Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Ndio maana nikasema generalisation fallacyIn general wasukuma ni wakarimu achana na mapungufu ambayo kila mtu anayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nikasema generalisation fallacyIn general wasukuma ni wakarimu achana na mapungufu ambayo kila mtu anayo
Hao wachawi wasukuma unawajua wangapi kama sio speculationPamoja na yote utakayosema,
Hoja ni kuwa mchawi na mshirikina hawezi kuwa na Sifa ya upendo, ukarimu, na Wema.
Hicho ndicho ninachojadili humo.
Hapa JF tunatumia fake ID, ajitokeze mchawi mmoja atuambie upoje huo uchawi? Wanafanyaje?Ni kweli sisi ni nyama kwao? Wanaruka angani? Hawaonekani kwa macho yetu?Uchawi hata huko Upareni upo na umejaa
Hao wachawi wasukuma unawajua wangapi kama sio speculation
Na ulivyo waajabu unaanzisha mada kwa speculation
Hujagusa hoja ya wasukuma, umekataa, au umekanusha kwa namna ukivyowasilisha haikuwa na haja ya kuwataja wasukumaBila Shaka mpo Pouwa!
Miaka na miaka nimekuwa nikisikia Watu wakisifia baadhi ya makabila Kwa Sifa nzuri, moja wapo ya Makabila yanayosifiwa ni pamoja na Ndugu zangu Wasukuma(kwani Mimi ni Mnyamwezi). Sifa wapewayo ni Upendo, ukarimu na kuwa Watu Wema.
Lakini muda huohuo utasikia Wakiimbiwa kuwa wanasifa Mbaya ya kupenda Uchawi na ushirikina.
Sasa huwaga najiuliza, hivi hawa wanazungumza kile wanachokijua au wanabwabwaja kupitisha siku ziende.
Hivi tangu lini MTU anayependa Uchawi na ushirikina akawa na upendo, ukarimu na Wema. Uchawi upi huo na upendo Kwa maana ipi?
Kwa msio na uelewa tuu, niwajuze; haiwezekani MTU mchawi na mshirikina akawa na Upendo, ukarimu na akawa Mwema. Haijawahi kutokea na kamwe haitokuja kutokea.
Ukishakuwa mchawi automatically unakuwa MTU mwenye Roho mbaya, mkatili, mbinafsi na usiyejali lolote.
Hata hivyo Katika Taaluma za Uchawi moja ya ethics(maadili ya Kazi Yao ni pamoja na hivi).
1. Wachawi na washirikina huigiza ukarimu, upole, upendo na Wema kuficha Tabia zao za ndani.
Mshirikina na mchawi aliyekwiva sio mtu wa kupenda magomvi, mara nyingi NI wapole na unaweza kumfanya chochote na asijibu mapigo. Lakini ninakuhakikishia ukimpa mgongo utaisoma namba kama upo Dhaifu.
Ukisikia Watu wenye kelele nyingi, matusi, sijui kupigana pigana mara nyingi hawawezi kuwa wachawi au washirikina.
Wazee WA haya namuachia Mungu, Sawa wewe mjanja, anyway yameisha. Thubutu!
Watu Wema na wenye upendo mara nyingi wapo very straight, na NI rahisi kuwachukia
Narudia ukishakuwa mchawi na mshirikina, automatically haupo kundi la Watu Wema, Wakarimu, wenye upendo na zaidi huwezi kuwa miongoni mwa jamii zenye Akili.
Nawasilisha
Hujagusa hoja ya wasukuma, umekataa, au umekanusha kwa namna ukivyowasilisha haikuwa na haja ya kuwataja wasukuma
MkuuBila Shaka mpo Pouwa!
Miaka na miaka nimekuwa nikisikia Watu wakisifia baadhi ya makabila Kwa Sifa nzuri, moja wapo ya Makabila yanayosifiwa ni pamoja na Ndugu zangu Wasukuma(kwani Mimi ni Mnyamwezi). Sifa wapewayo ni Upendo, ukarimu na kuwa Watu Wema.
Lakini muda huohuo utasikia Wakiimbiwa kuwa wanasifa Mbaya ya kupenda Uchawi na ushirikina.
Sasa huwaga najiuliza, hivi hawa wanazungumza kile wanachokijua au wanabwabwaja kupitisha siku ziende.
Hivi tangu lini MTU anayependa Uchawi na ushirikina akawa na upendo, ukarimu na Wema. Uchawi upi huo na upendo Kwa maana ipi?
Kwa msio na uelewa tuu, niwajuze; haiwezekani MTU mchawi na mshirikina akawa na Upendo, ukarimu na akawa Mwema. Haijawahi kutokea na kamwe haitokuja kutokea.
Ukishakuwa mchawi automatically unakuwa MTU mwenye Roho mbaya, mkatili, mbinafsi na usiyejali lolote.
Hata hivyo Katika Taaluma za Uchawi moja ya ethics(maadili ya Kazi Yao ni pamoja na hivi).
1. Wachawi na washirikina huigiza ukarimu, upole, upendo na Wema kuficha Tabia zao za ndani.
Mshirikina na mchawi aliyekwiva sio mtu wa kupenda magomvi, mara nyingi NI wapole na unaweza kumfanya chochote na asijibu mapigo. Lakini ninakuhakikishia ukimpa mgongo utaisoma namba kama upo Dhaifu.
Ukisikia Watu wenye kelele nyingi, matusi, sijui kupigana pigana mara nyingi hawawezi kuwa wachawi au washirikina.
Wazee WA haya namuachia Mungu, Sawa wewe mjanja, anyway yameisha. Thubutu!
