Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Tafsiri ya kiswahili ni utapeli mtupu, haifanani na hiyo ya kiingereza. Tone ndio sperm? Kwahiyo Allah aliiumba tone kuwa damu? Hiyo unaona iko sawa kisayansi?
 
Tafsiri ya kiswahili ni utapeli mtupu, haifanani na hiyo ya kiingereza. Tone ndio sperm? Kwahiyo Allah aliiumba tone kuwa damu? Hiyo unaona iko sawa kisayansi?
Ndio maana nakuambia huna akili kichwani. Duniani kuna kitu au kifaa chochote kinachoitwa TONE?? We hujui tone ni sifa ya uchache??

We hujui kuwa tone hutokana uchache wa kimiminika fulani??

Mfano TONE LA MAJI, TONE LA DAMU, TONE LA MANII nk.

Kwahiyo ukiona neno TONE LA UZAZI akili yako inadhania kiwango kidogo cha mchanga?? Na sio Manii?? Haya malizia na AYA hii hapa na ulale mbuzi wewe.


أَكَفَرْتَ بِالَّذِي خَلَقَكَ مِنْ تُرَابٍ ثُمَّ مِنْ نُطْفَةٍ ثُمَّ سَوَّاكَ رَجُلًا {37}

“Je, unamkufuru yule aliyekuumba kwa udongo, tena kwa tone la manii, kisha akakufanya mtu kamili?” (18:37)”

Umeona mwendelezo wa hilo TONE??

Umeridhika kuona neno MANII (SPERMS)??

Hapo umekubali kuwa QURAN imetoa majibu sahihi??
 
Quran imesema uongo kwamba uumbaji wa mtoto tumboni unatokea pale ambapo sperm inaingia katika damu iliyoganda.

Halafu tone pia ni uongo kwasababu kisayansi mwanaume anatoa sperm karibu milioni 500 kwa raundi moja na inayoingia kwenye yai ni moja tu na sio tone.

Allah alikuwa anakisia na kusema vitu asivyovijua.
 
Kwahiyo Allah yupo sahihi kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda (ambayo ipo kwenye tumbo la uzazi la mwanamke)?
Kwanini husomi Aya vizuri na nimekuwekea ?

Wapi Allah amesema Sperm inaingia kwenye damu ?

Wewe ni Mkristo ? Kama ni mkristo nasema hivi "Ndiyo maana" yaani kuisoma kwa kutafakari na kuelewa huwa hamsomi yaani mnakurupuka tu. Hapo nimekuwekea tarjama ya Kiswahili ya aya lakini umeshindwa kuelewa unauliza jambo ambalo halipo kwenye aya.
 
Ntadeal na wewe kima mpaka uelewe. Haya elezea hiyo hoja yako kupitia AYA hii.


14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.

"KISHA TUKAIUMBA TONE KUWA DAMU ILIYOGANDA"

Umeelewa hiyo sentensi??

English version: tasfiri hii sentensi

She undergo some biological changes from juvenile INTO adult.

Neno INTO limetumikaje hapo??
 
Mkuu hayo maandishi yanasababisha mashaka makubwa sana kwasababu haiwezekani Mungu wa kweli asijue kwamba sperm inaingia kwenye yai (ovum) na sio kwenye damu iliyoganda.

Mkuu, mbona huo mstari uko wazi kwamba kinachozungumzwa hapo sio kipi na kipi vinaingiana bali ni hatua za mabadiliko kutoka sperm mpaka kufikia kiumbe kingine?

Hofu yangu ni haya maandiko iwe Quran au Bibilia, sio kila mtu ana elimu na hekima inayotosha kuyafafanua maana yake.
 
Ok , kwa hiyo wewe ndio unaongeza uelewa wako, apo sawa
Kwani ukiambiwa katka ya mapaja ya mwanamke kuna patkana nn..mbna linakuja fasta apo kpi kigumu kujua Au kwenye vdole vya mwanadamu kuna mapembe!!!?
 
Uhalisia ni baiolojia.

Kwahiyo kwa mujibu wa hiki umeandika hapa mwanadamu anakuwa ndani ya sperm na hakuna haja ya yai la mwanamke?
Unatakiwa ukue kijana na uelewe maandiki. Inaonekana wewe ni shabiki wa Baiolojia na si msomi au mtafiti au muhojaji wa masuala ya kielimu. Rejea msingi wa Baiolojia Kisha uje tujadiliane.

Kwani Sperm au mbegu inayo ongelewa hapo inakuwepo wapi ? Lazima muunganiko wa mama uwepo. Swali lako la kitoto umeuliza sawa na mtu kuuliza "Baba na mtoto nani mkubwa kiumri ?" Jambo ambalo ni maarufu na halihitaji kuulizia sababu liko wazi mno.
 
