We kijana unaumri wa miaka mingap Kwanza maana ushauri unaendana na umriNi ngumu kumpa attention mtu ambaye hamna bond tangu mwanzo,binafsi nimekulia kwa watu yaani mama yangu namuona kama watu wengine.
Hatujawahi hata kukumbatiana yeye ndo naona ukaribu unakuja kuja labda kwa sababu nampa visenti mwisho wa mwezi ila huo ukaribu haukuwepo tangiapo.
Umesema kweli bro mimi ni mmoja kati ya watu ninao experience hii hali kupitia mzazi wangu mmoja, nikiwa mtoto nilikua na upendo mkubwa sana kwa wazazi wawili ila hapa katikati ilitokea hali iliyovunja sana moyo wangu iliyosababishwa na mzazi mmoja ikapelekea hisia zangu za upendo kwake zipungue kwa kiasi kikubwa.
Hali kama hii ya kujikuta nimesahau kusalimiana nae hata kwa simu kwa wiki hata 3 huwa inatokea mara kwa mara muda mwingine unajishtukia na roho inauma inabidi ndo umtafute na kumtumia zawadi yoyote ili kuendelea kuonyesha upendo kwake lakini kiuhalisia upendo umeshapungua.
Sababu ni zilezile moyo wa mtu umeumbwa kumpenda anaeufanyia wema na kupunguza mapenzi kwa anaemuumiza/aliemuumiza.
Nashangaa watu humu wanavyobishana,alafu mimi sikutelekezwa wala nini ni kwamba alinichukua mamdogo wangu tangu nikiwa na miaka mitano nikasoma huko mpaka nikamaliza secondary,mama yangu simchukii ila namuona kama watu wengine na amezoea hali hiyo,tofauti yake na wengine ni kwamba yeye nampa matunzo kama mama yangu ila huo ukaribu haupo.Hawawezi kukuelewa.
Alafu hata awe Karibu naye watazungumza kitu gàni?
Kumsaidia atamsaidia lakini itakuwa kama anavyosaidia Watu Back.
Nashangaa watu humu wanavyobishana,alafu mimi sikutelekezwa wala nini ni kwamba alinichukua mamdogo wangu tangu nikiwa na miaka mitano nikasoma huko mpaka nikamaliza secondary,mama yangu simchukii ila namuona kama watu wengine na amezoea hali hiyo,tofauti yake na wengine ni kwamba yeye nampa matunzo kama mama yangu ila huo ukaribu haupo.
Mi sio kijana mwenzio,nina heshima zangu na maisha yangu naongea kitu ambacho nina uzoefu nacho siongei kwa hisia.We kijana unaumri wa miaka mingap Kwanza maana ushauri unaendana na umri
Una heshima yeyote mwenye heshima awezi chukulia kawahida chanzo cha heshima wew mkubwa hovyoMi sio kijana mwenzio,nina heshima zangu na maisha yangu naongea kitu ambacho nina uzoefu nacho siongei kwa hisia.
Aseee we jamaa ni hatari na nusu,unajua hata mimi niko hivyo sijawahi kusumbuliwa na mapenzi utavyonipeleka ndivyo nitakupeleka.Umehit mulemule.Sasa hiko kitu Kwa Watu waliolelewa na Baba na Mama hawakielewi.
Alafu Watu àmbao hawajalelewa na Baba na Mama mapenzi hayawasumbui.
Ukimuacha akikufungia vioo ndîo intolee hiyo. NI zaidi ya makauzu
We shida yako ni nini mbona unahitaji nijue kwamba we ni empty set unaendeshwa na mihemko,ebu achana na mimiUna heshima yeyote mwenye heshima awezi chukulia kawahida chanzo cha heshima wew mkubwa hovyo
Achana na maneno ya ndugu, watachosema haijalishi. Bila shinikizo kutoka nje jitahidi sana umjali mzazi wako haijalishi yeye alitenda nini ila kuna sababu ya wewe kulichagua tumbo lake.Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.
Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.
Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.
Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.
Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Aseee we jamaa ni hatari na nusu,unajua hata mimi niko hivyo sijawahi kusumbuliwa na mapenzi utavyonipeleka ndivyo nitakupeleka.Umehit mulemule.
sawa mkuu wewe mwenye akili kubwa mpe ushauriUna uzoefu na iyo hali anayo pitia au niubutu wa akili yako kumshauri mambo usiyo weza au kuyapitia
Iwe itakavyokua huyo bado ni mama mzazi.huwezi kupata mwingine zaidi yake...kuwaacha wadogo wa kiume kwa baba na akaondoka na wakike...isiwe na wala si sababu.hujui kilichojiri wakati huo...kuwa naye katibu kadri uwezavyo...Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.
Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.
Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.
Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.
Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Mama anatakiwa afanye jitihada si wewe, baada ya kuondoka kwa kipindi hiko alidhaninnini kitatokea?Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.
Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.
Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.
Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.
Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi