Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Huyu mpuuzi naomba mumpuuze! Ila kama mna Mda wa kupoteza fine jadilianeni nae!Kipindi Muhammad anaandika Koran elimu ya embryology ilikuwepo na akai copy kama ilvyo
View attachment 2372618
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mpuuzi naomba mumpuuze! Ila kama mna Mda wa kupoteza fine jadilianeni nae!Kipindi Muhammad anaandika Koran elimu ya embryology ilikuwepo na akai copy kama ilvyo
View attachment 2372618
Weka hii aya, maana niliyosoma haisemi alama za vidole"NITAWAFUFUENI KILA MMOJA BILA KUPOTEZA ALAMA ZENU ZA VIDOLE."
😂 🤣 😂 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ukiniona unaweweseka , sio wewe tu na ndugu zako katika imaniHuyu mpuuzi naomba mumpuuze! Ila kama mna Mda wa kupoteza fine jadilianeni nae!
Nakupenda Sana mkuu Ila tatizo unajizima Sana data!😂 🤣 😂 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ukiniona unaweweseka , sio wewe tu na ndugu zako katika imani
Akili ndogo hi, hutaki kuifikirisha akili yako wapenda "spoon feeding" mwenzio kayajua haya ya Google ila Kuna anachojiuliza hapo anataka aeleweshwe.achana na mambo ya kuigiza ya vitabu hiyo. Just google. Mudi hakujua science yoyote, achana na vitu kama hivyo
najua unajua what happens ila unataka reaction ya wale watu
Kazi ipo kwelikweli! Kiongozi we itakuwa huna kichogo.. yaani nyuma ya kichwa chako kuko flatiiiiiiEmbryology ya Allah na Muhammad huwa inachekesha Sana
Damu inaganda (dead blood) alafu ipo ndani ya mwanamke
Damu iliyoganda inabadilika kuwa pande la nyama ! , Pande la nyama linabadilika linakuwa mifupa tupu alafu mifupa inakuja tena kuvalishwa nyama dah!
Ila sio makosa yake Muhammad, hakuwa na technology iliyokuwepo kipindi icho aweze kujua ukweli wa embriology kwa kuangalia stages
Kwaupande wangu naona yupo sahihi during fertilization yai la kike ( damu iliyoganda) au ova itakuja mpaka kwenye fallopian tube ambapo fertilization ( urutubishaji) hufanyika, sperm itaingia kwenye ova na kurutubisha then itasafiri mpaka kwenye uterus body na kujiattach aside.
Does man (a disbeliever) think that We shall not assemble his bones? Yes, We are Able to put together in perfect order the tips of his fingers.Weka hii aya, maana niliyosoma haisemi alama za vidole
Hiyo diagram ndo inaleta maana halisi ya mabadiliko ya kiumbe tumboni,ndo ikasema inakuwa tone,pande la damu,nyama na kadhalikaAmetukuka M.Mungu
Muumbaji aliye bora kabisa
Unajua tips of fingers? Alama za vidole mbona hakuna hapoDoes man (a disbeliever) think that We shall not assemble his bones? Yes, We are Able to put together in perfect order the tips of his fingers.
75:3-4 Qur an
Kwenye tips of fingers unahisi kuna patikana nini hadi Mwenyezimungu akaamua kupaongelea?Unajua tips of fingers? Alama za vidole mbona hakuna hapo
Ok , kwa hiyo wewe ndio unaongeza uelewa wako, apo sawaKwenye tips of fingers unahisi kuna patikana nini hadi Mwenyezimungu akaamua kupaongelea?
Yai la kike ni tishu na sio damu ilioganda, umesoma biolojia ipi wewe? 6 years sijawahi sikia ovary ni damu iliyoganda.Kwaupande wangu naona yupo sahihi during fertilization yai la kike ( damu iliyoganda) au ova itakuja mpaka kwenye fallopian tube ambapo fertilization ( urutubishaji) hufanyika, sperm itaingia kwenye ova na kurutubisha then itasafiri mpaka kwenye uterus body na kujiattach aside.
Baba wa uwongo alitudanganya kuwa jua lina zama kwenye matope mazito. Dini ta magumashi hiyoKatika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.
Quran 23:14
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji
English translation:
Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.
Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.
Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.
Maswali yangu
1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?
battawi FaizaFoxy Mokiti adriz Kisai