Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deni halichagui, hii tunalipa sote..."They're actively working on it", walipe madeni ya watu hakuna namna.
Jk na rostam alifuta mikataba kibabe!?Kesi zote zimefufuliwa na zote tunashindwa, JK na Rostam watatuua jamani
Mama anaupiga mwingiiii...Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.
Daa inauma Sana aisee
---
Mapendekezo au hoja mbili kati ya tatu ilizowasilishwa na Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) yamepigwa chini.
Serikali iliwasilisha hoja hizo baada ya ICSID, Julai 2023 kutoa hukumu, hivyo walitaka Mahakama hiyo kufuta hukumu inayoelekeza kulipa fidia ya Dola 109 milioni za Marekani (Sh272 bilioni) kampuni ya Indiana Resources (IDA).
Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ICSID hela hiyo imefikia Dola za Marekani 112.9 milioni (Sh282 bilioni) pamoja na gharama za ziada za Dola 4.2 milioni (Sh10.5 bilioni) ambayo ni jumla ya zaidi ya Sh292 bilioni.
Kwa mujibu wa hukumu hiyo riba ya Dola za Marekani milioni moja (Sh2.5 bilioni) itaongezeka kila mwezi hadi Tanzania itakapolipa kiasi hicho au Indiana itakapozuia mali ya Tanzania itakayoendana na thamani ya madai hayo.
Desemba 2023, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania alitoa barua ya uthibitisho kwa ICSID kwamba Tanzania ingelipa bila masharti na bila kubatilishwa kiasi chote cha fedha hiyo ndani ya siku 45 baada ya uamuzi wa mwisho wa kubatilisha. Hata hiyo ni takribani miezi miwili sasa tangu hilo litokee.
Mapitio ya Tanzania kubatilisha kesi yatafanywa Machi 15, 2024 na wadai kujibu Aprili 26, 2024. Kisha kila upande utakuwa na majibu yao mtawalia.
Mei 24, 2024 na Juni 21, 2024 kutakuwa na mkutano wa pamoja wa wiki tatu kabla ya tarehe ya mwisho ya maamuzi.
Mwananchi
Ambacho nakihisi hapo ni kwamba hao wanasheria wa tanzania wameahidiwa donge nono na watapewa donge nono baada ya hayo malipo haramu kufanyika kutokana na kushindwa hiyo kesi, maana hata kushindwa kesi inawezanijawa ni sehemu ya dili zilezileDaah, mabeberu sio watu. Wanatupiga kwa kutumia upumbavu wa viongozi wetu.
Shamba la Kizimkazi halina mwenyewe wacha wajipigie tu kwani nini bana
Ambacho nakihisi hapo ni kwamba hao wanasheria wa tanzania wameahidiwa donge nono na watapewa donge nono baada ya hayo malipo haramu kufanyika kutokana na kushindwa hiyo kesi, maana hata kushindwa kesi inawezanijawa ni sehemu ya dili zilezile
acha upu..mba..vuTunalipa mabilioni kutokana na maamuzi ya kibabe ya viongozi wafuatao.
1. Dr.John Magufuli.
2. Dr.Palamagamba Kabudi.
3. Dr.Adelardus Kilangi.
Hizo ni dili zaoJk na rostam alifuta mikataba kibabe!?
Tena ni majangili kabisa shenzi zaoSio kweli!
Wasomi wa nchi hii ndio mambumbumbu mbugila mbugila. Inategemea usomi wake unampea ulaji kupitia wapi, ndiko atakapokuwa anaelewea
Yote aliyoyafanya Makonda na nguvu aliyokuwa nayo kipindi kile mpaka mkasema anatumwa na mwamba, SAA HII anatumwa na nani?
acha upu..mba..vu
Wewe si ni LICCM ama? Mama si anaupiga mwingi ama?
Tena matapeli na vibao.viongozi uchwara wameshikilia hatamu, unatarajia nini?!
Na hizo pesa nyingi wanachukua wana ccmHiyo ilipangwa
Mkuu inakuwa ngumu sana kujadili mada kwa kurukaruka. Twende na mada kama ilivyoletwa na hayo mengine yatakuwa na mada tofautiSio kweli!
Wasomi wa nchi hii ndio mambumbumbu mbugila mbugila. Inategemea usomi wake unampea ulaji kupitia wapi, ndiko atakapokuwa anaelewea
Yote aliyoyafanya Makonda na nguvu aliyokuwa nayo kipindi kile mpaka mkasema anatumwa na mwamba, SAA HII anatumwa na nani?
Kesi ambazo serikali imewahi kuwa nazo, labda tuanzie awamu ya pili mpaka sasa, kuna ambazo serikali imewahi kushinda?Mkuu inakuwa ngumu sana kujadili mada kwa kurukaruka. Twende na mada kama ilivyoletwa na hayo mengine yatakuwa na mada tofauti
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.
Daa inauma Sana aisee
---
Mapendekezo au hoja mbili kati ya tatu ilizowasilishwa na Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) yamepigwa chini.
Serikali iliwasilisha hoja hizo baada ya ICSID, Julai 2023 kutoa hukumu, hivyo walitaka Mahakama hiyo kufuta hukumu inayoelekeza kulipa fidia ya Dola 109 milioni za Marekani (Sh272 bilioni) kampuni ya Indiana Resources (IDA).
Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ICSID hela hiyo imefikia Dola za Marekani 112.9 milioni (Sh282 bilioni) pamoja na gharama za ziada za Dola 4.2 milioni (Sh10.5 bilioni) ambayo ni jumla ya zaidi ya Sh292 bilioni.
Kwa mujibu wa hukumu hiyo riba ya Dola za Marekani milioni moja (Sh2.5 bilioni) itaongezeka kila mwezi hadi Tanzania itakapolipa kiasi hicho au Indiana itakapozuia mali ya Tanzania itakayoendana na thamani ya madai hayo.
Desemba 2023, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania alitoa barua ya uthibitisho kwa ICSID kwamba Tanzania ingelipa bila masharti na bila kubatilishwa kiasi chote cha fedha hiyo ndani ya siku 45 baada ya uamuzi wa mwisho wa kubatilisha. Hata hiyo ni takribani miezi miwili sasa tangu hilo litokee.
Mapitio ya Tanzania kubatilisha kesi yatafanywa Machi 15, 2024 na wadai kujibu Aprili 26, 2024. Kisha kila upande utakuwa na majibu yao mtawalia.
Mei 24, 2024 na Juni 21, 2024 kutakuwa na mkutano wa pamoja wa wiki tatu kabla ya tarehe ya mwisho ya maamuzi.
Mwananchi