Wanaosemwa wanautaka Urais ndani ya CCM, Je ni Dharau tu? Mbona wakati wa Chuma waliufyata wote?

Wanaosemwa wanautaka Urais ndani ya CCM, Je ni Dharau tu? Mbona wakati wa Chuma waliufyata wote?

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! Watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
 
Mama Samia is doing fine
Endapo Tukawapa nchi Wasukuma Tena au uknown peoples tutakuwa tumeharibu kila kitu .
Hehee acha ukabila wa wazi wazi Mkuu haipendezi sisi site ni watanzania tuna haki sawa mbele ya maslahi ya Taifa
 
Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Kuna uzuri na ubaya wake. Kosa kubwa kabisa la Mama yetu Rais Samia ni baada ya Dkt. Magufuli kufariki na kuingia mtego wa kudhani Dkt Magufuli alikuwa anakosea (hata kama ilikuwa kweli ) ila kama kiongozi wa ngazi ya juu baada ya rais alipaswa kuchukua dhamana ya udhaifu wote na kujifanya kuwa anasimamia yale ambayo mwenzake alikufa akiamini yupo sahihi.

Lakini baada ya kuanza kutoa kauli za kubeza na kibaya zaidi alipowakumbatia wale ambao Dkt Magufuli aliona wanamkwamisha na wao hao viongozi kuingia na kuanza vita na marahemu imewafanya hata viongozi wenzake waone Rais Samia hana nafasi ya kuendelea na urais.

Upande mwingine Rais Samia kuwaweka karibu wabaya wa Dkt Magufuli imemsaidia kujua nani ni nani na kujifanya kumkandiq Dkt Magufuli kumemsaidia sana kujua nani yupo na yeye na pia nani alikuwa chawa kwa Dkt Magufuli na serikali yake including yeye Mama. Kwa hiyo hizi dalili za kugombea ni habari njema sana kwa mustakabali wa nchi yetu maana wanafiki wote wanaenda kuondolewa.
 
Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Mwendazake hakuruhusu demokrasia.
 
Kuna uzuri na ubaya wake. Kosa kubwa kabisa la Mama yetu Rais Samia ni baada ya Dkt Magufuli kufariki na kuingia mtego wa kudhani Dkt Magufuli alikuwa anakosea (hata kama ilikuwa kweli ) ila kama kiongozi wa ngazi ya juu baada ya rais alipaswa kuchukua dhamana ya udhaifu wote na kujifanya kuwa anasimamia yale ambayo mwenzake alikufa akiamini yupo sahihi. Lakini baada ya kuanza kutoa kauli za kubeza na kibaya zaidi alipowakumbatia wale ambao Dkt
Mama hapendi unafiki nchi ameikuta na wizi mkubwa wa pesa za umma so ulitaka apige kimya!!
 
Kosa kubwa kabisa la Mama yetu Rais Samia ni baada ya Dkt Magufuli kufariki na kuingia mtego wa kudhani Dkt Magufuli alikuwa anakosea (hata kama ilikuwa kweli ) ila kama kiongozi wa ngazi ya juu baada ya rais alipaswa kuchukua dhamana ya udhaifu wote na kujifanya kuwa anasimamia yale ambayo mwenzake alikufa akiamini yupo sahihi.
Umeongea bonge la Pointi. Lakini Je Hayati JPM alichukua udhaifu wa mzee Kikwete mtangulizi wake?
 
Back
Top Bottom