Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.
Daa inauma Sana aisee
View: https://www.instagram.com/p/C3F3aRptQRN/?igsh=ZmFkMjNjZzNwamk2
Walidhani kule kuna Majaji wa kupigia Simu?
Cc Rostam Aziz