Wanaowatetea machinga kuondolewa maeneo yasiyo rasmi kwa biashara wana uelewa mdogo

Wanaowatetea machinga kuondolewa maeneo yasiyo rasmi kwa biashara wana uelewa mdogo

Nimeliona hili kwa kweli
Natamani miji yote iwe kama Moshi kwa usafi
Na hapo naona wafagiaji wataonekana kuliko mwanzo walikuwa hawawezi hata kufanya usafi kwani itabidi umnyanyue mmachinga na lundo lake la bidhaa ndio usafi ufanyike

Ila sasa jiji litapendeza

Daa nimekumbuka yaliyowakuta watoto huko Brazil wale waliokuwa wanalala mitaani walivyouwawa na serikali eti wanawakimbiza watalii wasije Rio

I was bad sijui kwanini nimekumbuka tukio lile la kutisha
I was bad sijui kwanini nimekumbuka tukio lile la kutisha[emoji15][emoji25]sorry bro
 
Kuna watu waliwekeza kwenye ujenzi was vibanda na kuvipanga barabarani kusubiria Kodi.
kuna mtu namjua ana vibanda vitano ameviweka pemben ya barabara anasubiria kod tu kila mwisho wa mwezi.Ss na huyu ni mmachinga?Mmachinga (matching guys) ni yule anayeshika bidhaa zake mkononi tu,wengine hawa ni wafanyabiashara wenye mitaji ya kuweza kulipa frem za bei ndogo na maisha yakasonga.
 
Naunga mkono hoja sio kwamba wana uelewa mdogo bali ni VICHAA.

Machinga watoke waende sehemu rasmi....Sehemu zipo nyingi sana za kufanya biashara zao ukiacha zile walizotengewa!! Fremu zimejaa kibao zipo wazi hazina wapangaji ,mmachinga ana mtaji wa milioni 5 anashindwa kweli kupanga fremu ya elfu 50 kwa mwezi? Siku hizi biashara zinafanywa online wajiongeze!

Hata kama wameomba kukutana na SSH ,naomba Mh SSH komaa hivyo hivyo hawa jamaa wasirudi kwenye mitaro ,kwenye njia za watembea kwa miguu na service roads! Jiji limependeza baada ya kutoka ,walikuwa wanachafua majiji ,waende sehemu mlizowapangia.
mtaji wa mil 50 kodi elfu 20 kwa mwaka si dharau hizo, acha watoke wakikaidi wapigwe
 
sijafaham,ila serikali ambayo ina vision haikupaswa kuvunjia watu bali iwawezeshe.
watu hamna uwezo wa kuwapa ajira,halafu hata hizo duni wanazojitafutia mnawakwamisha.

hivi mkuu umejaribu kuchora mchoro wa madhara waliyosababishiwa!!!hapa masaki mwisho kuna wakina mama kadhaa wameshapoteza tumaini la kesho yao,eti kisa wanachafua taswira ya jiji!!!yaani jiji kama jiji lina vichwa vya mbuzi humo ofisini hata kuomba mkopo lichonge vibanda hamishika livikodishe kwao kwa kodi nafuu!!!

tunakubali kuna sheria ndio,ila yatupasa kujua sheria nyingi zimechakaa haziendani na maisha ya sasa.kipindi sheria zinatungwa hakukuwa hata na huduma za kifedha kwa simu.

kumwacha bata azurule hovyo uwanjani kisha akanya,unaonekana wewe mfugaji ndio hauko makini,badala ya kushinda unamfukuza,mchingee banda huru.
Umeongea kwa uchungu sana

Issue huo ndio utaratibu wa mipango miji?.
Ni mama ntilie?.

Option iliyopo ni wanaweza kujiunga/jichangisha wakapangisha fremu rasmi...huo ndio utaratibu
 
Kuhusu kupanga bidhaa hilo ni Utashi binafsi, ndio maana kuna nyumba ya Tajiri isiyo na mpangilio mzuri vilevile. Kwa hiyo hatuna mipangilio mizuri au mibaya kwa sababu ya Utajiri au Umaskini

Kuna Machinga wanajua kutumia Space zao vizuri na njia wanaacha utawapenda yaani;

Machinga huwa na mpangilio usiovutia pale palipo na Hot Bussiness yaani Wateja wa kutosha mbele, nyuma na Pembeni huku ndio kungewekewa marekebisho kiasi

Hivi sio kweli kuwa lengo la Hawa watu kuhamishwa ni kwa sababu inabidi wakae mahali Biashara zao ziwe updated kwenye mifumo ya Kodi?

Au ndo kusafisha Jiji ili livutie? Tuweni na Utu, watu wana familia, watoto wapo shule wanasoma na mahitaji Mengine Mengi

Tujiandae kwa Wizi wa kutumia Magari na Ulinzi kudumaa kwenye Majiji na miji iliyo wazi.

Ni kwa sababu watu wamekuwa na umakini mkubwa sana wa kuendesha wawapo Town na watu wakiwa wengi Mahali, ndio Ulinzi wenyewe wa Nchi yetu.
Watu jmn
Leo mnazungumzia utu?
Ila mlishabikia wkt wenzenu wa vyeti feki wanatolewa maofisini sio?.

Hata wao walikua na familia ila ilibidi sheria ichukue mkondo wake
 
Mimi nasema machinga wafuru

Watu jmn
Leo mnazungumzia utu?
Ila mlishabikia wkt wenzenu wa vyeti feki wanatolewa maofisini sio?.

Hata wao walikua na familia ila ilibidi sheria ichukue mkondo wake
Hasha!

KateMiddleton you now equalize forgery and these groups' pertaining own survival?

Kipi hakina manufaa kwa vilivyofanyika?
 
Hasha!

KateMiddleton you now equalize forgery and these groups' pertaining own survival?

Kipi hakina manufaa kwa vilivyofanyika?
That was survival too
They lost it all bila huruma

Machinga hivi wana shida gani na kupangisha fremu?.nani atawabughudhi?
Mtu ana banda kubwa tu lina bidhaa
Hata mama ntilie ?.

Ifike hatua tuwatakie heri watanzania wenzetu biashara zao zipande hadhi
Ni maumivu ila kuelekea sehemu nzuri

Usione huu ni msalaba wa viongozi.,ingekua wewe ungeacha kila mtu afanye anavyotaka hii nchi?
Kuna sheria jmn
Mbona wengine wanafuata?!
 
That was survival too
They lost it all bila huruma

Machinga hivi wana shida gani na kupangisha fremu?.nani atawabughudhi?
Mtu ana banda kubwa tu lina bidhaa
Hata mama ntilie ?.

Ifike hatua tuwatakie heri watanzania wenzetu biashara zao zipande hadhi
Ni maumivu ila kuelekea sehemu nzuri

Usione huu ni msalaba wa viongozi.,ingekua wewe ungeacha kila mtu afanye anavyotaka hii nchi?
Kuna sheria jmn
Mbona wengine wanafuata?!
Ni hujatofautisha bado
 
Watu wanajitoa ufahamu tu, hata hao machinga wanajua wanafanya makosa ndo maana wanajenga mabanda temporary.
Kwa hili nasimama na serikali, utaratibu lazima ufuatwe. Hakuna mwenye uhalali wa kuvunja sheria haijalishi hali aliyonayo.
 
Back
Top Bottom