Wanaosemwa wanautaka Urais ndani ya CCM, Je ni Dharau tu? Mbona wakati wa Chuma waliufyata wote?

Wanaosemwa wanautaka Urais ndani ya CCM, Je ni Dharau tu? Mbona wakati wa Chuma waliufyata wote?

Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Unakumbuka Membe alifukuzwa chamami kwa ajili ya kuutaka urais?
 
Mama Samia is doing fine
Endapo Tukawapa nchi Wasukuma Tena au uknown peoples tutakuwa tumeharibu kila kitu .
Mbona kama unawabagua wasukuma?!, Na who are those UNKNOWN!? Mimi nadhan kila mwenye sifa na katiba inamruhusu agombee tuu... chances are,we might end up getting a better leader..tusiwakatishe tamaa watu wenye Nia ya kuitumikia Nchi kwa visingizio visivyo na msingi...na Demokrasia ya kweli si kuzuia watu wasijitokeze kuomba ridhaa...wenye Nia waachwe wajitokeze na wanadi sera zao..wananchi tutaamua baada ya kuwapima...wakizimwq chini chini tunaweza ku-stick na mediocre kumbe watu wenye ufumbuzi Bora wapo.
 
Mbona kama unawabagua wasukuma?!, Na who are those UNKNOWN!? Mimi nadhan kila mwenye sifa na katiba inamruhusu agombee tuu... chances are,we might end up getting a better leader..tusiwakatishe tamaa watu wenye Nia ya kuitumikia Nchi kwa visingizio visivyo na msingi...na Demokrasia ya kweli si kuzuia watu wasijitokeze kuomba ridhaa...wenye Nia waachwe wajitokeze na wanadi sera zao..wananchi tutaamua baada ya kuwapima...wakizimwq chini chini tunaweza ku-stick na mediocre kumbe watu wenye ufumbuzi Bora wapo.
Sahihi.....lakini the Unknown ni watu wa kuogopwa sana🤣
 
Kuna uzuri na ubaya wake. Kosa kubwa kabisa la Mama yetu Rais Samia ni baada ya Dkt Magufuli kufariki na kuingia mtego wa kudhani Dkt Magufuli alikuwa anakosea (hata kama ilikuwa kweli ) ila kama kiongozi wa ngazi ya juu baada ya rais alipaswa kuchukua dhamana ya udhaifu wote na kujifanya kuwa anasimamia yale ambayo mwenzake alikufa akiamini yupo sahihi. Lakini baada ya kuanza kutoa kauli za kubeza na kibaya zaidi alipowakumbatia wale ambao Dkt Magufuli aliona wanamkwamisha na wao hao viongozi kuingia na kuanza vita na marahemu imewafanya hata viongozi wenzake waone Rais Samia hana nafasi ya kuendelea na urais. Upande mwingine Rais Samia kuwaweka karibu wabaya wa Dkt Magufuli imemsaidia kujua nani ni nani na kujifanya kumkandiq Dkt Magufuli kumemsaidia sana kujua nani yupo na yeye na pia nani alikuwa chawa kwa Dkt Magufuli na serikali yake including yeye Mama. Kwa hiyo hizi dalili za kugombea ni habari njema sana kwa mustakabali wa nchi yetu maana wanafiki wote wanaenda kuondolewa.
Mama apumzike tu ikifika 2025 mambo mazito hataki kufanya maamuzi
 
Kuna uzuri na ubaya wake. Kosa kubwa kabisa la Mama yetu Rais Samia ni baada ya Dkt Magufuli kufariki na kuingia mtego wa kudhani Dkt Magufuli alikuwa anakosea (hata kama ilikuwa kweli ) ila kama kiongozi wa ngazi ya juu baada ya rais alipaswa kuchukua dhamana ya udhaifu wote na kujifanya kuwa anasimamia yale ambayo mwenzake alikufa akiamini yupo sahihi. Lakini baada ya kuanza kutoa kauli za kubeza na kibaya zaidi alipowakumbatia wale ambao Dkt Magufuli aliona wanamkwamisha na wao hao viongozi kuingia na kuanza vita na marahemu imewafanya hata viongozi wenzake waone Rais Samia hana nafasi ya kuendelea na urais. Upande mwingine Rais Samia kuwaweka karibu wabaya wa Dkt Magufuli imemsaidia kujua nani ni nani na kujifanya kumkandiq Dkt Magufuli kumemsaidia sana kujua nani yupo na yeye na pia nani alikuwa chawa kwa Dkt Magufuli na serikali yake including yeye Mama. Kwa hiyo hizi dalili za kugombea ni habari njema sana kwa mustakabali wa nchi yetu maana wanafiki wote wanaenda kuondolewa.
Mifano tena kwa mama. Watake ama wasitake
 
Mbona kama unawabagua wasukuma?!, Na who are those UNKNOWN!? Mimi nadhan kila mwenye sifa na katiba inamruhusu agombee tuu... chances are,we might end up getting a better leader..tusiwakatishe tamaa watu wenye Nia ya kuitumikia Nchi kwa visingizio visivyo na msingi...na Demokrasia ya kweli si kuzuia watu wasijitokeze kuomba ridhaa...wenye Nia waachwe wajitokeze na wanadi sera zao..wananchi tutaamua baada ya kuwapima...wakizimwq chini chini tunaweza ku-stick na mediocre kumbe watu wenye ufumbuzi Bora wapo.
Toka huko usingizini kama unafikiri kura ndio inaamua hatma ya serikali ya CCM
 
Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Tatizo liko hapa
JamiiForums1856819424.gif
 
Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Yule hakuwa chuma bali bua lililopatwa rangi ya chuma
 
Sahihi.....lakini the Unknown ni watu wa kuogopwa sana🤣
Point yangu iko pale pale...watu wasitishwe au kuzuiwa wasitafute nafasi za uongozi...ni haki yao ya msingi na hakuna mwenye monopoly na uongozi nchini, pia Tanzania sio nchi ya Kifalme.
 
Point yangu iko pale pale...watu wasitishwe au kuzuiwa wasitafute nafasi za uongozi...ni haki yao ya msingi na hakuna mwenye monopoly na uongozi nchini, pia Tanzania sio nchi ya Kifalme.
Wacha waparuane yetu macho
 
Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.

Ofcourse! Watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??

Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.

Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Tatizo kacheka na mbwa Kuna mawili achague moja awafukuze ili aingie msikini au aingie nao
 
Back
Top Bottom