Wanasema pesa haiwezi kununua furaha; lakini je, umasikini unaweza kununua nini?

Wanasema pesa haiwezi kununua furaha; lakini je, umasikini unaweza kununua nini?

nifahamishwe kwanza:, hivi nikisema pesa haiwezi nunua Furaha hapo ninakuwa na deni la kusema/kutaja umasikini unanunua nini?.
 
Kauli za kukufuru hizo mbaya Sana ..yaan mtu akisema umaskin Ni laana Ni sawa na kusema maskini wana laana...

Damn...
Ni mbaya na kosa sana kusema umasikini ni laana, kuna watu mfumo wao maisha umemkaba sana hana namna ya kutoka, hana ndugu, hana elimu ya kumbeba, hana mtu yoyote anaemjua halafu mtu anasema umasikini ni laana kweli
 
They say money can't buy happiness, money can't buy love. Okey fine, I agree

But, what can poverty buy?

Ukiona mtu anasema bora yeye na Umaskini wake ila anaishi kwa amani..huruma kubwa inamhusu maana hajui alinenalo wala alitendalo hakuna maskini mwenye amani Dunia hii.

Hapa duniani hakuna usawa wala haki ni about fighting to the better end, hakuna huruma yoyote, ni kuchawiana na kuporana fursa, unafanya mistake unachapika unainuka unaona upenyo kwa boya mwingine nawe unakatiza hapo hapo.
Umaskini unanunua majungu na roho mbaya
 
Ni mbaya na kosa sana kusema umasikini ni laana, kuna watu mfumo wao maisha umemkaba sana hana namna ya kutoka, hana ndugu, hana elimu ya kumbeba, hana mtu yoyote anaemjua halafu mtu anasema umasikini ni laana kweli
Unajua Kuna watu hawachungi kauli zao ....
Halaf huko mbele maisha yakiwageka wataleta nyuzi za kuomba msaada humu...
 
Ukiangalia maskini ni shida

Ukiangalia matajiri ni shida

Watu ambao huwa naona wanainjoi life ni middle class, hawana stress za kula au kuvaa na hawana stress za mzigo upo bandarini ama kuhofia maisha yao pale interest zinapongongana na matajiri wenzie
Ni kweli kabisa Mkuu
 
Umasikini; Utajiri; Wingi wa Pesa...

Nini kazi ya Pesa ?, Pesa ni kufacilitate mahitaji na matamanio ya mtu..., sasa mtu ambaye haridhiki always matamanio yatakuwa zaidi (anataka zaidi haridhiki hence hana furaha).... Unaweza ukawa masikini mwenye pesa na tajiri asiye na pesa (don't value everything through currency kuna vitu ni priceless)

Mtu ambaye anaridhika atakuwa na furaha hata akiwa na kidogo vichache....,
 
They say money can't buy happiness, money can't buy love. Okey fine, I agree

But, what can poverty buy?

Ukiona mtu anasema bora yeye na Umaskini wake ila anaishi kwa amani..huruma kubwa inamhusu maana hajui alinenalo wala alitendalo hakuna maskini mwenye amani Dunia hii.

Hapa duniani hakuna usawa wala haki ni about fighting to the better end, hakuna huruma yoyote, ni kuchawiana na kuporana fursa, unafanya mistake unachapika unainuka unaona upenyo kwa boya mwingine nawe unakatiza hapo hapo.
Maskini huwa Wana maneno mengi Sana ya kujifariji mkuu 😂😂
 
Kuna interview moja Ebitoke aliulizwa kuhusu kumuibia danga mwenzie,alijibu hivyo ndivyo alivyo kama kuna sehemu anatakiwa aharibu ili yeye afaidikie haoni shida surely nilimpenda bure Ebi hiyo ndiyo inaitwa kupambania ndoto zako.
 
Jibu rahisi tu mtu Kama anauona umaskini mzuri mwambie akeshe akiomba Mungu ampe umaskini.Usikie atasemaje .Unafiki tu unawasumbua
 
They say money can't buy happiness, money can't buy love. Okey fine, I agree

But, what can poverty buy?

Ukiona mtu anasema bora yeye na Umaskini wake ila anaishi kwa amani..huruma kubwa inamhusu maana hajui alinenalo wala alitendalo hakuna maskini mwenye amani Dunia hii.

Hapa duniani hakuna usawa wala haki ni about fighting to the better end, hakuna huruma yoyote, ni kuchawiana na kuporana fursa, unafanya mistake unachapika unainuka unaona upenyo kwa boya mwingine nawe unakatiza hapo hapo.

umaskini una uzwa na wanunuaji wake ni ccm
 
Umasikini ni nusu ya ushetani. Ukiwa masikini kwa dunia ya sasa hivi basi "Utaenda kwa waganga kuroga, utasema wenzako, utafitinisha watu, utadanganya, utakopa na kushindwa kulipa, utakua unaona kila kitu unaonewa wewe tu, utamkufuru mungu n.k."

Kifupi dunia inakua kwako ni mtihani, mbingu ya mungu nayo inakua kitendawili kisichokua na majibu.
Kwa lugha nyepesi umasikini ni mbaya Sana !!!
 
Ukiangalia maskini ni shida

Ukiangalia matajiri ni shida

Watu ambao huwa naona wanainjoi life ni middle class, hawana stress za kula au kuvaa na hawana stress za mzigo upo bandarini ama kuhofia maisha yao pale interest zinapongongana na matajiri wenzie
kuna midde class ya chini na ya juu...ipiunaiongelea mkuu?
 
Back
Top Bottom