Unakumbuka Membe alifukuzwa chamami kwa ajili ya kuutaka urais?Kuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.
Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??
Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.
Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Mbona kama unawabagua wasukuma?!, Na who are those UNKNOWN!? Mimi nadhan kila mwenye sifa na katiba inamruhusu agombee tuu... chances are,we might end up getting a better leader..tusiwakatishe tamaa watu wenye Nia ya kuitumikia Nchi kwa visingizio visivyo na msingi...na Demokrasia ya kweli si kuzuia watu wasijitokeze kuomba ridhaa...wenye Nia waachwe wajitokeze na wanadi sera zao..wananchi tutaamua baada ya kuwapima...wakizimwq chini chini tunaweza ku-stick na mediocre kumbe watu wenye ufumbuzi Bora wapo.Mama Samia is doing fine
Endapo Tukawapa nchi Wasukuma Tena au uknown peoples tutakuwa tumeharibu kila kitu .
Only MembeUnakumbuka Membe alifukuzwa chamami kwa ajili ya kuutaka urais?
Sahihi.....lakini the Unknown ni watu wa kuogopwa sana🤣Mbona kama unawabagua wasukuma?!, Na who are those UNKNOWN!? Mimi nadhan kila mwenye sifa na katiba inamruhusu agombee tuu... chances are,we might end up getting a better leader..tusiwakatishe tamaa watu wenye Nia ya kuitumikia Nchi kwa visingizio visivyo na msingi...na Demokrasia ya kweli si kuzuia watu wasijitokeze kuomba ridhaa...wenye Nia waachwe wajitokeze na wanadi sera zao..wananchi tutaamua baada ya kuwapima...wakizimwq chini chini tunaweza ku-stick na mediocre kumbe watu wenye ufumbuzi Bora wapo.
Kwanini? Alikuwa Makamu wa Rais wa chama chenu leo kawa Rais ndio hauziki?Hauziki mama.
Mama apumzike tu ikifika 2025 mambo mazito hataki kufanya maamuziKuna uzuri na ubaya wake. Kosa kubwa kabisa la Mama yetu Rais Samia ni baada ya Dkt Magufuli kufariki na kuingia mtego wa kudhani Dkt Magufuli alikuwa anakosea (hata kama ilikuwa kweli ) ila kama kiongozi wa ngazi ya juu baada ya rais alipaswa kuchukua dhamana ya udhaifu wote na kujifanya kuwa anasimamia yale ambayo mwenzake alikufa akiamini yupo sahihi. Lakini baada ya kuanza kutoa kauli za kubeza na kibaya zaidi alipowakumbatia wale ambao Dkt Magufuli aliona wanamkwamisha na wao hao viongozi kuingia na kuanza vita na marahemu imewafanya hata viongozi wenzake waone Rais Samia hana nafasi ya kuendelea na urais. Upande mwingine Rais Samia kuwaweka karibu wabaya wa Dkt Magufuli imemsaidia kujua nani ni nani na kujifanya kumkandiq Dkt Magufuli kumemsaidia sana kujua nani yupo na yeye na pia nani alikuwa chawa kwa Dkt Magufuli na serikali yake including yeye Mama. Kwa hiyo hizi dalili za kugombea ni habari njema sana kwa mustakabali wa nchi yetu maana wanafiki wote wanaenda kuondolewa.
Mifano tena kwa mama. Watake ama wasitakeKuna uzuri na ubaya wake. Kosa kubwa kabisa la Mama yetu Rais Samia ni baada ya Dkt Magufuli kufariki na kuingia mtego wa kudhani Dkt Magufuli alikuwa anakosea (hata kama ilikuwa kweli ) ila kama kiongozi wa ngazi ya juu baada ya rais alipaswa kuchukua dhamana ya udhaifu wote na kujifanya kuwa anasimamia yale ambayo mwenzake alikufa akiamini yupo sahihi. Lakini baada ya kuanza kutoa kauli za kubeza na kibaya zaidi alipowakumbatia wale ambao Dkt Magufuli aliona wanamkwamisha na wao hao viongozi kuingia na kuanza vita na marahemu imewafanya hata viongozi wenzake waone Rais Samia hana nafasi ya kuendelea na urais. Upande mwingine Rais Samia kuwaweka karibu wabaya wa Dkt Magufuli imemsaidia kujua nani ni nani na kujifanya kumkandiq Dkt Magufuli kumemsaidia sana kujua nani yupo na yeye na pia nani alikuwa chawa kwa Dkt Magufuli na serikali yake including yeye Mama. Kwa hiyo hizi dalili za kugombea ni habari njema sana kwa mustakabali wa nchi yetu maana wanafiki wote wanaenda kuondolewa.
Toka huko usingizini kama unafikiri kura ndio inaamua hatma ya serikali ya CCMMbona kama unawabagua wasukuma?!, Na who are those UNKNOWN!? Mimi nadhan kila mwenye sifa na katiba inamruhusu agombee tuu... chances are,we might end up getting a better leader..tusiwakatishe tamaa watu wenye Nia ya kuitumikia Nchi kwa visingizio visivyo na msingi...na Demokrasia ya kweli si kuzuia watu wasijitokeze kuomba ridhaa...wenye Nia waachwe wajitokeze na wanadi sera zao..wananchi tutaamua baada ya kuwapima...wakizimwq chini chini tunaweza ku-stick na mediocre kumbe watu wenye ufumbuzi Bora wapo.
Tatizo liko hapaKuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.
Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??
Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.
Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Asali 😅😅Tatizo liko hapaView attachment 2402684
Kweli huyo jamaa amewashangaza wengiToka huko usingizini kama unafikiri kura ndio inaamua hatma ya serikali ya CCM
Yule hakuwa chuma bali bua lililopatwa rangi ya chumaKuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.
Ofcourse! watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??
Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.
Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Point yangu iko pale pale...watu wasitishwe au kuzuiwa wasitafute nafasi za uongozi...ni haki yao ya msingi na hakuna mwenye monopoly na uongozi nchini, pia Tanzania sio nchi ya Kifalme.Sahihi.....lakini the Unknown ni watu wa kuogopwa sana🤣
Wacha waparuane yetu machoPoint yangu iko pale pale...watu wasitishwe au kuzuiwa wasitafute nafasi za uongozi...ni haki yao ya msingi na hakuna mwenye monopoly na uongozi nchini, pia Tanzania sio nchi ya Kifalme.
Tatizo kacheka na mbwa Kuna mawili achague moja awafukuze ili aingie msikini au aingie naoKuna tetesi kila mahali kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi makundi kwa makundi wanajipanga kuweka upinzani hapo baadaye 2025 uchaguzi ujao.
Ofcourse! Watasema ni haki yao ya kikatiba na demokrasia ndani ya chama chao, jambo la kushangaza ni kwanini sasa? Mbona wakati wa JPM wote waliufyata??
Katiba Mbovu inawafanya waamini kila mtu anaweza kuwa Rais as long as ni Mwanaccm.
Sasa Mh Rais Samia kazi kwako.
Aliyekuambia msukuma anataka nchi nani?Mama Samia is doing fine
Endapo Tukawapa nchi Wasukuma Tena au uknown peoples tutakuwa tumeharibu kila kitu .
Mama ataingia nao😅😅Tatizo kacheka na mbwa Kuna mawili achague moja awafukuze ili aingie msikini au aingie nao
Hilo lipo Wazi mkuuAliyekuambia msukuma anataka nchi nani?