mh Job.
Jioni njema Kazi iendelee.
Maridhiano daima mbele.
Lakini wenyewe hawaelewi bado wanaendelea tabia za dhihaka.Uzi wenye ukweli mkubwa sana
Huo usaliti unaujua wewe tu?Pole sana, ungeyajua yaliyofanywa na yanayofanywa na huyo unayemuona wa maana sana yenye usaliti kwa watanzania wenzake basi labda usingemuona wa maana sana.
Ni vemaTL alisaliti mafisadi ila Watanzania wema wanampenda sana
Sawa ambao wanaishi mileleAliyekudanganya hivyo ninani?? Kila nchi unayoijua duniani inamifumo nje ya mahakama ya kudeal na mamluki.