Wanaosema Wasukuma ni Wakarimu, wana upendo halafu muda huo huo wanapenda ushirikina na Uchawi, hawajui kile wanachokisema

View attachment 2717039


Sio kila msukuma ni mkarimu na wala sio kila msukuma ni mchawi.

Upo sahihi Ila kidemokrasia ni kuwa wengi wape.

Kwa mfano useme Wapare au waha ni wafupi. Haimaanishi hakuna warefu.

Au ukisema Wahindi ni wabahili haimaanishi wote ni wabahili. Ila inayoangaliwa ni wengi wao.

Wapo wasukuma ambao hata hawapajui usukumani wala usukuma hawajui lakini haibadilishi ukweli wa Huko kwao kulivyo.
 
Naeeza kusema hiki ulicoandika hapo juu nilipoku-quote hio point namba 1 nimeki-experience kiasi kupitia mahusiano, Ahsante sana kwa kuniongezea elimu aisee.
 
Wewe ni nani hadi uongelee mambo ya wasukuma. Watakugeuza FISI sasa hivi.

We endeleea na mada zako za Kitaikuni.
 
Hakuna mtu mkamilifu kuna watu sio wachawi kabisa lakin wana roho mbaya kupita maelezo

Wengine sio wachawi ila wachoyo kupita maelezo

Na sio wasukuma wote ni wachawi

Wapi nimesema wasukuma wote ni wachawi?

Nilichoeleza ni kuwa wanaosema Wasukuma ni Wakarimu alafu muda huohuo wanaotaka Sifa Mbaya ya Uchawi na ushirikina ndio nimewajibu kuwa hakuna mchawi na mshirikina mwenye Sifa y upendo, ukarimu na Wema. Hiyo haijawahi kutokea.

Kuhusu wapo Watu wenye Roho Mbaya ambao sio wachawi naweza kukubali lakini Roho Mbaya Yao haiwezi kuzidi Roho ya wachawi na washirikina
 
Unatafuta kurogwa manju wa fasihi
 
GAMBOSHI ndio kituo kikuu cha uchawi Tanzania nzima
 
Ukisikia Watu wenye kelele nyingi, matusi, sijui kupigana pigana mara nyingi hawawezi kuwa wachawi au washirikina.
Wazee WA haya namuachia Mungu, Sawa wewe mjanja, anyway yameisha. Thubutu!
Huyo ni mzee wangu na ndio mimi kabisa.

Ila hapo kwenye kumuachia Mungu hapo daah, haki yangu huwa naipigania mwenyewe mpaka tone la mwisho aisee.
 
Hakuna mtu mkamilifu kuna watu sio wachawi kabisa lakin wana roho mbaya kupita maelezo

Wengine sio wachawi ila wachoyo kupita maelezo

Na sio wasukuma wote ni wachawi
Mkuu hujaelewa hoja ya robati.

Anachojaribu kueleza na kuelezea ni kama kusema GIZA na MWANGA haviwezi kukaa pamoja kwa muda mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…