Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Kwenye translation kunakuwa na modern language. Manuscripts zinabakia kama zilivyo.
Wakati tunazungumza hatukuhusisha manuscript ila ukazilazimisha
Ziingie
Pili ulikataa kabisa kuhusu kubadilika kwa version
Tatu kwa uzaifu ulio onesha inaonesha wazi huna Dini hapo

Nne Yesu hawezi kukubali kuingia motoni ili nyinyi muingie Jerusalema.
 
My Lord and saviour Jesus Christ went in hell for me. Kila mwanadamu anastahili kwenda kuzimu lakini ukombozi upo kwa kila atakayeamini kile Yesu alifanya msalabani.

My future is certain in Christ. Yesu alikufa na akafufuka ili mimi niweze kuishi. Siku inakuja ambapo sisi tulioweka imani na tumaini letu kwake tutakuwa na asubuhi iliyo njema, siku ya unyakuo.

Oh upendo wake ni wa milele na upo kwa ajili yako. Neema yake ipo kwasasa lakini siku inakuja itakuwa imepita. Njoo kwa Yesu njoo ili uwe kiumbe kipya, ya kale yote yatapita, tazama yatakuwa mapya
Wewe neng'eneka ukimaliza mlete mwana sayansi atupe muongozo katika upatikanaji wa mimba iliyo sababisha kuzaliwa kwa Njiti wenu
 
Wewe jichekeshe ukimaliza nipe jins mama wa Njiti alivyo pata mimba ya Uyo Njiti wenu bila sperm kuhusishwa
Umeshajibu swali la kwanza malizia yaliyobaki
1. Je ni website sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
 
Umeshajibu swali la kwanza malizia yaliyobaki
1. Je ni website sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
Hahahaha mpaka hapo huna jipya

Nimekueka kwenye level ya machizi wenye vyeti.
 
Hahahaha mpaka hapo huna jipya

Nimekueka kwenye level ya machizi wenye vyeti.
cha muhimu ujibu maswali yangu toka jana unarukaruka kama monkey
Umeshajibu swali la kwanza malizia yaliyobaki
1. Je ni website sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
 
cha muhimu ujibu maswali yangu toka jana unarukaruka kama monkey
Umeshajibu swali la kwanza malizia yaliyobaki
1. Je ni website sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
Swali umejibiwa lakini umejifanya hamnazo
Narudia tena sio ya waislamu.


Nilikuwa nakusalim na hilo sanamu lako hapo shingoni au bado ujalivaa


Na ukijiona huna uwezo wa kumtetea hata kidogo uyo Njiti wako hapa usije
 
Kwamba haufahamu ile damu inatokana na nini? Hebu google hapo uache kutetea ujinga wa allah.
Ujinga wk ni kuonea huruma..kwakuwa wewe nimpumbavu wacha tukujibu kipumbavu tu.
Damu inayotoka kwa mama yako ukeni ni matokeo ya nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimemaliza kazi usirudie tena

Technology inawaweka uchi , mlijificha Sana [emoji23] na uchafu wenu mkauficha kwa kiarabu Leo hii nani angejua kutakuja kuwa mpaka na translator online
Kazi umemaliza kwa bwana wako decon hapa ujamaliza kazi

Ungeitaji kumaliza kazi ungejibu maswali haya mawili tu aya twambie

YESU Njiti alipatikanaje bila ya Baba wala sperm kisayansi
Umalize kazi
Hapa unapenda sana kujichekesha kama umeona mume
Aya maliza kazi hapo kisayansi

Sichekewi chekewi mimi

Na kama unahitaji kuitetea ukristo toa jibu hapo juu ukishindwa utachekwa na kila mtu

Humu
 
Umesha activate panic mode [emoji23][emoji23][emoji23]

Yesu njiti simfahamu
Utamfaham
Tu sito panic
Kwa
Chizi kama wewe
Tupe maelezo kuhusu Yesu mama yake alipataje mimba kisayansi

Sichekewi chekewi mimi

Waambie na wenzio wakusaidie nahitaji kuuona mlima nikisimama naweza i ona falme zote za Dunia
 
Utamfaham
Tu sito panic
Kwa
Chizi kama wewe
Tupe maelezo kuhusu Yesu mama yake alipataje mimba kisayansi

Sichekewi chekewi mimi

Waambie na wenzio wakusaidie nahitaji kuuona mlima nikisimama naweza i ona falme zote za Dunia
Hakuna sayansi ni tamko la Jehovah kuwa kiumbe kikawa
 
Utamfaham
Tu sito panic
Kwa
Chizi kama wewe
Tupe maelezo kuhusu Yesu mama yake alipataje mimba kisayansi

Sichekewi chekewi mimi

Waambie na wenzio wakusaidie nahitaji kuuona mlima nikisimama naweza i ona falme zote za Dunia
Kwa nini umekimbia kule kutetea uchafu wa muhammad
 
Jibuni haya maswali:


1. Baadhi ya manuscripts zilozopo birmingham england zinaonesha kuwa ziliandikwa 568-645 AD. Hii inaonesha Quran ilianza kuandikwa kabla ya kipindi cha Muhammad.

2. Kama malaika hawana freewill wasingeweza kufanya argument na Allah.

3. Muhammad alikuwa hajui kusoma lakini jibril alikuwa anamlazimisha asome. Ilitegemewa malaika awe anajua kwamba asingeweza kusoma au malaika angempa uwezo wa kusoma kimiujiza.

4. Mtiririko wa sperm kuwa damu iliyoganda halafu kuwa nyama kisha iwe mifupa na baadae ndio kiumbe mwingine atokee hauko sahihi.

5. Suala kwamba kiumbe kinachokuwa tumboni kinapewa pumzi baada ya miezi minne ni madai ya hatari sana

6. Sperm kutokea sehemu iliyopo kati ya mbavu na uti wa mgongo.

7. Ushahidi kutoka Israel kuonesha kwamba issa aliwahi kuishi huko
Wanajifanya hawayaoni.😂
 
Back
Top Bottom