Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

Ni mama yako jitahidi kumpa attention. Haujui nini kiliwatenganisha na mshua, kwaiyo usiweke akilini kwa sababu huo ni ugomvi wa wazazi. Suala la lawama ni kawaida kwa wanawake ndivyo walivyoumbwa.
 
Huo ni Mtazamo wako..ondoa hizo Negativity

Naongea kitu ambacho Ninakijua wewe unaongea assumptions.

Kuzaa na Kupenda hakuna uhûsiano.

Asilimia kûbwa ya Watoto àmbao hawajalelewa na Wazazi waô wanamuelewa mtoa Mada anachokisema.
Ninyi Wengine mnafanya assumptions na kuwafundisha unafiki, waigize
 
Una uzoefu na iyo hali anayo pitia au niubutu wa akili yako kumshauri mambo usiyo weza au kuyapitia
 
Hujawahi kubeba kiumbe tumboni huwezi kuelewa..Mwanamke Pekee aliebahatika kuitwa Mama ndio anaelewa ata nielezeje ni kama napoteza mda tu

Hakuna kitu Kama hicho.
Wàpo Wanawake maelfu wametelekeza Watoto, Wengine wameua Kwa Kutoa Mimba na kutupa vichanga alafu unasema kitu gàni l.
Wadanganye wasiojua jinsi binadamu alivyo.

Mama au Baba huwa na uchungu na Mtoto aliyemzaa na kumlea na siô vinginevyo.
Tenà aliyelea anakuwa na uchungu zaidi ya Yule aliyezaa.

Kubeba Mimba hata Wanyama wanabeba,

Upendo na uchungu msingi wake Mkûu siô kuzaa Bali Malezi, Muda uliotumika kumkuza Mtoto ndîo unafanya thamani na Mzazi kuona uchungu Kwa Mtoto.

Fikra potofu Kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…