makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
We ndugu yangu unajitoa akili tu, mbona hicho kitu kiko wazi.
Taja hatua zako za kibaiolojia uzijuazo, je baada ya manii kukutana na yai la mwanamke haliwi pande la damu?
Hapo ni mola kakuonesha uwezo wake katika hali ua shortcut maana ilibidi aamze kueleza ukila msosi, machungwa yanakhwaje kuwaje shahawa, bado alichambue yai la mwanamke, linavyotoka katika mirija ya falopia na kadhalika.
Hapo kakuonesha uwezo wako toka shahawa mpaka kuwa kiumbe kwa shortcuts.
Soma quraan yoote utapata maelezo zaidi humo humo.
Swali ushawahi toa mimba kabla miezi mi4 linalotoka pale sio bonge la damu?
Taja hatua zako za kibaiolojia uzijuazo, je baada ya manii kukutana na yai la mwanamke haliwi pande la damu?
Hapo ni mola kakuonesha uwezo wake katika hali ua shortcut maana ilibidi aamze kueleza ukila msosi, machungwa yanakhwaje kuwaje shahawa, bado alichambue yai la mwanamke, linavyotoka katika mirija ya falopia na kadhalika.
Hapo kakuonesha uwezo wako toka shahawa mpaka kuwa kiumbe kwa shortcuts.
Soma quraan yoote utapata maelezo zaidi humo humo.
Swali ushawahi toa mimba kabla miezi mi4 linalotoka pale sio bonge la damu?