professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Angalau unajitambua kinacho tufanya kuingiza wakristo wote kundi moja mna tu discus sana kwenye kitabu chetu kama huyu mleta huu uzi aiheshimu quran hivyo lazima tumuoneshe kama yeye hana heshima kuna watu kitambo tu heshima ukituzingua tunazieka mfukoni kazi inaanzaOngea Kwa proofs mbona unaandika kama wamataifa leta hizo biblia shusha haya za madhehebu tofauti tofauti na utuoneshe utofauti wake alafu nakusihi usitake kutuvunjia heshima hakuna mkristo especially mroma mwenye time na uislamu hayupo na hajawahi kuwepo hutakaa ...
Mwambie bibi yako aende kanisani uliyo yataka utayapata tu Yesu kalaaniwa bwana unakataa maandiko yako we vipi acha ujinga kabisa na usirudie kutuletea mada za mapichapicha humuNgoja mimi nikuache na ujumbe huu:
Yesu Kristo ni mwokozi, anakupenda na alikufa msalabani ili upate ondoleo la dhambi. Naona unahoji mambo mengi na inaonesha unazo jitihada kutaka kumjua Mungu wa kweli.
Hilo ni jambo jema nami nakuombea neema ya Mungu upate wokovu, macho yako ya rohoni yafunguliwe upate kumjua Yesu Kristo. Maswali mengi unayouliza leo utapata majibu ndani ya Yesu.
Jambo moja nakushauri, tafuta watu sahihi wakufundishe neno la Mungu. Kama upo dar nenda kanisa kama dpc kinondoni, vcct mbezi beach, city harvest bahari beach au capstone fellowship nalo liko bahari beach utapata mafundisho mazuri.
Nikutakie kila la heri na kumbuka Yesu Kristo anakupenda.
[emoji1787]Jua lina zama kwenye matope mazito mara mbegu inaingia kwenye kalio madhubuti. Mawazo yenu na dini yenu ni tigo tu
Sasa Mufti hiyo sio namna nzuri ya kumrekebisha mtu hata kama malaika anapita Kwa mnavyotiririka hataweza kutambua Kati yako na yeye wake ni yupi..unajua sitataka kukulaumu wewe Mim nitamlaumu mkristo alieishi katika misingi ya kikristo,,kwa upande wako pia Kwa Imani yako nitakuuliza je hiyo ndiyo namna sahihi ya kuoneshana ubora wa dini yako Kwa kurushiana replies very harsh Hadi nafaa kufumba macho Kwa kile mlichokiandika, waasisi wetu Kwa mujibu wetu walikuwa watu wenye viwango vya juu vya hekima na walipitia matusi na dharau zisizo mfano iweje Sisi tusiojua hata theluthi ya waliyokuwa wakiyafahamu..Angalau unajitambua kinacho tufanya kuingiza wakristo wote kundi moja mna tu discus sana kwenye kitabu chetu kama huyu mleta huu uzi aiheshimu quran hivyo lazima tumuoneshe kama yeye hana heshima kuna watu kitambo tu heshima ukituzingua tunazieka mfukoni kazi inaanza
Nashukuru una mawazo mazuri naweza sema ila kuna yuyu jamaa mokit yeye hakutaka elimu bro alitaka vita ya maneno a na tukaona tumuoneshe kua siyo yeye kwenye huu ulimwengu ndio anajua kuongea nafahamu kua angeitaji elimu na kama alikua anaona sehemu kuna kosa angepaswa kusahihisha ila anacho kifanya kukashifu aisee akiendelea sita muacha aisee nashukuru na nimekuelewaSasa Mufti hiyo sio namna nzuri ya kumrekebisha mtu hata kama malaika anapita Kwa mnavyotiririka hataweza kutambua Kati yako na yeye wake ni yupi..unajua sitataka kukulaumu wewe Mim nitamlaumu mkristo alieishi katika misingi ya kikristo,,kwa upande wako pia Kwa Imani yako nitakuuliza je hiyo ndiyo namna sahihi ya kuoneshana ubora wa dini yako Kwa kurushiana replies very harsh Hadi nafaa kufumba macho Kwa kile mlichokiandika, waasisi wetu Kwa mujibu wetu walikuwa watu wenye viwango vya juu vya hekima na walipitia matusi na dharau zisizo mfano iweje Sisi tusiojua hata theluthi ya waliyokuwa wakiyafahamu..
Huna akili wewe, yaan Mungu aamue kuzaliwa ili aje awakomboe aliwaumba yeye mwenyewe? We una akili kichwani humo??Yesu ndiye aliyeumba vitu vyote unavyoviona na usivyoviona. Alimuumba hata allah mwenyewe sema alikuja kuasi na akatupwa duniani.
