Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Dhuluma hajawahi kuacha mtu salama. Alimtapeli Bwana Makoye mmiliki hatali wa silent Inn. Waliingia makubaliano kati ya Rwegasira na Makoye kuwa Rwegasira atakarabati halafu ampe percent fulani ya mapato kila mwezi ila Rwegasira apate zaidi na amiliki pale kwa muda waliokubaliana. Rwegasira akaenda fanya forgery mkataba Ile akaweka kuwa wamiliki kwa miaka 100. Halaula. Walisumbuana na sielewi ilifika wapi. Baadaye Rwegasira akaanza kufilisika. Baadaye Silent Inn ikawa inafanyikia Ibada i.e kama kanisa la kilokole. Hivyo basi hakuna dhuluma isiyokuwa na mwisho.
 
Hapo uliposema alijisomesha ukubwani....mkuu naomba ufunguke kidogo tu, itanisaidia mimi nisikate tamaa maana nipo chuoni huku nikitarajia kupata mjukuu!
 
Sasa silent in si ndo lilikuwa jina LA club na business name ya hapo? Basi ilikuwa yake Rwegasila na ndo alikuwa mmiliki!
 
Silent in ipo sehemu gani?Huyo PDG alikuwa na biashara zipi ?
Silent inn miaka kuanzia 1996 ilikuwa pale barabara ya Sam Nujomba mita kama 200 upande wa kushoto kutoka kanisa la kakobe kama unaenda mwenge kabla ya kupanuliwa na kuwa njia 4
 
Dah! Eebwana weee!
 


Picha yake tafadhali.
 
Si a
Si alifungua kanisa huyu mzee
 
Hivi Silent Inn mmiliki alikuwa ni Rwegasila? Nilijua ni Felician Mutta FM Studio Jamani Tunda nitalipataje Tunda? Tunda TamTam Daaaaa mda unaenda sana!!

Mutta ndio alikimilikisha kazi zote za saida karoli


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nasikia aliokoka alikuwa anasali kwa mama wa mlima wa moto,pale Maikocheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…