Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Baraka zikishuka Hadi vitukuu vyako vitakula sehemu ya jasho lako.
Waliokosa baraka ndio ambao haachi hata shamba Fukayosi.
Urithi wa mtu ni WA kwake hata kama ni WA wazazi.
Nawashangaa sana watu wanaosema oooh! Mali zenyewe za kurithi.
Haijalishi as long as ni urithi wako you're responsible for that.
Kwahiyo DNA inatosha tu hutaki urithi au chochote kutoka Kwa wazazi wakoAkili yangu imegoma tu kurithi vitu.Sitaki tu.Urithi wa DNA unanitosha.
Wewe ni chizi mtegemea Cha ndugu hufa masikini......Maneno ya wakosaji πππ
Ooh! Nyumba ya Urithi, sijui Utajiri wenyewe kaachiwa!
Mbona Baba yako hakukuachiaπ
Kwa hiyo nyumbani kwenu zikiwepo ubweteke tu sababu ya kurithi.....Maneno ya wakosaji πππ
Ooh! Nyumba ya Urithi, sijui Utajiri wenyewe kaachiwa!
Mbona Baba yako hakukuachiaπ
Inatosha.Nikifikiria urithi ntakua mzembe.Kwahiyo DNA inatosha tu hutaki urithi au chochote kutoka Kwa wazazi wako
Basi hongera sana mkuu binafsi maskani kungekuwa na pesa ningelalao mbele wanipe changu aisee.Inatosha.Nikifikiria urithi ntakua mzembe.
Binamu zangu ndiyo wamejazana huko.Mimi nipo kivyangu.Basi hongera sana mkuu binafsi maskani kungekuwa na pesa ningelalao mbele wanipe changu aisee.
Nafikiri hajaongelea ndugu, kaongelea " Wazazi "Wewe ni chizi mtegemea Cha ndugu hufa masikini......
Kwani mzazi sio ndugu yako.....Nafikiri hajaongelea ndugu, kaongelea " Wazazi "
Kuna Mambo mengi kwenye suala la kutokufanikiwa kwa sisi waafrika lakini sio ubezi na Mambo ya urithi kuhusisha na kutofanikiwa kwetuFamilia za kiafrika zitaendelea kutofanikiwa sababu kila mtu anaanzisha chake, akifa kinakufa
Hatuna utaratibu wa kuendeleza
Kwa hiyo nyumbani kwenu zikiwepo ubweteke tu sababu ya kurithi.....
π
Wewe ni chizi mtegemea Cha ndugu hufa masikini......
Mimi na wewe nani mjinga ipitie article yako tena utaona upumbavu wakoKwani wazazi ni ndugu?
Shule umesomea ujinga kweli
ππ
Wewe mwanaume mzima unahamasisa watu wabweteke......we mwanaume suruali inaelekeaKwani wazazi ni ndugu?
Shule umesomea ujinga kweli
ππ
Wewe mwanaume mzima unahamasisa watu wabweteke......we mwanaume suruali inaelekea