HAHAHA! naona umechemka.
Kati ya mm na ww nani hajibu hoja za mwenzake? kama sio ww?
Nimekupa challenge, utuletee maana za maneno, AALAQA na NUTFAH, kwani mpaka sasa umetuletea?
Si umerukia kitu kingine. coz hujui hata kuisoma hiyo QURAN kwa lugha yake ya kiarabu, unategemea tafsiri za Kiswahili coz ww ni mbabaishaji tu huna lolote.
Hapo tu nimejaribu kuyaandika kwa irabu za kiswahili ili tu kukupa mwanga, je nikiyaandika kwa kiarabu si ndio kizungumkuti kabisa kwako 😂😂
So, nishagundua kitambo tu ww ni mbabaishaj tu, huna lolote aka mpumbavu.
Na kubishana na mpumbavu ni kupoteza muda tu.