Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

Nadhani ni bora kushughulika na kiini cha hizi kesi kuliko matokeo ya hizi kesi .Mfano tushugjulike na watu wanaojicommit au kuingia mikataba isiyo na afya kwa Taifa .Ni ngumu sana kwa wakili anae lipwa milioni kwenda kushinda kesi ya billions .
JPM ndio alifuta leseni yao kibabe, yeye kama alikua Indiana Resources wameshindwa honor mkataba angefungua kesi ICSID ili mkataba uvunjwe cha ajabu anaenda tu kubadili sheria hapo hapo na kuamuru zitumike kurudi nyuma!!

Yule jamaa alikua na nia njema ila alikua anakurupuka kwenye execution. Kwani angewashtaki angepoteza nini na ushahidi tulikua nao?
 
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.

Daa inauma Sana aisee
---

Mapendekezo au hoja mbili kati ya tatu ilizowasilishwa na Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) yamepigwa chini.

Serikali iliwasilisha hoja hizo baada ya ICSID, Julai 2023 kutoa hukumu, hivyo walitaka Mahakama hiyo kufuta hukumu inayoelekeza kulipa fidia ya Dola 109 milioni za Marekani (Sh272 bilioni) kampuni ya Indiana Resources (IDA).

Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ICSID hela hiyo imefikia Dola za Marekani 112.9 milioni (Sh282 bilioni) pamoja na gharama za ziada za Dola 4.2 milioni (Sh10.5 bilioni) ambayo ni jumla ya zaidi ya Sh292 bilioni.

Kwa mujibu wa hukumu hiyo riba ya Dola za Marekani milioni moja (Sh2.5 bilioni) itaongezeka kila mwezi hadi Tanzania itakapolipa kiasi hicho au Indiana itakapozuia mali ya Tanzania itakayoendana na thamani ya madai hayo.

Desemba 2023, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania alitoa barua ya uthibitisho kwa ICSID kwamba Tanzania ingelipa bila masharti na bila kubatilishwa kiasi chote cha fedha hiyo ndani ya siku 45 baada ya uamuzi wa mwisho wa kubatilisha. Hata hiyo ni takribani miezi miwili sasa tangu hilo litokee.

Mapitio ya Tanzania kubatilisha kesi yatafanywa Machi 15, 2024 na wadai kujibu Aprili 26, 2024. Kisha kila upande utakuwa na majibu yao mtawalia.

Mei 24, 2024 na Juni 21, 2024 kutakuwa na mkutano wa pamoja wa wiki tatu kabla ya tarehe ya mwisho ya maamuzi.

Mwananchi
Mama yenu anaupiga mwingi.
 
Kesi ambazo serikali imewahi kuwa nazo, labda tuanzie awamu ya pili mpaka sasa, kuna ambazo serikali imewahi kushinda?
  • Na zile ilizoshindwa, kuna lolote lilifanyika kuzuia kesi kama hizo zisitokee tena?
  • Kama kuna ukanjanja uliosababisha kuwa kesi, kutokea serikalini, hao makanjanja waliotusababishia hayo, wako wapi? Ni kina nani? Nini kimefanyika dhidi yao?

Zile kesi tulizoshinda, kuna lolote tumejifunza? Nimesikia Accacia waliilipa serikali tsh 900bn, je ni kweli?
  • Kesi zilizofufuliwa awamu hii, zinaendana na matatizo ya kutengeneza kama umeme, inflation etc
  • Kwa mujibu wa Mpina, serikali inapaswa kuanza kulipwa fidia kwa mujibu wa mkataba kutokana na ucheleweshwaji wa bwawa la Nyerere, nini kinaendelea?

Kesi za awamu ya 5 ni zipi na status zake zikoje?
Mkuu hapo sina clue ya idadi ya cases.
Nitachangia issue ya Mr. Mpina na ulipwaji kama ifuatavyo; Mikataba yai ujenzi huwa ina kipengere cha adhabu kwa ucheleweshwaji wa either malipo ama ucheleweshaji wa kumalizika kwa mradi. Hayo yote ili yatokee kuna sababu zinakuwa zimeainishwa kwenye mkataba. Ikitokea mteja/serikali ikachelewesha malipo basi itaadhibiwa kwa mujibu wa mkataba na huo ucheleweshaji wa malipo uta affect maendeleo ya kazi (muda wa kumaliza mradi) ma serikali haitokuwa entitled kulipwa kwa kuchelewa kumalizika kwa mradi kwani yenyewe ndiyo imesababisha delay.
Kuna obligation pia za kila pande kwenye mkataba na usipotimiza ya kwako inakuondolea entitlement ya fidia.
Vile vile kuna sababu ambazo ziko nje ya uwezo wa pande za mkataba na uwepo wake u affect muda wa mradi( eg. Shutdown ya Corona)
Kifupi fidia siyo an automatic button kuna test lazima i qualify
 
Hiyo pesa afadhali wangewalipa Kipunguni A malipo ya fidia wangeshukuru na kuwapa kura 2025
 
Kwa mara nyingine tena Tanzania imeshindwa katika kesi ya madai iliyofunguliwa na Kampuni ya Australia inayoitwa Indiana Resources inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya nickel katika Mahakama ya Usuluhishi ya Benki Kuu ya Dunia. Mahakama hiyo imeiamuru Tanzania kulipa fidia ya dola za Marekani milioni 119 ( Sawa na zaidi ya Tshs bilioni 309) na riba ya dola milioni moja kila mwezi hadi fidia itakapolipwa. Hukumu hiyo imetolewa jana tarehe 8 February 2024.