Mkuu hayo maandishi yanasababisha mashaka makubwa sana kwasababu haiwezekani Mungu wa kweli asijue kwamba sperm inaingia kwenye yai (ovum) na sio kwenye damu iliyoganda.
Kijana unasoma Aya gani ? Aya hakuna iliposema kwamba Sperm inaingia kwenye damu. Wewe haya tuambie kwanza umeyapata wapi ?
 
Hata walokole wa Kibwetere waliambiwa wasisome Bible kama wanasoma gazeti Mwisho wa siku wote wakachomwa
Huo ndio ujinga tusioutaka wakutokuhoji kinachohojika wale walikuwa na element za kiislam.Wewe unaweza kuikosoa quran ukiwa ndani ya uislam?hujitaki?
 


Watu kama wewe,wakati yesu anafanya miujiza ndio wale waliomuita mchawi.kwa sababu wamejaa roho za chuki na ujinga ndani yao.

Na sio wote wanaosoma huwa wanaona na na kukielewa sawia kile kilichondikwa.

na ndio maana katika iyo aya Qur'an 24:14 uliyoinukuu(kwa kiswahili) hakuna palipoandikwa kuwa "manii inaingia katika damu iliyoganda" kama papo nioneshe.
katika hilo tayari umezusha na umeifanya kuwa hoja yako ya msingi.
Kwa hiyo hapa tunajadili uzushi.

Nachokushauri,somo au mada moja katika dini hizi mbili haiandikwi kwenye mstari au aya au kitabu kimoja, ndio maana biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi na Qur'an ni mkusanyiko wa vitabu vingi vile vile.

Kwa hiyo huwezi kuijua dini hata iyo yako kwa ku-google google tu.maana hata wajinga huwa wanaposti google.

Kwenye dini yoyote watu wanahoji na kitafsri maandishi.ndio maana Kuna "mafundisho" na "madrasa"

Kama kweli unania ya kuijua dini fulani jitoe kujifunza kwa wenye elimu nayo,hata mapadri na mashehe wamasome wakaelimika ndio maana huji kuwaona wakilumbana katika dini zao.

Maana DINI NI IMANI. yaani kuamini vinavyoonekana,visivyoonekana kwa macho ya nyama na kuamini vinavyowezekana na visivyowezekana kibinadamu.kwa hiyo katika Imani ya mtu hakuna jambo la ajabu kwake,
Ndio maana hata yesu "alitembea juu ya maji ,kwa nyayo zake" kitu ambacho kisayansi mtu kutembea juu ya maji haiwezekani,LAKINI KWA IMANI(dini).

Kwa hiyo kulinganisha dini na sayansi,KWA AYA MOJA" vitu ambavyo watu wanajifunza maisha yao yote kwa muda na gharama pia kwa na bado hawajavimaliza,kama sio chuki ni UJUHA.
Punguza kuteseka juu ya Imani za watu,ishi kwa Imani yako

ELIMU NI BAHARI.(Usitangulize kebehi,dharau kama kweli una nia ya kujifunza).
Wapo watu wana elemu katika wakristo na waislam ila hawatoi majibu wakishagundua nia ya mtoa mada,/hoja.wanaamua kukaa kimya,
KWA MAANA KUKAA KIMYA KIHENGA NA KIIMANI NI HEKIMA.
NA PIA KUKAA KIMYA NI JIBU KWA MPUMBAVU,(basi tusiwafanye wenye maarifa watukalie kimya).

Uwe na hekima katika kujifunza kwako.
 
Mbona unakuwa mgumu kuelewa.. ishu ni sperm kuingia kwenye damu iliyoganda ili kuumba mtoto.

Huu ni uongo. Sperm inaingia kwenye yai (ovum).
😂 😂 😂

Usikaze kichwa, majibu yako kichwani futa, muhemko wa kidini uweke kando ndio tujadili hili.

Kwa mujibu wa tafsiri yako, si niliyoleta mimi,hakuna sehemu shahawa imeingia kwenye pamde la damu kama ipo nioneshe nijipige ban JF, umeiandika wewe mwenyewe umesema hivi
"Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine.
Na kingereza chake uliweka kinachosema" Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump"

Mbona hii lugha inazungumzia stage moja kwenda inayofata, kwamba aliumba/badili tone la shahawa kwenda kuwa pande la damu na sio kuingia kwenye pande la damu

Sasa hapo sijui tatizo ni lugha kwako, maana hakuna sehemu pameandikwa shahawa imeingia kwenye pande la damu bali shahawa imebadilika na kuwa pande la damu katika tumbo la uzazi la mwanamke.

Usikaze kichwa mzee, lugha nyepesi saana hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…