Yesu Kristo yupo tangu milele. Alipitia tumboni mwa Mariamu ili achukue mwili wa kibinadamu. Nadhani umeuelewa umaalumu wa muumba wako.
(Ndio maana mnaambiwa Yesu sio Issa.Huna akili wewe, yaan Mungu aamue kuzaliwa ili aje awakomboe aliwaumba yeye mwenyewe? We una akili kichwani humo??
Hakuna alama za vidole acheni kudanganyaHilo fumbo huenda lisifumbuliwe leo,
Jibu likaja baada ya miaka 1000 ijayo...
Hapana .Kalio madhubutiKatika kalio tena.....
Na ni wakati gani mifupa inavishwa nyama?Kwaupande wangu naona yupo sahihi during fertilization yai la kike ( damu iliyoganda) au ova itakuja mpaka kwenye fallopian tube ambapo fertilization ( urutubishaji) hufanyika, sperm itaingia kwenye ova na kurutubisha then itasafiri mpaka kwenye uterus body na kujiattach aside.
Haki ukilazimisha kuelewa utaelewa hata kama huo uelewa sio kweli.Na aya kama hizi au mambo kama haya ndio huwafanya wenye akili kujiuliza huyu Muhammad hakusoma wala kuandika hajui,je elimu kubwa kama hii kaitoa wapi kama si Maneno ya Mola wake Malezi?
Na scientifically hizo stages za ukuaji zipo exsactly kama Qur'an ilivyo eleza,,,Allahu Akbar!
Kwa hiyo Jua linazunguka wee linazamia humo topen then linaanzia hapo asubuhi ?Maana mm sijaelewaMatope meusi inamaanisha bahari nyeusi,,,,tafuta ilipo bahari nyeusi ndo utajua iko wapi,,,,Acha upuuzi
Haki unatutoa kwenye mada hebu weka hizo takwimu za idadi ya watu enzi hizo na fungulia Uzi tujadiliMambo Mengi ya kwenye vitabu ni ya kufikirika sana,
Kuna aya moja kwenye bible,inayomuhusu mfalme Suleiman kwamba alikuwa na vijakazi/michepuko 700!hapo ujaweka wake zake harali!!!aliyetunga hiki kisa alikiweka Ili kumpa misifa Suleiman Ili aonekane kwamba alikuwa na nguvu sana kuriko wanaume wengi,
Kwa tskwimu zilizokuwepo,kipindi Cha Suleiman kulikuwa na idadi ya watu wasio zidi 2000!sasa hebu fikiria mtu mmoja anaoa wake 700+inamaana wanaume wengine walikuwa hawataki kupiga mambo??yaani nusu ya raia wote ni wake zako,sasa watu wako watamuoa nani!! Wala haiingii akilini
Hapana jaman hajamaanisha hivyo du.maana umeleta mengine hapoEti spem inaingia kwenye Tako!!!!!
Uislamu mnaujua kweli?Wanasema dhambi washa samehewa alafu wanahangaika kwenda kwa mapasta waungame sasa hapo sijui ndo inakaa aje
Kwa hiyo wakati wa utungwaji mimba sperm huwa zinaanikwa juani?Au nimeelewa vibaya??Tatizo huna akili halafu hujui km huna akili ...wewe mvaa rozari huna mental ya kukosoa Quran..
Jews na ungwingwi wao wote wameishindwa...Chukua hizo sperm zako halafu Anika juani then ukae baada ya dakika uone km hazigandi...
Wewe nawe kasome biology kidogo tuJibu ni ndio sperm zinaingia kwenye damu iliyo ganda maana ukitaka kuamini hilo tazama mwanamke akiwa na hedhi anatoka nini na lile si ndio yai likikosa rutuba kama ndio kwanini listoke kwa rangi tofauti na damu mbona mnapenda kuleta hoja kipumbavu hivi cell za yai zinarangi gani humo tumboni mwa huyo mwanamke ni ndio maana nasema hua wakristo wengi hawajitambui
Muhammad kwenye biblia ?????Jieleze vizuri au tukubaliane wewe ni mwongoHiyo ni lugha ya cheo mkuu kasome bibilia ya kiyunani uone Muhammad katajwa vipi mule someni wakristo msi kariri
Nimejitoa katika mjadala lakini nikiitwa na watu ambao sio wapuuzi huwa naitikia wito,,,,Ila nikijua uupuzi WA mtu huwa siji.Kwa hiyo Jua linazunguka wee linazamia humo topen then linaanzia hapo asubuhi ?Maana mm sijaelewa