Indiana Resources ilifungua kesi katika Mahakama hiyo mwaka 2017 baada ya serikali ya Tanzania kubatilisha leseni ya kuchimba nickel maeneo tofauti nchini.

Katika hukumu yake Mahakama hiyo inayojulikana kama ICSID - International Center for Settlement of Dispute imesema ilikuwa kinyume cha sheria kwa Tanzania kubatilisha leseni na hivyo kuamuru Tanzania kulipa dola milioni 112.9 kama fidia na dola milioni 4.2 kama gharama ya kuendesha kesi.

𝗟𝗘𝗚𝗔𝗟 𝗜𝗡𝗦𝗜𝗚𝗛𝗧

𝗛𝗼𝘄 𝗙𝗲𝗹𝗲𝘀𝗵𝗶'𝘀 𝗹𝗼𝘀𝘁 𝗰𝗮𝘂𝘀𝗲 𝗶𝘀 𝗰𝗼𝘀𝘁𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗴𝗼𝘃𝗲𝗿𝗻𝗺𝗲𝗻𝘁 $𝟭 𝗺𝗶𝗹𝗹𝗶𝗼𝗻 𝗲𝘃𝗲𝗿𝘆 𝗺𝗼𝗻𝘁𝗵

February 8, 2024

𝑩𝒚 𝑻𝑩𝑰 𝑹𝒆𝒑𝒐𝒓𝒕𝒆𝒓
Dar es Salaam

A World Bank court has summarily dismissed most of Tanzania’s grounds for annulling an award of $119 million (over TZS 309 billion) to an Australian nickel miner.

But the decision of Tanzania's Attorney General Eliezer Feleshi to continue seeking annulment of the award in a case which independent legal experts agree the government simply cannot win is costing the country about $1 million every month in interest.

Indiana Resources filed the case against Tanzania at the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) after the government cancelled it's mining retention licences following the 2017 mining law overhaul.

ICSID, which handles international investment disputes, ruled that Tanzania's expropriation of the licenses was unlawful and awarded Indiana Resources $112.9 million in compensation.

An additional $4.2 million was awarded to the investor company to cover the costs incurred during the arbitration process.

The award accrues a monthly interest of about $1 million until the Tanzanian government makes the payment or equivalent Tanzanian assets are seized by Indiana.

In December last year, Tanzania's Attorney General sought annulment of the ruling.

The process of determining Tanzania's request for annulment is still ongoing and could continue for several more months, with ICSID having rejected two out of three of Tanzania's grounds for annulment.

Currently, the only remaining complaint for consideration is related to alleged procedural violations, which Tanzania stands virtually zero chance of winning.

A series of court filings and counter-filings are scheduled through mid-2024, concluding with a pre-hearing meeting and a potential hearing.

As the annulment process drags on, the financial liability for Tanzania continues to mount, increasing by a whopping $1 million (TZS 2.6 billion) every month.

During hearing of the case, Indiana's lawyers tore apart the testimony of Tanzania's key witness, Prof. Abdulkarim Mruma, who is one of the country's top geologists, exposing the weakness of the government's case.

Meanwhile, there are several other similar cases against Tanzania before ICSID filed by other foreign mining companies seeking compensation for cancellation of their licenses, with a similar outcome likely awaiting the government.

Should Feleshi continue with the ill-fated annulment process or should the Tanzanian government just cut its losses and pay the Australian miner?

That is, quite literally, the 1 million dollar question.
 
Msemo umetimia.

Awamu hii yupo bibi watu wanajipigia tu mihela.

..msimlaumu Samia ktk suala hili.

..kesi tuliyoshindwa imetokana na maamuzi ya Magufuli, akishauriwa na Prof.Kabudi, na Prof.Kilangi.
 
Kwani kuna wapuuzi walitegemea judgement tofauti na hiyo??
 
Wewe malaya wa Lumumba Etwege umeipata hii ya MIGA?
Huyo mwendawazimu Jiwe alikurupuka kufanya maamuzi kama mtu anayeogea nje leo kodi zetu zinapotea kijinga kisa wanasiasa wajinga wajinga
Shabhashhhh!
 
Wewe malaya wa Lumumba Etwege umeipata hii ya MIGA?
Huyo mwendawazimu Jiwe alikurupuka kufanya maamuzi kama mtu anayeogea nje leo kodi zetu zinapotea kijinga kisa wanasiasa wajinga wajinga
Shabhashhhh!

Etwege hawezi kutia pua kwenye hili, maana yeye ni mmoja wa waliotekwa na uzalendo uchwara wa dhalimu Magu.
 
..hayo makesi na mafaini yamesababishwa na ujuaji wa Magufuli, Kabudi, na Kilangi.

..Lissu alionya bungeni kuhusu suala hili lakini akawa anabezwa ati ni mwanasheria wa hovyo anayeogopa kushtakiwa.

..Zaidi kwasababu ya kupaza sauti watawala wakajaribu kumuua.

..Ukweli unabaki kwamba hii ni hasara ambayo imetokana na kiburi cha watawala wetu.
Waliotaka kumuua Lissu wanaendelea kuoza
 
Wakati kichaa wenu jiwe anavunja mikataba halali kishamba mlimshangilia
Tulieni dawa iingie damuni.
 
Back
Top Bottom