Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Juzi tu alivyorudi alikuwa na maandamano.
Vikao vys chama vyote kulikuwa na msongamano, bado kampeni.
Chadema wamfunge speed governor bila hivyo kuna sehemu atawaharibia
Vikao vys chama vyote kulikuwa na msongamano, bado kampeni.
Chadema wamfunge speed governor bila hivyo kuna sehemu atawaharibia
Halafu mbaya zaidi mwezi ujao zinaanza kampeni vipi atahutubia wananchi kwa YouTube au atawakusanya tu na kuwatoa mhanga kwenye corona.?