Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Si kweli.

Angepigwa risasi na wataalam wenyewe asingepona.

Na hata angepigwa risasi kama yule mbeba madini wa Arusha wakamchafua yeye na Rabge Rover yake asingepona kabisa.

Isitoshe bado dereva wake anahitajika atoe maelezo inakuwaje risasi zipigwe kuelekea uapnde wa dereva (kushoto) lakini zimpate Tundu Lissu kwenye mguu wake wa kulia.

Hadi leo hii hakuna anaefahamu kwa uhakika Tundu Lissu alishambuliwa na wahuni wepi.
We ni imbecile. Yaani watu wanapiga risai 40 within 5metre range??

Mimi naamini wale mafala waliotimwa kumuua walapewa njia zote ulinzi juu, wakahakikishiwa hali cctv camera zimezimwa na walinzi wakaondolewa na bado wakashindwa walichotumwa nauhakika walishauawa. Huwezi kutumwa tukio kama lile ukashindwa halafu ukaachwa ubaki hai. Nina uhakika kuna familia mpaka sasa hazijui ndugu zao wako wapi. Walishatangulizwa.
 
We ni imbecile. Yaani watu wanapiga risai 40 within 5metre range??

Mimi naamini wale mafala waliotimwa kumuua walapewa njia zote ulinzi juu, wakahakikishiwa hali cctv camera zimezimwa na walinzi wakaondolewa na bado wakashindwa walichotumwa nauhakika walishauawa. Huwezi kutumwa tukio kama lile ukashindwa halafu ukaachwa ubaki hai. Nina uhakika kuna familia mpaka sasa hazijui ndugu zao wako wapi. Walishatangulizwa.

Imbecile is too extreme.

You don't need this one.

Just air your opinion with composure.
 
Imbecile is too extreme.

You don't need this one.

Just air your opinion with composure.
Sijakutukana Mkuu Richard bali nimereflect uwezo wako wa kufikiri.

Lissu alipona lile jaribio sio kwamba wapigaji hawakujua cha kufanya bali alipona kwa Miujiza tu.

Uwe unaelewa hata kama unatetea jiongeze kidigo.
 
Kama magufuli amepiga bomu maabara, alafu akaleta Sheria ya takwimu, utajuaje labda hata Yule mstaafu Ni covid

Kwa kweli huwezi kujua. Ila ukweli utabakia kuwa ukweli hata iweje.
 
Mkuu, dawa ni kupima mwongo atajulikana.
Duniani wamepata milioni 17 vifo laki saba ukigawa kwa dunia nzima kwa uwiano wa idadi ya watu tanzania ingekuwa wa waathirika wangapi. Na ukikaa kimya ungeweza usigundue kitu. Sisi tumekaa kimya na hatuoni ukubwa wa tatizo kwa haraka. Dunia ina watu bilioni 7 kumbuka. Tanzania ina watu mil. 57.
Option ya kukaa kimya haina maaana kuwa corona haipo

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app

Wanadhani wanaweza kuwadanganya watu wote:

Watanzania, Kuukimbia ukweli hakutatusaidia

Kuwa watu wote ni mbumbumbu tu.

Kimsingi weamua wa kufa na wafe.
 
Kwenye swala LA corona chadema mnapoliongelea kuweni makini, hili jambo ni sensitive sana.Kutoa maelezo kwamba tuna corona cases nyingi bila ushahidi in hatari.Ccm na serikali yake walichokosea ni kuvuruga takwimu za upimaji, lakini pia hiyo haifanyi cases kuwa nyingi.nashauri chadema undeni team ya mgombea urais itakayokuwa na watu waliobobea katika fani mbalimbali ili waweze MPA ushauri mgombea kabla hajatoka katika mambo mbalimbali.
 
Jinga sana hili jamaa,halafu kweli huyu mtu viazi wamtegemea agombee urais
 
Kipindi hichi Cha uchaguzi sio Cha candidate kujiropokea hyo corona Tanzania iko wapi jamani, maana lisu kasema watu wanakufa
Watanzania mtaacha lini kuishi kama wakomunisti? Dunia ya leo kila kitu kipo wazi ni dunia ya utandawazi.

Mpaka Marekani imezuiwa watu wake kuingia nchi zingine kwa sababu ya uwazi ndio itakuwa TZ.

Korona ni pandemic na kuimaliza ni lazima tuwe wawazi kama ambavyo tumekuwa wawazi kwenye janga la ukimwi.
 
Hapa kwetu wapinzani wanadhani kazi yao pekee ni kupinga Kila kitu. Hata pale panapohitaji umoja wa kitaifa wao wanapinga tu na Wala hawataki kujifunza kwa mabeberu wanaowatumikia.
Korona ni international interest na kuishinda lazima tuwe wawazi, tusiwe WAJIMA kama watanzania.
 
Lissu hafai kuwa rais wa Tanzania kwa sababu ametanguliza maslahi yake binafsi kuliko maslahi ya nchi, katika mahojiano yote aliyofanya na vyombo vya habari vya nje amekuwa akitumika bila kujua kuiponda Tanzania.
Tangia afike amewahi kujiweka social distance jibu hapana lakini tumemuona akijichanganya bila kuvaa barakoa .
Anafanya kampeni kubwa ya kuomba kura za nje wakati wapiga kura wako ndani ya nchi.
 
Watanzania mtaacha lini kuishi kama wakomunisti? Dunia ya leo kila kitu kipo wazi ni dunia ya utandawazi.

Mpaka Marekani imezuiwa watu wake kuingia nchi zingine kwa sababu ya uwazi ndio itakuwa TZ.

Korona ni pandemic na kuimaliza ni lazima tuwe wawazi kama ambavyo tumekuwa wawazi kwenye janga la ukimwi.
Kwahyo kwa vile ni corona ujiropokee tu hovyo na kudaganya taarifa bila kuwa na takwimu?
 
Back
Top Bottom