Wanaosemwa wanautaka Urais ndani ya CCM, Je ni Dharau tu? Mbona wakati wa Chuma waliufyata wote?

Wanaosemwa wanautaka Urais ndani ya CCM, Je ni Dharau tu? Mbona wakati wa Chuma waliufyata wote?

Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! Watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Watajuana wenyewe.
 
Mama Samia is doing fine
Endapo Tukawapa nchi Wasukuma Tena au uknown peoples tutakuwa tumeharibu kila kitu .
Hiyo nchi mliyompa huyo mama uliyemtaja mwisho 2025, mkatafute nyingine ya kumpa. Ila kama ni hiihii tutaigawana kila mtu achukue kipande chake.
 
Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! Watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Si kwamba wanampinga mama SSH.Hapana.Wanatengeneza cv tu.Yule jamaa angewaua asubuhi mapema!😂😂😂😂
 
Ni Haki yao kikatiba, hao ambao wanafanya harakati za Urais wazidi kufanya maandalizi, anaestahili atakalia kiti asiefaa🚮
 
Wamepima maji wameona mazingira yanaruhusu na kama hayakuruhusu back then basi haikuwa sawa.
Maji na unga vinaendana. Sasa mbona wakati ule walidai wamwache atawale milele?
 
Back
Top Bottom