Watu Wema na wenye upendo mara nyingi wapo very straight, na NI rahisi kuwachukia
Narudia ukishakuwa mchawi na mshirikina, automatically haupo kundi la Watu Wema, Wakarimu, wenye upendo na zaidi huwezi kuwa miongoni mwa jamii zenye Akili.
Nawasilisha
Mkuu
Ile Area 51 yenye viumbe vya ajabu HUKO america hao jamaa wanawasiliana nao vipi!?
Kama hao SIO viumbe wa kawaida!?SIO kwa uchawi na ushirikiana!!?
Mkuu ni mstari upi unaotenganisha wema na ubaya!?coz vyote vilitoka kwake alieanzisha maisha!!
Kwani unaamini shetani anasingiziwa MENGI aliumbwa na mungu mwingine!?si huyo huyo alieumba yesu na manabii wengine!!?na akaamua Huyu awe MWEMA na Huyu shetani!!?
Mi naamini vyote vilitoka kwake!!!
Kuna wakati huwa unaandika vitu vya maana sana. Halafu kuna wakati dishi sijui huwa linayumba au ni ile kutaka kuonekana kuwa unajua kila kitu unaandika vitu vya ajabu mpaka mtu unashangaa kama kweli hili ni andiko la Mtibeli!
Wanawake wa Kinyakyusa wanasemwa kuwa eti ni wakorofi lakini binafsi najua dada zangu wengi wa Kinyakyusa ambao ni wanawake bora kabisa na wameolewa na makabila mengine huko.
Mara nyingi hizi sifa za makabila ni utani tu au innuendos ambazo ukizifuatilia sana wala hazina maana yo yote...Na Mtibeli unatakiwa kulifahamu hilo!
Umesema ukweli mtupu, kwanza uje hata biblia imeandika kuwa malengo ya uchawi ni kutesa, kuharibu na kuua. Sasa hapo kuna ukarimu gani. Mchawi atakutesa kwa kukutupia magonjwa, usumbufu kazini na ktk shughuli zako, atakuharibia mambo yako ikiwa ni pamoja na kazi yako, biashara zako, uhusiano wako na mambo mengine mengi na mwishowe mchawi anakuua. Hao wasukuma ukitaka kuwajua nenda Bariadi, haukna watu wana roho mbaya km wale, ni wabaguzi, wakigundua we siyo mwenyeji wanakutenga, mji ambao ni makao makuu ya mkoa wanaongea kisukuma tupu, siyo kijana, siyo mzee. Unakutana na mzee anakusalimia kisukuma usipoweza kumjibu hatakusemesha tena, ukimwambia shikamoo mzee anakaa kimya, nia yake ni kujua km ni mwenyeji au la. Maeneo mengine nchi hii mgeni anapewa ukarimu wa kweli na habaguliwi hata kidogo. Wasukuma hawana ukarimu wowotw ni waigizaji tu.Bila Shaka mpo Pouwa!
Miaka na miaka nimekuwa nikisikia Watu wakisifia baadhi ya makabila Kwa Sifa nzuri, moja wapo ya Makabila yanayosifiwa ni pamoja na Ndugu zangu Wasukuma(kwani Mimi ni Mnyamwezi). Sifa wapewayo ni Upendo, ukarimu na kuwa Watu Wema.
Lakini muda huohuo utasikia Wakiimbiwa kuwa wanasifa Mbaya ya kupenda Uchawi na ushirikina.
Sasa huwaga najiuliza, hivi hawa wanazungumza kile wanachokijua au wanabwabwaja kupitisha siku ziende.
Hivi tangu lini MTU anayependa Uchawi na ushirikina akawa na upendo, ukarimu na Wema. Uchawi upi huo na upendo Kwa maana ipi?
Kwa msio na uelewa tuu, niwajuze; haiwezekani MTU mchawi na mshirikina akawa na Upendo, ukarimu na akawa Mwema. Haijawahi kutokea na kamwe haitokuja kutokea.
Ukishakuwa mchawi automatically unakuwa MTU mwenye Roho mbaya, mkatili, mbinafsi na usiyejali lolote.
Hata hivyo Katika Taaluma za Uchawi moja ya ethics(maadili ya Kazi Yao ni pamoja na hivi).
1. Wachawi na washirikina huigiza ukarimu, upole, upendo na Wema kuficha Tabia zao za ndani.
Mshirikina na mchawi aliyekwiva sio mtu wa kupenda magomvi, mara nyingi NI wapole na unaweza kumfanya chochote na asijibu mapigo. Lakini ninakuhakikishia ukimpa mgongo utaisoma namba kama upo Dhaifu.
Ukisikia Watu wenye kelele nyingi, matusi, sijui kupigana pigana mara nyingi hawawezi kuwa wachawi au washirikina.
Wazee WA haya namuachia Mungu, Sawa wewe mjanja, anyway yameisha. Thubutu!
Watu Wema na wenye upendo mara nyingi wapo very straight, na NI rahisi kuwachukia
Narudia ukishakuwa mchawi na mshirikina, automatically haupo kundi la Watu Wema, Wakarimu, wenye upendo na zaidi huwezi kuwa miongoni mwa jamii zenye Akili.
Nawasilisha
Sasa wapare unawajua au unawasikia, kuna watu wana roho mbaya km hao wapare, ni wale wale. Hakuna mtu ana roho mbaya km mchawi, mtu anakuulia mtoto wako, mtoto amemkosea nini, lakini anamwua.Uchawi hata huko Upareni upo na umejaa
Wachawi na washirikina huigiza ukarimu, upole, upendo na Wema kuficha Tabia zao za ndani.
Mshirikina na mchawi aliyekwiva sio mtu wa kupenda magomvi, mara nyingi NI wapole na unaweza kumfanya chochote na asijibu mapigo. Lakini ninakuhakikishia ukimpa mgongo utaisoma namba kama upo Dhaifu