Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

Ninavyojua wanawake, i mean yule aliyekupenda just unconditional, ukimpenda same utafurahia mema ya nchi
tatizo linakuja kwenye hizi fake love, watu kuigiza kumekuwa kwingi hata huwezi jua nani anaigiza na nani ni mkweli
tuendelee kuomba tu Mungu atusaidie
Unconditional? Upo usingizini mkuu? Who'd give you unconditional love ?
 
Hivi, mbona kingereza cha Nyani Ngabu na bwana Kiranga ni kigumu kuliko ninachosoma toka kwa mabeberu?🤣
Inategemea unasoma nini.

Unasoma The Economist na The New Yorker? Kwa kuanzia tu.

Ujue hata mabeberu nao wana lowbrow, middlebrow na highbrow publications.

Umenikumbusha mshua alikuwa anasema alivyosoma Uingereza alikuwa anawagaragaza Waingereza kwenye somo la Kiingereza, kwa sababu wao watu wa London wanaongea tu Cockney kina flow, ukienda kwenye parts of speech na kukichambua Kiingereza formally hawajui, kwa sababu ni lugha yao. Huku mshua anajua kuchambua subject na predicate, verb ni nini na ikae wapi, parts of speech zote zina fit vipi, double negative ni nini na kwa nini usiitumie, na madudu yote hayo, anakiheshimu Kiingereza kama lugha ya watu.

Ukimsikikiza sana David Beckham anavyoongea, kama unajua Kiingereza vizuri, utaweza kunielewa.
 
Samahani, niko out of topic, hii tabia ya nyie wadada kuita wanaume "rafiki" huwa mkituita hivyo mnamaanisha nini hasa? Like mnamaanisha rafiki kama kiunganishi tu cha maneno, au mnamaanisha kuwa hamuwezi mpa papuchi huyo mwanaume ndo maana mnamuita rafiki Kelsea Mzee wa kupambania
Tafuta hela halafu muite hivyo hivyo rafiki, akikuletea shida zake mwambie we ni rafiki yangu me nasaidia wapenzi.
 
Hello guys, bado tupo January, so Happy New Year!!

Ni muda sasa nimekua nikisoma na kusikia wakaka mnavyolaumu wanawake kukosa utii na heshima kwenye ndoa na mahusiano, kuwa jeuri sana na kuendekeza gubu.
Imefika mahali elimu na mafanikio ya mwanamke ndio vinaonekana kuwa chanzo cha matatizo haya, pamoja na mengine mengi.[emoji853]

Binafsi sikubaliani nanyi hata kidogo.

Utii hauletwi na mtu kutokua "msomi"! Utii, kama vitu vingine vingi ambavyo hutolewa kwa hiari huwa havitolewi isipokua pale muhusika anapoonekana anastahili.

You can instill fear on a person, ukanunua nidhamu ya uongo, ngono, mapenzi ya kinafiki and so on...ila upendo, utii na kujaliwa ambako ni halisi (real/genuine) hutolewa kwa hiari, na hiari haishurutishwi hata siku moja. Si kwa mazingira (circumstances), uhitaji, pesa, hofu, wala nguvu ya mtu.

Tatizo linakuja pale mnapotaka kuchukua bila kutoa. Trust me, you can not take without giving!!

Wanaume nyie mnataka tuwapende, mnataka tuwajali (mbembelezwe na kupetiwa petiwa), tuwaheshimu, tuwatii, tuwasikilize, tuwa-appreciate etc. , ila nyie mnafanya juhudi gani kututengenezea mazingira/ kutuweka kwenye position ya kuwapa hayo yote na zaidi bila kujiona wajinga? Pengine tunafelishana in the sense that hamna anaetaka kuonekana mnyonge, nyie mnatuonyesha ubabe kwahiyo na sisi tunawaonyesha jeuri.

Hii pia inatokana na the fact that kuna baadhi wanakuwa na watu ambao sio sahihi kwao, either kwa tamaa, uzembe ama haraka ya kuingia kwenye mahusiano. Mtu wa hivi hata umbebe mgongoni, it will never change the fact that HAKUPENDI! Anaweza akawa anakuhitaji kwa sababu moja ama nyingine, but that's pretty much it.

Ukweli ni kwamba, ukiwa na mtu sahihi kwako na ukam-treat vizuri, she'll naturally become your peace...and vice versa!

Tukiacha kushindana, kila mmoja akaanza kumpa mwenzie kila anachoweza kumpa without conditions, judgement, or holding back, maisha yatakua rahisi sana.
Kwa nini musianze nyinyi kutoa huo upendo bila masharti yoyote au kuekewa mazingira ya kutoa huo upendo? Mimi naona kama unajitekenya na kucheka mwenyewe, ufeminist sio kipaji ndugu yangu ni tabia mbaya tu baadhi ya wanawake wameamua kujivika
 
Dr Lizzy Siku zote huwa unaongea facts, kila neno uliloandika naunga mkono 100%

Niwe mkweli, sijawahi kuwa na utii genuine kwa mwanaume maisha yangu yote kama ilivyo sasa kwa kaka mzuri, sipingani nae katika mengi, ni mara chache mno na ni pale ninapoona kabisa kwamba hili sio sahihi.

Kupitia yeye nimegundua kila mwanamke ni mtiifu kwa mwanaume anayempenda kweli, na mwanaume huyo akawa muungwana asiye na chembe ya shaka juu ya upendo wake kwako. Yani kwamba akisema kitu kwa kuwa unajua anakupenda unaona kitakuwa chenye manufaa/sahihi.

Lakini kwa mwanaume mbabe, asiyejali kwakweli asahau utii wa kweli kutoka kwa mwanamke. Huwa tunawadanganya kutii ila kiukweli ni tunawapuuza kuepusha ugomvi.
Sasa kuna uhusiano gani mpaka umtie bwana wako kwenye mada, au ulihisi hii mada uliandikiwa wewe ujimwambafai na Bwana wako, sawa endelea kuturusha roho ila mimi sikutakii mema kabisa kwenye huo uhusiano wako, labda ungelikuwa hayo unayoyasema unanipenda mimi
 
Back
Top Bottom