Kwa hiyo hata mwanamke anaweza kuitwa Baba maana sio jinsia NI cheo?? 😂😂 Na mwanaume akaitwa mama vile vile maana nacho NI cheo cha msaidizi WA Baba,,dah nacheka kama mazurii,,
Endelea kujichanganya maandiko hayo hayo yanasema hakuna WA kufanana nae na Mungu si mwanadamu,,jongoo,,mjusi,,samaki,,tembo,,nyani,,fisi,,kobe,,wanadamu nyoka'',,kiboko,,mbu,,mende,,wote tuna Sura lkn hatufanani,,, ngoja nikupe elimu ya bure ambayo huiwezi kuipata sunday school Ila madrasa,
Mungu aliposema alimuumba adam Kwa mfano wake hakumaanisha mfanano na Mungu Bali mfano wake yeye mwenyewe adamu,,mfano mzuri NI kusema hili jua tunaloliona liliumbwa Kwa mfano wake,,yaani jinsi lilivyo ndivyo lilivofanana wakati linaumbwa halijapungua mwangaza wala ukubwa wake,,ndivo ilivokua Kwa adamu jinsi alivyoumbwa ndivyo alivyoonekana Yani he was a grown ass man already,,ktk urefu na size aliyokua nayo,,na alikua anajua majina ya kila kitu sio Kama Sisi tunapitia stages mkp kua kiumbe kamili kisha tunaanza kujifunza kuumba maneno yeye haikua hivo jinsi alivyoonekana ndivo alivyoumbwa. Mwenye akili peke yake ndo ataelewa nilikiandika hapo.