Wanaomuelewa Young Killer anaimba nini siku hizi, mbona kama simuelewi? Ameshindwa kuisoma gemu na kunyumbulika nayo

Wanaomuelewa Young Killer anaimba nini siku hizi, mbona kama simuelewi? Ameshindwa kuisoma gemu na kunyumbulika nayo

TATACHACHA

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
793
Reaction score
1,671
Back in 2013 namkumbuka sana huyu dogo cheche zake kuanzia Dear Gamble, Mrs Superstar n.k, nilikuwa fan wake mkubwa, ukichanganya kule kuchana kwake kuchanganya swaggs kama young daddy.

Nimemiss zile flavour real kutoka kwa huyu dogo, nashindwa kuelewa tatizo liko wapi? Ameshindwa kabisa kuendana gemu inavyonyumbulika, anyumbulike nayo kama wengine wakina Lunya aisee.

Siku hizi Young Killer hachani tena kwa swags zenye punchlines kama wenzake wakina lunya n.k, ninachokiona anapayuka tu na muziki wake umekosa ile test (ladha) kabisa.

Kama uko humu habari unazo, not too late to rectify, power to you.

images (1).jpeg
 
Muziki ni biashara, yaani ajira ambayo imebadilisha maisha ya vijana wengi Duniani.

Kwahiyo hawezi kuimba muziki usiomlipa, Wala kumnufaisha eti kisa mashabiki tunaupenda.

Hata wewe huwezi fanya biashara ambayo wateja wengi wanakuzunguka lakini haina faida kwako
 
Anazingua alafu ni dogo anaeweza kufanya vizuri,
Sasa kama sisi wadau wa hiphop tu hatuelewi anachofanya kwa hao wengine sijui itakuaje
 
Muziki ni biashara, yaani ajira ambayo imebadilisha maisha ya vijana wengi Duniani.

Kwahiyo hawezi kuimba muziki usiomlipa, Wala kumnufaisha eti kisa mashabiki tunaupenda.

Hata wewe huwezi fanya biashara ambayo wateja wengi wanakuzunguka lakini haina faida kwako
Ngoma anazotoa saizi youngkiller assume ndo zingekuwa ndo ngoma zake za kutokea unafikir angetoka ? Kilichobaki apo ni jina tu ila ubora hana tena na ht kibiashara lazima anawakati mgumu
 
Muziki ni biashara, yaani ajira ambayo imebadilisha maisha ya vijana wengi Duniani.

Kwahiyo hawezi kuimba muziki usiomlipa, Wala kumnufaisha eti kisa mashabiki tunaupenda.

Hata wewe huwezi fanya biashara ambayo wateja wengi wanakuzunguka lakini haina faida
Ngoma anazotoa saizi youngkiller assume ndo zingekuwa ndo ngoma zake za kutokea unafikir angetoka ? Kilichobaki apo ni jina tu ila ubora hana tena na ht kibiashara lazima anawakati mgumu
Kweli kabisa, anabebebwa na ukubwa wa jina tu, sawa na muuza k, uchi/ kibwenyee! kubebwa na ukubwa wa kalioo lake tu! Hakuna utofauti
 
Ngoma anazotoa saizi youngkiller assume ndo zingekuwa ndo ngoma zake za kutokea unafikir angetoka ? Kilichobaki apo ni jina tu ila ubora hana tena na ht kibiashara lazima anawakati mgumu
Kweli kbs kilichobaki ni jina tuu linampitisha.....

Ni sawa na muuza K/ uchi, kibwenyee! Kubebwa na ukubwa wa kalioo lake tu! Hakuna utofauti......
 
Back in 2013 namkumbuka sana huyu dogo cheche zake kuanzia Dear Gamble, Mrs Superstar n.k, nilikuwa fan wake mkubwa, ukichanganya kule kuchana kwake kuchanganya swaggs kama young daddy.

Nimemiss zile flavour real kutoka kwa huyu dogo, nashindwa kuelewa tatizo liko wapi? Ameshindwa kabisa kuendana gemu inavyonyumbulika, anyumbulike nayo kama wengine wakina Lunya aisee.

Siku hizi Young Killer hachani tena kwa swags zenye punchlines kama wenzake wakina lunya n.k, ninachokiona anapayuka tu na muziki wake umekosa ile test (ladha) kabisa.

Kama uko humu habari unazo, not too late to rectify, power to you.

View attachment 2432521

Mkuu mziki ubadirika lakini pia umri unasogea sio kila siku mtu utabaki na Radha ile ile, kuchange Kwa maisha ndio kunachange life style na kila kitu

Ukiongelea mabadiriko basi hutoishia kuyaona Kwa young killer tu Peke yake, bali utajiuliza Yule Nikki mbishi wa zamani Yuko wapi,Yule One wa zamani alienda wapi, Diamond wa Kamwambie alienda wapi, je Fid Q naye mbona amekuwa hivi

Young killer leo hii sio young tena bali ni Bro ila amebakia na Jina lake la kazi tu ila ni mtu mzima kwahiyo ata utunzi wake umekuwa wa kikubwa sio kama yule killer wa dear Mrs superstar

Lunya unaemtaja leo kawa inspired na huyo killer unaemponda, style ya uandishi ya Lunya ameutoa Kwa killer, maana ata kilichompa umaarufu lunya ni zile Ngoma zake ambazo anazoita freestyle ambazo amezipa session

