Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Hahaha eti waislamu wayatumie maneno ya alie laaniwa kwa lipi bro tulia usubirie kuitwa na akikusahau imekula kwako
Unatakiwa Abdool utulize akili ,nimekwambia biblia Kuna translation mpaka A Jehovah witness na mpaka Kuna waislamu wametransalate
Kila mmoja ame translate kutoka original matini ila Alie translate anaweza weka manufaa yake na hakuna mtu anamzuia

Cha msingi original ipo na Kwa technology ya sasa original zipo online tena Zina transalate neno kwa neno
 
Huo muda wa kutafsiri biblia waislamu muda huo hawana bali mimi ndio naweza kukupa evidence ya kua wanasayansi wa kikiristo wanavyopata tabu kuitafakari quran
Hatimaye wengine wanaamua kusilimu tu
 
Hahahahaha sindano imepita mahala pake wewe unatutafsiria quran unavyo taka wewe
Nioneshe wapi Allah kasema jambo kuwa likawa , Koran nzima nimesoma sijaona embu kwa sababu wewe una tafsir zako nipe Aya , Alla kasema Kwenye jambo husika kuwa likawa
 
Huo muda wa kutafsiri biblia waislamu muda huo hawana bali mimi ndio naweza kukupa evidence ya kua wanasayansi wa kikiristo wanavyopata tabu kuitafakari quran
Hatimaye wengine wanaamua kusilimu tu
Unatafakari rap song , muhammad alikuwa anatunga analazimisha mistari iishie na kina kimoja

Unajiuliza Allah na shetani walikuwa wanaongea shetani alijuaje wanatakiwa waishie kina kimoja
Koran ni Lough πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ book
 
Manuscripts zimekusanywa kutoka maeneo mbalimbali kwa miaka mingi na nyingine zimekuja kupatikana baada ya excavation. Wakristo walipitia persecution kwa miaka kadhaa na hivyo walilazimika kuwa wanaficha nyaraka walizokuwa nazo.

Kwahiyo over the years zilipokuwa zinapatikana ziliongezewa mpaka Jerome alipofanya compilation. Baadhi ya manuscripts bado scholars wanafanya argument kwasababu unaweza kukuta kuna verse zimepatikana kwenye baadhi ya manuscripts lakini kwingine hazikupatikana. Hii ndio sababu ya baadhi ya translation kukosa kuweka hizo verse.
 
Embu tupe kisa kizima hii nyama ya ng'ombe ilikuwa imechomwa , chemsha (nakumbuka supu pande ) au kaanga au mbichi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unatafakari rap song , muhammad alikuwa anatunga analazimisha mistari iishie na kina kimoja

Unajiuliza Allah na shetani walikuwa wanaongea shetani alijuaje wanatakiwa waishie kina kimoja
Koran ni Lough [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] book
Hahahah ujawahi kusikiliza quran tukufu wewe uone raha
Yake au nikurushie video za wakristo wenzio wakisikiliza maajabu ya Allahu
 
Kwanza nashukuru kua sasa umekubali kua bibilia ina version pili hapo ndipo umeweka sawa kua maneno yenu ya kwenye biblia sio ya mungu maana mengine yanapunguzwa yana wekwa anavyotaka mtu muda wowote asante kwa hilo kulifahamu
Acha kujiongelesha bila ushahidi.

Manuscripts zimekusanywa kutoka maeneo mbalimbali kwa miaka mingi na nyingine zimekuja kupatikana baada ya excavation. Wakristo walipitia persecution kwa miaka kadhaa na hivyo walilazimika kuwa wanaficha nyaraka walizokuwa nazo.

Kwahiyo over the years zilipokuwa zinapatikana ziliongezewa mpaka Jerome alipofanya compilation. Baadhi ya manuscripts bado scholars wanafanya argument kwasababu unaweza kukuta kuna verse zimepatikana kwenye baadhi ya manuscripts lakini kwingine hazikupatikana. Hii ndio sababu ya baadhi ya translation kukosa kuweka hizo verse.
 
Jibu swali, aliyesema anafufua kwa pande la nyama ya ng'ombe sio Allah?
 
Jamaa wanapata shida maana uthoman alichoma Koran za kotosha , Leo hawajui ata ipi ni ipi
 
Hahahah ujawahi kusikiliza quran tukufu wewe uone raha
Yake au nikurushie video za wakristo wenzio wakisikiliza maajabu ya Allahu
Nimekuuliza
Allah na shetani walikuwa wanaongea shetani alijuaje wanatakiwa waishie kina kimoja
Koran ni Lough πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ book
 
Mzee wa maelezo kama muandika insha tulia na bibilia yenye contradiction Kama waandishi wenu walevi
 
Nimekuuliza
Allah na shetani walikuwa wanaongea shetani alijuaje wanatakiwa waishie kina kimoja
Koran ni Lough [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] book
Nakuuliza unapenda nikusikilizishe maneno yalio tulivu sio maneno yenu ya ajabu ajabu haya leti ladha ukisoma
Ona quran inavyo pendeza
 
Waislam wanajua kwamba uthman alifanya compilation lakini hawajui nani hasa aliandika manuscripts zenyewe.🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…