Akili ya nyerere kisiasa ukiilinganisha na akili ya balali mwizi BOT ni kazi kizipimaAkili ni akili tu! Ila uwezo wa kuzitumia mpaka kuwazidi wengine ndio maana zinaitwa nyingi kwa muktadha huo iangalie vizuri orodha.
HapanaNamba moja babu Wa liliondo!!
Elimu ndio nn uongozi ni kipaji kama ilivyo kwa wasanii wa bongo Levya.Huyo aliyepata ma fa fa fa fa faaaa.....au umetumia vigezo gan? Embu itazame hyo list vizur zn peruzi na kudadis elimu za waliowekwa hapo
Akili za nn?Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Ndio maana nikasema huu ni mtazamo wangu ambao unaweza ukawa tofauti na mawazo ya wengineMleta mada inabidi kwanza utafute kichwa cha habari kinachoendana na mada unayotaka kuleta hapa.. kwa hiyo ili uonekane mwenye uwezo wa akili lazma kwanza uwe mwanasiasa? Kuna wataalamu wangapi manguli wa maeneo mbalimbali ambao wamafanya mambo makubwa kwenye secta zao? au kwa unavyoona wewe wenye akili wote ni walio kwenye siasa tu?
inawezekan il ingekuwa vyem uweke na mitihan migum iliyowashnda wa Tz wao wakaifanyaKwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Nimesema hivi; huu ni mtazamo wangu! Ndio maana nikatoa option kuwa sio unaweza ukaongezea kwenye orodha unaowaona wanafaa!Genius anayeshindwa masomo sijawahi kumuona duniani
Huyo jamaa akili zake chenga hajui kuwa mnasiasa ni mgawanyo wa majukumu-kuna watu wapo field zingine ni vichwa hatari
il m kwa psychology nliyosom iyo namb cta c ya kuchezesha kwenye kikos itachomesha timuKwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Mkuu usinidunishe na elimu yangu! Kwani naweza nikahitaji tuweke vyeti hapa mwisho wa siku usije ukanikimbia! Maana Mimi huwa sioni ugumu wowote wa kuweka vyeti hapa! Isitoshe hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya elimu ya mtu na uwezo wa akili alionao upo?Daaah kwa hiyo orodha yako pole sana, kwani elimu yako ndio imekwambia hivo, binafsi kuna watu wenye mchango na akili nyingi zaidi ya hao wanasiasa wanaotafuta attention ya media.
Hiyo top ten yako kuna watu watatu tu atleast wana hekima, akili na maono yaliyo sahihi. Mind you namba 6 astahili hata kulinganishwa na mjumbe wa nyumba kumi, hana akili hata kidogo, mtu mwenye akili anajua kucontrol hasira.