Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Harakati ndani ya Chadema zinachangamka siku hadi siku..
CCM wamepuuza siasa za majadiliano na maridhiano ndani ya CDM na nje ya CDM..
Sio ACT wala vyama vidogo kwamba vinapatiwa ahueni...
Upande wa Chadema shida inaonekana Freeman Mbowe amekuwa mpole sana kwa dola hadi kufika kipindi anaambiwa amepewa Rushwa ..
Na hili limetokana na maridhiano ya Mbowe na Dola ambayo hayajazaa matunda yeyote...
Wahafidhina wanasema lazima Mbowe aachie Ngazi kwakuwa Chama hakiwezi kuendeshwa kwa siasa zile zile za miaka takribani kumi iliyopita...
Kwa sasa CDM ina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa, wachache zaid toka uchaguzi wa 2005...
Sababu za wahafidhina ni kwamba Mbowe amekuwa mpole sana kwa Dola na CDM kimekuwa chama cha majadiliano... "Wanataka mabadiliko"
Hatari ninayoiyona, wanaoongoza mapambano hayo hawana cha kupoteza, wakiongozwa na wafuatao..
1. Tundu Lissu
2. Petet Msigwa
3. Liberatus Mwangombe
4. Lyenda
5. John Jambo Media
6. John Heche
7. Saed Kubenea
8. Rose Mayemba
9. Wilbroad Slaa
10. Rose Mwakitwange
11. Lifeof Mshamba etc
Pamoja na kundi hili la wazi, bado kuna wanachama wengi wanadhani Mbowe ni kikwazo kwao kufanya harakati za kuhakikisha hawaendi kwenye uchaguzi mkuu hali ikiwa kama ilivyo na wanataka 'mabadiliko' ya uongozi haraka sana.
Kwa Mtazamo wangu kutokana na niayoyaona mtandaoni ni kama wanakaribia kushinda...
Na ukitazama kwa undani ni kama hakuna mbinu mbadala ya kufanya CDM iache "kukatwa" kama ilivyokuwa 2020....
Muda utakuwa rafiki mzuri, lakini muasisi wa yote haya ni kukwama kwa Maridhiano, au angalao, minimum reforms kutokufanya kazi kama ilivyoyarajiwa...
Siasa zetu kubadilika sana kuelekea 2025, pengine kuliko tulivyotarajia?
Muda utasema.
CCM wamepuuza siasa za majadiliano na maridhiano ndani ya CDM na nje ya CDM..
Sio ACT wala vyama vidogo kwamba vinapatiwa ahueni...
Upande wa Chadema shida inaonekana Freeman Mbowe amekuwa mpole sana kwa dola hadi kufika kipindi anaambiwa amepewa Rushwa ..
Na hili limetokana na maridhiano ya Mbowe na Dola ambayo hayajazaa matunda yeyote...
Wahafidhina wanasema lazima Mbowe aachie Ngazi kwakuwa Chama hakiwezi kuendeshwa kwa siasa zile zile za miaka takribani kumi iliyopita...
Kwa sasa CDM ina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa, wachache zaid toka uchaguzi wa 2005...
Sababu za wahafidhina ni kwamba Mbowe amekuwa mpole sana kwa Dola na CDM kimekuwa chama cha majadiliano... "Wanataka mabadiliko"
Hatari ninayoiyona, wanaoongoza mapambano hayo hawana cha kupoteza, wakiongozwa na wafuatao..
1. Tundu Lissu
2. Petet Msigwa
3. Liberatus Mwangombe
4. Lyenda
5. John Jambo Media
6. John Heche
7. Saed Kubenea
8. Rose Mayemba
9. Wilbroad Slaa
10. Rose Mwakitwange
11. Lifeof Mshamba etc
Pamoja na kundi hili la wazi, bado kuna wanachama wengi wanadhani Mbowe ni kikwazo kwao kufanya harakati za kuhakikisha hawaendi kwenye uchaguzi mkuu hali ikiwa kama ilivyo na wanataka 'mabadiliko' ya uongozi haraka sana.
Kwa Mtazamo wangu kutokana na niayoyaona mtandaoni ni kama wanakaribia kushinda...
Na ukitazama kwa undani ni kama hakuna mbinu mbadala ya kufanya CDM iache "kukatwa" kama ilivyokuwa 2020....
Muda utakuwa rafiki mzuri, lakini muasisi wa yote haya ni kukwama kwa Maridhiano, au angalao, minimum reforms kutokufanya kazi kama ilivyoyarajiwa...
Siasa zetu kubadilika sana kuelekea 2025, pengine kuliko tulivyotarajia?
Muda utasema.