Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi namaanisha Dar es salaam, Tanzania.Namaanisha mikoa isiyo na uhitaji au mzunguko mdogo ea fedha.
Hahahahaha jamaa hawaelewi hawaWewe hujui kitu kuhusu uwekezaji kwenye nyumba.
Nimeanza kupangisha nyumba yangu mwaka 2014 kodi laki 5.
Hapa katikati nikapunguza hadi laki 4.5 kwa ushawishi tu wa madalali kwamba vyuma vimekaza, kwahiyo wapangaji hawafiki bei.
Kwakuwa zama za vyuma kukaza zimepita, mzigo unarudi palepale kwa 500k!
Hakuna maintenance ya aina hiyo uliyosema kwenye nyumba kwa mwaka.
Maintenance ya nyumba sio kama service ya gari!
Hata manzese mizidini kuna ma ma landlord kibao[emoji2]Hehe .... I'm a landlord.
Kukuondoa tu kwenye mawazo unayofikiria .
Na hawezi jibu.
Wengi wao ni wale wa sizitaki mbichi hizi.Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Unaweza vipi tenganisha nyumba na kiwanja bro.Mimi naongea facts, siongei blah blah.
Nimerithi nyumba na ardhi. Nyumba ni headache na nimekatazwa na ukoo kuiuza.
Nyumba inaleta heshima kwa utamaduni wetu.
Kama heshima kwa jamii ingeweza kuwekwa thamani yake kifedha labda.
Ila huwezi.
Viwanja vina thamani inayokua. Hata by looking at the population increase. Mapori mengi ya miaka 15 iliyopita Sasa ni miji.
Nyumba haiongezeki thamani. Huo ni ukweli wa kimahesabu siyo hadithi njoo .
Huwezi kupigiana hesabu za nyumba ukanipa faida above interest rate ya Benki kuu.
Ukitaka tupigiane mahesabu hapa.
Dar es salaam Tz kama unafanya biashara yako ya nyumba sehemu yenye biashara usingesema hailipi.Na mimi namaanisha Dar es salaam, Tanzania.
Kutokuweza kwako kutenganisha nyumba na kiwanja, ndio kunakoleta utofauti kati yetu.Unaweza vipi tenganisha nyumba na kiwanja bro.
Kiwanja kikiwa na nyumba thamani yake ni ya juu kuliko kiwanja kitupu.
Nyumba ina add value ya kiwanja
Wewe huna nyumba ya kukodisha. La sivyo usingesema hivyo.Dar es salaam Tz kama unafanya biashara yako ya nyumba sehemu yenye biashara usingesema hailipi.
Nakwambia wewe huna property.Hahahahaha jamaa hawaelewi hawa
Wanadhani ni gari la mkweche
Sometimes unaweza kuta nyumba iko poa tu mtu anaiweza ishi bila shida labda rangi tu ndio imefuba sasa mwenye nyumba mwenye kiherehere atataka apake tena rangi na kukarabati hiki nakile wala havina ulazima atajikuta anaingia cost za kijinga
Niambie tajiri gani hana nyumba
Hamna mtu bank ianyokupatia mkopo kwa hati ya kiwanja labda uwe umekiendeleza vizuri .Kwa milioni 30 za kujenga nyumba, bora uwe na viwanja 10.
Chukulia mkopo viwili, halafu anza kujenga.
Okey, hapo nimekuelewa.Wewe huna nyumba ya kukodisha. La sivyo usingesema hivyo.
Mimi naona hasara tupu. Na hapo nimerithi, yaani sijatumia hela kuijenga na nimewekewa nadhiri nisiiuze.
Mi nina uhakika hati ya kiwanja unaiweka collateral bank na unapewa terms nzuri tu.Hamna mtu bank ianyokupatia mkopo kwa hati ya kiwanja labda uwe umekiendeleza vizuri .
Nyuma ipo kwa linta
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, ila kwa mjadala huu nyumba inaleta heshima kama ilivyo gari.Okey, hapo nimekuelewa.
Kiufupi nyumba za kukodisha zinategemeana sana na umezijenga eneo gani kama ilivyo biashara nyingine zinavyohitaji kujua soko lako lilipo.
Unaweza ukawa na banda la m10 au kontena sehemu likakupa faida kubwa kuliko nyumba yenye thamani ya m100 sehemu isiyo sahihi.
Ni sahihi kuwa na viwanja maana hata ukisema ujenge huwezi jenga bila kiwanja, na hata usipojenga kitapanda thamani kama ulivyosema. Ila nyumba ya kuishi ni lazima na muhimu sana na pamoja na heshima ni usalama wa familia yako, unapopata nafasi JENGA kisha baada ya hapo nunua hivyo viwanja hata usiponunua sawa.Sawa, ila kwa mjadala huu nyumba inaleta heshima kama ilivyo gari.
Uzuri wake nyumba inabebwa na kiwanja (location).
Kiwanja kikiwa location mbaya, unakipata kwa bei ya kutupa, kiwanja kitapanda tu thamani, hata kikiwa kijijini subiri 10-20 years.
Kwa kijana anayeanza kazi, mimi nitamshauri akamate viwanja viwili vitatu kabla ya kujenga hata kama ni viwanja vya vijijini halafu ajenge.
Viwanja akae navyo tu hata 20 years au awe na shamba tu hata kwa 20 years.
Hii ni bahati ya kuwa mtanzania.
For ur point my friend assume ardhi ya kuuza imeisha mfano wa Kenya na nchi nying...... Kat ya ww muuza ardhi na landlord (mmiliki wa nyumba za kupangsha) nan atakuwa na consistancy income/cashflow....Mimi naongea facts, siongei blah blah.
Nimerithi nyumba na ardhi. Nyumba ni headache na nimekatazwa na ukoo kuiuza.
Nyumba inaleta heshima kwa utamaduni wetu.
Kama heshima kwa jamii ingeweza kuwekwa thamani yake kifedha labda.
Ila huwezi.
Viwanja vina thamani inayokua. Hata by looking at the population increase. Mapori mengi ya miaka 15 iliyopita Sasa ni miji.
Nyumba haiongezeki thamani. Huo ni ukweli wa kimahesabu siyo hadithi njoo .
Huwezi kupigiana hesabu za nyumba ukanipa faida above interest rate ya Benki kuu.
Ukitaka tupigiane mahesabu hapa.
Ardhi ya kuiuza unamaanisha nini?For ur point my friend assume ardhi ya kuuza imeisha mfano wa Kenya na nchi nying...... Kat ya ww muuza ardhi na landlord (mmiliki wa nyumba za kupangsha) nan atakuwa na consistancy income/cashflow....