Anachokifanya leo Lunya alianza kufanya Young killer tangu mwaka 2016 alipoanza kutoa single ambazo hazina chorus kama alichokuwa anafanya leo hii Lunya, killer yeye alikuwa anaziita sinaga swagger na zikawa na parts

Kwahiyo kwa wale ambao ni mashabiki wa killer tangu enzi za Dear Gambe ni wazi kuwa nawao pia wamekuwa kiumri pia kifikra, kwahiyo hawawezi kumuelewa killer endapo ataendelea kubaki yule yule wa miaka 5 nyuma

Kaskilize Album ya Super Nyota yote ndio utajua kuwa killer unaemtaka wewe sio yule wa miaka ile tena, saizi ni Matured enough kuweza kukupa chakula ya ubongo lakini pia kukuburudishaa

Mpe mauwa yake Lunya ila bila kudharau uwezo wa sasa wa Young killer, huyu ni level ya juu sana kumlinganisha na Lunya
 
Kuna mstari kwenye Sinaga swagger 4 unasema

" Napita ZVYXCVBHRT zaidi ya Dawa za UKIMWI, Mi mtu pori wewe A.K.A mshamba kabambe, ukijifunika Blanket halafu ukajampa jipange
 
Mkuu mziki ubadirika lakini pia umri unasogea sio kila siku mtu utabaki na Radha ile ile, kuchange Kwa maisha ndio kunachange life style na kila kitu

Ukiongelea mabadiriko basi hutoishia kuyaona Kwa young killer tu Peke yake, bali utajiuliza Yule Nikki mbishi wa zamani Yuko wapi,Yule One wa zamani alienda wapi, Diamond wa Kamwambie alienda wapi, je Fid Q naye mbona amekuwa hivi

Young killer leo hii sio young tena bali ni Bro ila amebakia na Jina lake la kazi tu ila ni mtu mzima kwahiyo ata utunzi wake umekuwa wa kikubwa sio kama yule killer wa dear Mrs superstar

Lunya unaemtaja leo kawa inspired na huyo killer unaemponda, style ya uandishi ya Lunya ameutoa Kwa killer, maana ata kilichompa umaarufu lunya ni zile Ngoma zake ambazo anazoita freestyle ambazo amezipa session

Anachokifanya leo Lunya alianza kufanya Young killer tangu mwaka 2016 alipoanza kutoa single ambazo hazina chorus kama alichokuwa anafanya leo hii Lunya, killer yeye alikuwa anaziita sinaga swagger na zikawa na parts

Kwahiyo kwa wale ambao ni mashabiki wa killer tangu enzi za Dear Gambe ni wazi kuwa nawao pia wamekuwa kiumri pia kifikra, kwahiyo hawawezi kumuelewa killer endapo ataendelea kubaki yule yule wa miaka 5 nyuma

Kaskilize Album ya Super Nyota yote ndio utajua kuwa killer unaemtaka wewe sio yule wa miaka ile tena, saizi ni Matured enough kuweza kukupa chakula ya ubongo lakini pia kukuburudishaa

Mpe mauwa yake Lunya ila bila kudharau uwezo wa sasa wa Young killer, huyu ni level ya juu sana kumlinganisha na Lunya
Wewe mzeeya unaujua muziki nimekupa nyota zote,young killer wa sasa ni bora kuliko wa mwanzo kuanzia uandishi hadi flow,ana maneno fulani yenye kufikirisha na kuuona utamu wa muziki.mtoa mada ndio type ya wale watu wanaoshabikia muziki kwa kufuata mkumbo yaani wimbo mzuri ni ule unaopigwa redioni mara kwa mara.Hiyo dear gambe hata kwenye playlist ya nyimbo zangu kali za young killer haimo lakini mtoa post yeye ndio anazikumbuka hizo kwa kuwa zilipigwa sana redioni na kwenye tv wakati young killer ana madude makali wala hayana airtime kubwa kwenye main stream.WABONGO TUMEKALILISHWA SANA KWAMBA WIMBO UKIWA OUT OF MAIN STREAM SIO MZURI hadi tuusikie redioni ukipigwa kila mara!!!!
 
Nina hela kaza Mwinyi na simjui Mwinyi Zahela..

Super Nyora Album naona iko poa sana tuu..
 
Msikilizeni mwana j.f mwenzenu sasa 😁😁 , mwendo anonymous nataka nisioenakene sura ata nikitoa video kama tunavoishi humu..kazi iongee yenyewe
 
Mi nadhan kuna vitu baadhi tunapishana kuhusu uelewa wa mziki wa Young killer

Binafsi namuelewa sana msodoki,ameamua kubaki na style yake mwenyewe,kuanzia secreto,Alhamdulillah mpaka kwenye album ya Super Nyota ameonesha ukomavu wa hali juu

Anasimamia msingi wa Hiphop,na kama Lunya anafanya real hiphop basi hiphop nirahisi sana

Kuna sehem young killer aliimba "Hiphop kuwa ngumu kuzid somo la hesabu"

Sikiliza Album ya Super nyota rudi tena hapa sema humuelewi
 
LIL K(lil killer) kabla ya kutoka usupernyota HIPHOP alikuwa anaiwakilisha vyema ila alivyodakwa nawadau mainstream akaacha kabisa kuwakilisha handaki na MISINGI ikapungua kabisa ila bado tamkubali Lil Killer wa D classic na Young killer wa TAMADUNI MUZIKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom