Wanasema pesa haiwezi kununua furaha; lakini je, umasikini unaweza kununua nini?

Wanasema pesa haiwezi kununua furaha; lakini je, umasikini unaweza kununua nini?

unakuwa huja hela na una amani ? kuna jamaa ananidai anasumbua hapa nampiga danadana mpaka 25th huko sa apo ni naish bila amani na furaha ? umasikin mbaya sana...hakuna jema kwenye umaskini...tuupige vita kbsa...yan alosema money cant buy happiness ni bilgates na the likes alafu kuna kuna msafwa mmoja huko miliman anasikiliza daaah....nimeandika kwa uchungu sana....HELA NDIO KILA KITU WAKUU....UKILALA WAZA PESAAA UKIWA MACHO WAZA PESAAA YAN TAFUTA NAMNA YA KUWA NAZO KINAMNA YEYOTE USIKUBALI....YAN NI RAHIS KWA MO KUWA MTAKATIFU KULIKO MATONYA...
Kwa nguvu zote mkuu👏👏
 
Umasikini ni nusu ya ushetani. Ukiwa masikini kwa dunia ya sasa hivi basi "Utaenda kwa waganga kuroga, utasema wenzako, utafitinisha watu, utadanganya, utakopa na kushindwa kulipa, utakua unaona kila kitu unaonewa wewe tu, utamkufuru mungu n.k."

Kifupi dunia inakua kwako ni mtihani, mbingu ya mungu nayo inakua kitendawili kisichokua na majibu.
Umaskini ni wa Kupigwa vita
 
They say money can't buy happiness, money can't buy love. Okey fine, I agree

But, what can poverty buy?

Ukiona mtu anasema bora yeye na Umaskini wake ila anaishi kwa amani..huruma kubwa inamhusu maana hajui alinenalo wala alitendalo hakuna maskini mwenye amani Dunia hii.

Hapa duniani hakuna usawa wala haki ni about fighting to the better end, hakuna huruma yoyote, ni kuchawiana na kuporana fursa, unafanya mistake unachapika unainuka unaona upenyo kwa boya mwingine nawe unakatiza hapo hapo.
Mbona YESU baba yake ni wa mbinguni lakini hakutaka kuishi maisha ya bata, marahisi alichagua njia ngumu za kumtii Mungu baba na aliyafurahi na kuyapenda maisha yake na yalikua ya kawaida tu hiyo ndiyo happiness sasa
 
mekumbuka midahalo ya sekondary .. Pro and Oppos

"Education is better than money" discuss

"No money no right to speak"

anyway money is not everything, kuna vijana wengi wenye hela sanaa lakini wameshindwa ishi na pisi kali
Mapenzi hiyo ni issue nyingine kabisa,nayo inajitegemea na changamoto zake
 
Sema kwa dunia ya sasa ili uishi kila kitu ni gharama na pesa pia ni sehemu ya kuifanya maisha yako kuwa mazuri, nacho amini hela itafutwe sana tena sana,
 
Ukiangalia maskini ni shida

Ukiangalia matajiri ni shida

Watu ambao huwa naona wanainjoi life ni middle class, hawana stress za kula au kuvaa na hawana stress za mzigo upo bandarini ama kuhofia maisha yao pale interest zinapongongana na matajiri wenzie
Middle class wengi ni waajiriwa wa umma na private,sisi tukisha jenga nyumba,watoto wameenda shule na umefanikiwa ka- usafiri kwa kweli tumemamliza.
 
Back
Top Bottom