professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Allahu anajiweza na ana nguvu ya kufanya atakaloKwa hiyo wewe una akili kumtetea Allah kama vile yeye hajiwezi?
Tatizo hili anaekaririshwa ni vigumu kufundisha.Sasa wewe ambaye unao mashehe hawajaweza kukukaririsha quran ili utufundishe hapa?
Huyu kafiri anataka kushindana na kitabu cha Allah aka Quran wazungu wenyewe wamechemsha kushindana na Quran . Na Wamethibitisha Quran iliyopo na ile aliyo iacha Mtume Muhammad rehem za za Mungu ziwe juu yake pamoja na amani. Ni ile ile Quran haijabaidilika.Tofauti na Kitabu cha Biblia ina mikono ya watu wamekiharibu kitabu cha Biblia Mitume feki Waliokuja baada ya Bwana Yesu kuondoka duniani.Huyu mpuuzi naomba mumpuuze! Ila kama mna Mda wa kupoteza fine jadilianeni nae!
Hahaha! Naona umeishiwa hoja.Leteni ufafanuzi wa hili jambo acheni kurukaruka:
Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.
The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.
This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
Inaonekana haujui hata unachokiongea.Kwahiyo hilo neno hapo linetumika kwa tafsiri mbalimbali? Ndio maana kila muislamu anayo tafsiri yake na version yake ya quran.
Quran ambayo ni ya kale zaidi ipo Birmingham England na ilianza kuandikwa na wazungu kabla Muhammad hajaanza kutembelewa na jibril mapangoni.Huyu kafiri anataka kushindana na kitabu cha Allah aka Quran wazungu wenyewe wamechemsha kushindana na Quran . Na Wamethibitisha Quran iliyopo na ile aliyo iacha Mtume Muhammad rehem za za Mungu ziwe juu yake pamoja na amani. Ni ile ile Quran haijabaidilika.Tofauti na Kitabu cha Biblia ina mikono ya watu wamekiharibu kitabu cha Biblia Mitume feki Waliokuja baada ya Bwana Yesu kuondoka duniani.
Kweli wewe umeivishwa vizuri hapo madrasa. Goodluck fighting for Allah and Muhammad.Hahaha! Naona umeishiwa hoja.
Umeamua kurukia issue nyingine tena.
Ulitakiwa ufanye research kwanza mtume Muhammad alianza kuteremshiwa wahyi lini, Ndio sasa uje na hako ka hoja kako dhaifu ya manuscript ambayo pia ume copy and paste.
Sijaona hoja yoyote hapo ni utumbo tu.
Alaf nishakujibu huko juu, hiyo Carbon14 dating yenyewe haiko 100% correct huwa inafanya makisio tu.
Quran ilikua ishaandikwa kitambo huko mbinguni kwenye ‘Lawhin maufudhwi’ I. e. The preserved tablet kabla ya kuteremshwa duniani.
Quran was written by Europeans years before Muhammad.. he was just used because he wanted to be famous and create a religious authority over the arabs. He was envying the Christians and jews and got exploited through waraqua.Inaonekana haujui hata unachokiongea.
Haujui tofauti kati ya version na translation (tafsiri).
There is only version of Quran and its in Arabic language hizo nyingine za lugha nyingine ni tafsiri ama translation kutoka lugha ya kiaarabu (ambayo ndiyo the language of Quran ) kwenda lugha mbalimbali.
Na Quran haijawahi kubadilika since its creation by the Almighty. Iko vile vile…
Endelea kufuga majini na kukariri hapo masjidi ili ukienda kuungua milele iwe kihalali.we naye ni boya tu hauna tofauti na mtoa mada, umeona tunazungumzia kuokoka hapa?
Kama unataka mada ya kuokoka fungua thread yako…
Hahahah umeamua kutoa maneno yako ya ajabu ajabu baada ya kuona ukweliQuran was written by Europeans years before Muhammad.. he was just used because he wanted to be famous and create a religious authority over the arabs. He was envying the Christians and jews and got exploited through waraqua.
Aya ipo wazi kabisa.ungesoma hyo 23:12-15.Damu iliyoganda inakaa kwenye uterus kwa miezi minne mpaka pale allah atakapoipa pumzi.🤣
Yani iyo shauri yako msubiri alie laaniwa aje akuokoe [emoji847][emoji847]Endelea kufuga majini na kukariri hapo masjidi ili ukienda kuungua milele iwe kihalali.
Tuliza akili Hii sio google ni website ya waislamu, lazima mfikie stage ya allah knows bestUnapo ng'ang'ania Google tutazidi kunyoosha maana nisha kupa na chanzo ushapewa utafute
Koran 96:2Hakuna alie anzisha leech sema ulikuwa hujui kama miongoni mwa maana za Alaq leech ipo
Maana zaidi ya moja na yote yapo sahih, ndio maana lazima muhammad ndie atoe maana ya nenoWewe huelewi ni hivi neno lenyewe lina maana zaidi ya moja na zote ni sahihi hapo sio mwakani hata sasa ukileta mada inayohusu kitu cha msingi unajibiwa
Quran haisubir mwakani bro kwani wewe uliyatarajia majibu si ulikuwa na majibu yako kichwani
Hiyo ndiyo quran tukufu
we piga kelele tu ila sindano ishapenya 📌📌Endelea kufuga majini na kukariri hapo masjidi ili ukienda kuungua milele iwe kihalali.
23:14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Allah Mbora wa waumbaji.Aya ipo wazi kabisa.ungesoma hyo 23:12-15.
Quran haina shaka
Just bring your evidence and references and not just blah blah and mere speculations from your European masters.Quran was written by Europeans years before Muhammad.. he was just used because he wanted to be famous and create a religious authority over the arabs. He was envying the Christians and jews and got exploited through waraqua.
Muhammad s.a.w ni mjumbe wa Mwenyezi Mungu kama alivyokua Musa, Ibrahim, issa, Ismail na wengine na kama navyoelewa ni nn maana ya mjumbe.Kwahiyo kama muhammad alikuwa hajui kusoma, kwanini jibril alikuwa anamkaba na kumtaka asome?
Jibril alikuwa anataka asome kitabu gani ikiwa quran haikuwepo?
Quran inaweka challenge wakati tayari ina maneno mpaka ya shetani, maneno ya majini, wadudu , binadamu, ndege n:kQuran inajitetea yenyewe, ishaweka challenge, “ tuleteeni hata surah moja tu mfano wa hii Quran”
Unganikeni wote pamoja na mashetani, Christians, Buddhists, Hindus, Europeans, Americans, etc mlete hata surah moja mfano wa hii Quran kama mnaweza😜😜