Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #21
But money can buy you a jetski.....have you ever seen a sad person on jetski?
View attachment 1970866
All my life i want money and power respect my mind or die from lead shower..!
I Pray my dick get big as the eiffel tower so i can JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala the word for 72 hours"
Kwa nguvu zote mkuu👏👏unakuwa huja hela na una amani ? kuna jamaa ananidai anasumbua hapa nampiga danadana mpaka 25th huko sa apo ni naish bila amani na furaha ? umasikin mbaya sana...hakuna jema kwenye umaskini...tuupige vita kbsa...yan alosema money cant buy happiness ni bilgates na the likes alafu kuna kuna msafwa mmoja huko miliman anasikiliza daaah....nimeandika kwa uchungu sana....HELA NDIO KILA KITU WAKUU....UKILALA WAZA PESAAA UKIWA MACHO WAZA PESAAA YAN TAFUTA NAMNA YA KUWA NAZO KINAMNA YEYOTE USIKUBALI....YAN NI RAHIS KWA MO KUWA MTAKATIFU KULIKO MATONYA...
no money no lifeMoney is everything! No money, no life!!! No money no respect.
Umaskini ni wa Kupigwa vitaUmasikini ni nusu ya ushetani. Ukiwa masikini kwa dunia ya sasa hivi basi "Utaenda kwa waganga kuroga, utasema wenzako, utafitinisha watu, utadanganya, utakopa na kushindwa kulipa, utakua unaona kila kitu unaonewa wewe tu, utamkufuru mungu n.k."
Kifupi dunia inakua kwako ni mtihani, mbingu ya mungu nayo inakua kitendawili kisichokua na majibu.
Uzi tayariUzi tayari
Kabla ya kuomba maisha mazuri ,tunatakiwa kuomba pesa kwanzani maneno ya kipumbavu na ya kimasikini ili kujifariji
Mbona YESU baba yake ni wa mbinguni lakini hakutaka kuishi maisha ya bata, marahisi alichagua njia ngumu za kumtii Mungu baba na aliyafurahi na kuyapenda maisha yake na yalikua ya kawaida tu hiyo ndiyo happiness sasaThey say money can't buy happiness, money can't buy love. Okey fine, I agree
But, what can poverty buy?
Ukiona mtu anasema bora yeye na Umaskini wake ila anaishi kwa amani..huruma kubwa inamhusu maana hajui alinenalo wala alitendalo hakuna maskini mwenye amani Dunia hii.
Hapa duniani hakuna usawa wala haki ni about fighting to the better end, hakuna huruma yoyote, ni kuchawiana na kuporana fursa, unafanya mistake unachapika unainuka unaona upenyo kwa boya mwingine nawe unakatiza hapo hapo.
Mungu hawezi kulaani watu wawe masikini..Umaskini ni laana
Kauli za kukufuru hizo mbaya Sana ..yaan mtu akisema umaskin Ni laana Ni sawa na kusema maskini wana laana...Mungu hawezi kulaani watu wawe masikini..
Mapenzi hiyo ni issue nyingine kabisa,nayo inajitegemea na changamoto zakemekumbuka midahalo ya sekondary .. Pro and Oppos
"Education is better than money" discuss
"No money no right to speak"
anyway money is not everything, kuna vijana wengi wenye hela sanaa lakini wameshindwa ishi na pisi kali
Middle class wengi ni waajiriwa wa umma na private,sisi tukisha jenga nyumba,watoto wameenda shule na umefanikiwa ka- usafiri kwa kweli tumemamliza.Ukiangalia maskini ni shida
Ukiangalia matajiri ni shida
Watu ambao huwa naona wanainjoi life ni middle class, hawana stress za kula au kuvaa na hawana stress za mzigo upo bandarini ama kuhofia maisha yao pale interest zinapongongana na matajiri wenzie
Na inatakiwa itumike kila namna kuepuka laana hiyoUmaskini ni laana
UMASKN au Umasikini?NAOMBA TAFSIRI YA UMASKN
Kwa nguvu zoteSema kwa dunia ya sasa ili uishi kila kitu ni gharama na pesa pia ni sehemu ya kuifanya maisha yako kuwa mazuri, nacho amini hela itafutwe sana tena sana,