- Thread starter
- #41
Wanataka kujikaushaHilo lipo Wazi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka kujikaushaHilo lipo Wazi mkuu
Watajuana wenyewe.Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.
Ofcourse! Watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??
Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.
Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Wahaya mna ukabila sana.Mama Samia is doing fine
Endapo Tukawapa nchi Wasukuma Tena au uknown peoples tutakuwa tumeharibu kila kitu .
Hatupendi unafikiWahaya mna ukabila sana.
Hiyo nchi mliyompa huyo mama uliyemtaja mwisho 2025, mkatafute nyingine ya kumpa. Ila kama ni hiihii tutaigawana kila mtu achukue kipande chake.Mama Samia is doing fine
Endapo Tukawapa nchi Wasukuma Tena au uknown peoples tutakuwa tumeharibu kila kitu .
We JF umejiunga juzi tu na siasa umeanza kuzifahamu hapaHiyo nchi mliyompa huyo mama uliyemtaja mwisho 2025, mkatafute nyingine ya kumpa. Ila kama ni hiihii tutaigawana kila mtu achukue kipande chake.
Jipe moyo.We JF umejiunga juzi tu na siasa umeanza kuzifahamu hapa
Si kwamba wanampinga mama SSH.Hapana.Wanatengeneza cv tu.Yule jamaa angewaua asubuhi mapema!😂😂😂😂Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.
Ofcourse! Watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??
Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.
Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Multiple ID'sWe JF umejiunga juzi tu na siasa umeanza kuzifahamu hapa
Kwamba na wao wasikikeSi kwamba wanampinga mama SSH.Hapana.Wanatengeneza cv tu.Yule jamaa angewaua asubuhi mapema!😂😂😂😂
🤣🤣Multiple ID's
Angalia mwandiko wake,ni mkongwe!!
Nchi ni yetu sote mimi na wewe tusiwaachie ngedere kwenye shambaWatajuana wenyewe.
Sahihi. Hiyo haki imeanza awamu hii tu?Ni Haki yao kikatiba, hao ambao wanafanya harakati za Urais wazidi kufanya maandalizi, anaestahili atakalia kiti asiefaa🚮
Wamepima maji wameona mazingira yanaruhusu na kama hayakuruhusu back then basi haikuwa sawa.Sahihi. Hiyo haki imeanza awamu hii tu?
Maji na unga vinaendana. Sasa mbona wakati ule walidai wamwache atawale milele?Wamepima maji wameona mazingira yanaruhusu na kama hayakuruhusu back then basi haikuwa sawa.
sasa mkuu ngedere wapo mia5 walinda shamba tupo 50 tunawawezaje mangedere makubwa ukiyasogelea sana yanakuralua.Nchi ni yetu sote mimi na wewe tusiwaachie ngedere kwenye shamba
🤣🤣🤣yanafanana na ngedele lakini ndani ni machuisasa mkuu ngedere wapo mia5 walinda shamba tupo 50 tunawawezaje mangedere makubwa ukiyasogelea sana yanakuralua.