Hizo damu mkuu ni kutokana na tissue za kuta za uterus kuharibika na sio yai lina damu... biology ndogo tu hyo ya form 3Vizuri unajua mimi naona kabisa yani mtu anaacha asili na inaonekana kabisa mwanamke yai lina pasuka lina toa damu na hakuna atakaye bisha hapa aje na kama ndio hivyo mtu akileta hoja kua ile sio yai aje