Wanasema pesa haiwezi kununua furaha; lakini je, umasikini unaweza kununua nini?

Wanasema pesa haiwezi kununua furaha; lakini je, umasikini unaweza kununua nini?

They say money can't buy happiness, money can't buy love. Okey fine, I agree

But, what can poverty buy?

Ukiona mtu anasema bora yeye na Umaskini wake ila anaishi kwa amani..huruma kubwa inamhusu maana hajui alinenalo wala alitendalo hakuna maskini mwenye amani Dunia hii.

Hapa duniani hakuna usawa wala haki ni about fighting to the better end, hakuna huruma yoyote, ni kuchawiana na kuporana fursa, unafanya mistake unachapika unainuka unaona upenyo kwa boya mwingine nawe unakatiza hapo hapo.
Maneno ya kujifariji ya watu wasio na pesa hayo
 
Hakikisha mali zako za halali
Hakikisha unapenda nduguzo
Hakikisha unajua utu ni nini
Isije pesa zako mwenyewe zikakuchoma mwenyewe.

Kula Bata furahia mafanikio yako!
 
Hakikisha mali zako za halali
Hakikisha unapenda nduguzo
Hakikisha unajua utu ni nini
Isije pesa zako mwenyewe zikakuchoma mwenyewe.

Kula Bata furahia mafanikio yako!
Weweee... Weee!!! Mamaaa Aaaah!! Duniaaa...

Dunia Aaaah!!! Tunapita... Weweee....

Pesa, Magari, Majumba... Takataka zoote. TUTAAACHAAA!!!
 
Pesa siyo kila kitu ktk maisha japo pesa ni muhimu sana.
Unafikiri masikini hana furaha kwasababu hana pesa?
Furaha hujumuisha matendo mazuri yenye kuleta furaha. Kuna muda anakuwa na furaha na kuna muda anakuwa kwenye huzuni na tajiri hivyo hivyo.
Unafikiri ukiwa na pesa utakuwa na furaha? Big No
Haujawahi ona mtu mwenye pesa yupo kwenye ndege lkn hana furaha, ameshindwa hata kula?
Kuwa na pesa haikufanyi kuwa na mwanamke mwenye mapenzi ya dhati na kuwa kwenye furaha muda wote.
Kuwa masikini haikufanyi kuwa na huzuni muda wote.
Mfamaji haishi kutapa tapa
 
Ni kweli ila haitufanyi tusitafute pesa, kujenga nyumba au kununua gari.
Weweee... Weee!!! Mamaaa Aaaah!! Duniaaa...

Dunia Aaaah!!! Tunapita... Weweee....

Pesa, Magari, Majumba... Takataka zoote. TUTAAACHAAA!!!
 
Back
Top Bottom