Wanaosema Rais Magufuli hajui Kiingereza leo amewasuta

Ni sawa na mimi nimshangae Joe Biden kwa kutokujua kifaransa au kiswahili

Ni utoto!
kweli mkuu wakati huo unamshangaa kwa kutojua lugha hizo anakuwa kasoma na kahitimu hadi elimu ya juu kwa lugha hizo na hazijui utaachaje shangaa
 
Rubbish, anajua kiingereza gani, cha kusema “in addition of that” mbele za watu bila aibu huku akijiita Dr.
 
..Je, Putin anazungumza Kirusi ambacho ni broken?

..Manaake huyu bwana mkubwa wa hapa kwetu Kiswahili chake ni kibovu.
Ametamka mara nyingi kwamba kiswahili chake ni cha kisukuma.
 
Hayo maelezo ya kujitetea angeyasema basi kwa Kiingereza tuache kubishana
 
да .. вот ты где
 
..aliyemshauri Raisi kuzungumzia hayo ni nani?

..Jpm amekuwa madarakani huu ni mwaka wa 6, hivi anahitaji kujieleza na kujitetea kwamba anaimudu lugha ya Kiingereza?
2016 alichekwa hadharani katika tukio kama la leo kwa kuboronga Kiingereza, nafikiri lile tukio lilikuwa likimkera.
 
Nchi zipi? Umefanya PhD? Commonwealth countries wanatumia lugha gani katika PhD level?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…