Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Huyu Muddy nilichoka ale nilisoma sehemu kagegeda katoto ka miaka tisa na kukaoa kabisa, halafu wafuasi wake wanametea kabisa kwenye huo ukatili....
 
1. Yesu alikufa na kufufuka.

2. Yesu atarudi kwaajili ya ufufuo

3. Yesu atahukumu
 
Quran 86:6,7

He is created from a gushing fluid that issued from between the backbone and ribs
Maelezo ya skola maarufu ibn kathir amesema ni UTI wa mgongo wa mwanaume na mbavu za mwanamke

Yani mpaka mwanamke ana sperm zinatoka kwenye mbavu , Muhammad na Allah sijui tusemeje
 
Nauomba huo ushahidi.
Juu ya kama kuna mtu alishawahi kumuona Mungu

John 1:18
“No one has ever seen God, the one and only Son, who is himself God and is in closest relationship with the Father, has made him known”

Genesis 32:30
“And Jacob called the name of the place peniel: for I have bseen God face to face, and my life is preserved.”

Mfano aya hizi zinakinzana.
 
Waliokuwa wanatafsiri biblia walipata changamoto nyingi kuelezea baadhi ya maneno kwenye hebrew language kuyaleta kwenye kiingereza na kiswahili.

Tafsiri ambayo inaweza kuwa sahihi zaidi hapo kwa Jacob ni presence. Yakobo alikuwa kwenye presence (uwepo) wa divine atmosphere.

Kauli kama hiyo pia ipo kwenye maisha ya Musa ambapo alikuwa anakutana na uwepo wa Mungu ambao tunaona ni mkubwa sana na inaandikwa alikutana uso kwa uso.

Kiuhalisia hawakumuona Mungu kama a certain being (mwenye uhai katika umbo fulani) bali walikuwa katika uwepo ambao wameutamka kama uso kwa uso kwasababu umewazunguka pote.

Mungu ni Roho hivyo hakuna namna utamuona kwa macho ya mwilini. Na hapa ndio maana Yesu Kristo yupo sahihi maana yeye yupo tangu milele pamoja na Baba yake hivyo amemuona katika Roho.

Hata nyakati hizi kwenye ibada zetu huwa tunasema leo tumemuona Mungu lakini tunachomaanisha ni ule uwepo wake katikati yetu na sio kumuona kimwili.
 
Wewe itakuwa una mtindio wa ubongo nani sliyekuambia korodani zipo kati ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu

Nimekuambia Seminal vesicle ndio ipo baina ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu na picha nikakuwekea iyo hapo chini na nikakumbia hapo katika Seminal vesicle ndio inapatikana final product ya sperm zenye uwezo wa kutungushisha mimba na ndio sehemu iliyoongelewa katika Quran

Na nikakuonyesha utafiti wa hao wanasayansi wako kuhusu hiyo Seminal vesicle wanasema kukiwa na tatizo hapo hazitapatikana sperm za kutungisha mimba

Maelezo ya wanasayansi wako kuhusu Hilo eneo lilopo kati ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu ni haya

Signs and symptoms that may occur when you have something wrong with your seminal vesicles may include:

Infertility.
 

Kinachoongelewa hapo kwenye huo mstari ni sperms na sio korodani. Kisayansi kwenye hatua za uumbwaji wa korodani zinakuwa karibu na figo.

Wakati huo kabla hazijashuka chini, korodani hazitoi sperms zozote. Mpaka kijana anapobalehe ndio sperm zinakuwepo.

Aya ya quran inasema sperm zinatokea kwenye eneo kati ya mbavu na uti wa mgongo, huu ni uongo.
 
Wewe kila siku nakwambia mpinga bibilia wewe hizo aya ziko wazi kabisa hapo kua zinakinzana na hutaki
 
We championship Sasa hivi yunakufanya kama ubao ili wagalatia wenzako wasome na waelewe
 
Umeanza kupingana na Quran na Sasa unapingana na wanasayansi wako uliyotaka wakusaidie

Sasa niambie nini kazi ya Seminal vesicle katika kutungisha mimba

Seminal vesicle ni Hilo eneo hapo lenye green color na ndio eneo lililopo kati ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu na
 
Kuna wakati nilimsikia mtu mmoja akisema uislam unatawaliwa na roho ya ujinga na ngono sikumwelewa vizuri lakini sasa hivi naelewa.

Seminal vesticle inaonekana kwenye picha hapa chini na haipo kati ya mbavu na uti wa mgongo. Acha kutetea upumbavu na ujinga wa Allah. Pia seminal vesticle haizalishi sperm. Kazi zake hizi hapa chini

The fluids that develop in seminal vesicles make up an estimated 50% to 80% of your semen’s volume. The substances in these fluids are designed to help sperm stay alive once they enter the vagina



Sasa unaleta picha zako ulizoedit kutoka hapo masjid na kutetea ujuha.
 

Attachments

  • images.jpeg
    25.5 KB · Views: 2
Mbavu ni za mwanamke, uwa mnasoma dini yenu kweli?
Tafsîr Ibn ‘Abbâs
(That issued from between the loins) of a man (and ribs) the ribs of a woman.
 
Hippocrates ambaye anachukuliwa kuwa ni baba wa tiba aliishi muda mrefu kabla ya Mohammad.
Aliishi wapi na je kuna ushahidi wowote kuwa alikuwa akiishi jirani au pamoja na huyo Muhammad? Given Muhammad hakujua kusoma kabla ya hapo hivyo namna pekee ya Muhammad kukopi kwa Hippocrates ni kwa njia ya kusimuliwa.
 
Aliishi wapi na je kuna ushahidi wowote kuwa alikuwa akiishi jirani au pamoja na huyo Muhammad? Given Muhammad hakujua kusoma kabla ya hapo hivyo namna pekee ya Muhammad kukopi kwa Hippocrates ni kwa njia ya kusimuliwa.
Muhammad alikuta elimu ya embryology na aka copy kama ilivyo leo ime advance ndio unaona anaonekana pimbi ,

Muhammad hakuwa kiziwi ila Kuna story alikuwa anazisikia anachanganya balaa mpaka wayahudi walikuwa wanamfuata mke mtoto Aisha wanamwambia amwambie asichanganye history
 
Aliishi wapi na je kuna ushahidi wowote kuwa alikuwa akiishi jirani au pamoja na huyo Muhammad? Given Muhammad hakujua kusoma kabla ya hapo hivyo namna pekee ya Muhammad kukopi kwa Hippocrates ni kwa njia ya kusimuliwa.
Kwahiyo kama muhammad alikuwa hajui kusoma, kwanini jibril alikuwa anamkaba na kumtaka asome?

Jibril alikuwa anataka asome kitabu gani ikiwa quran haikuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…