raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Labda kuna ufundi mwingine sina unaweza nipa hints 😄Utajua ukiwa mkubwa 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kuna ufundi mwingine sina unaweza nipa hints 😄Utajua ukiwa mkubwa 😁😁
You are a lady and a scholar.😁😁😁
Umesomeka loud 'n clear Kiranga.
Will do my best to avoid them broad generalizations!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa nkisema bweee
Ntakula ban
Acha nkae kimya
#onothafeminisitiindahause
Unconditional? Upo usingizini mkuu? Who'd give you unconditional love ?Ninavyojua wanawake, i mean yule aliyekupenda just unconditional, ukimpenda same utafurahia mema ya nchi
tatizo linakuja kwenye hizi fake love, watu kuigiza kumekuwa kwingi hata huwezi jua nani anaigiza na nani ni mkweli
tuendelee kuomba tu Mungu atusaidie
Inategemea unasoma nini.Hivi, mbona kingereza cha Nyani Ngabu na bwana Kiranga ni kigumu kuliko ninachosoma toka kwa mabeberu?🤣
Tafuta hela halafu muite hivyo hivyo rafiki, akikuletea shida zake mwambie we ni rafiki yangu me nasaidia wapenzi.Samahani, niko out of topic, hii tabia ya nyie wadada kuita wanaume "rafiki" huwa mkituita hivyo mnamaanisha nini hasa? Like mnamaanisha rafiki kama kiunganishi tu cha maneno, au mnamaanisha kuwa hamuwezi mpa papuchi huyo mwanaume ndo maana mnamuita rafiki Kelsea Mzee wa kupambania
Kwa nini musianze nyinyi kutoa huo upendo bila masharti yoyote au kuekewa mazingira ya kutoa huo upendo? Mimi naona kama unajitekenya na kucheka mwenyewe, ufeminist sio kipaji ndugu yangu ni tabia mbaya tu baadhi ya wanawake wameamua kujivikaHello guys, bado tupo January, so Happy New Year!!
Ni muda sasa nimekua nikisoma na kusikia wakaka mnavyolaumu wanawake kukosa utii na heshima kwenye ndoa na mahusiano, kuwa jeuri sana na kuendekeza gubu.
Imefika mahali elimu na mafanikio ya mwanamke ndio vinaonekana kuwa chanzo cha matatizo haya, pamoja na mengine mengi.[emoji853]
Binafsi sikubaliani nanyi hata kidogo.
Utii hauletwi na mtu kutokua "msomi"! Utii, kama vitu vingine vingi ambavyo hutolewa kwa hiari huwa havitolewi isipokua pale muhusika anapoonekana anastahili.
You can instill fear on a person, ukanunua nidhamu ya uongo, ngono, mapenzi ya kinafiki and so on...ila upendo, utii na kujaliwa ambako ni halisi (real/genuine) hutolewa kwa hiari, na hiari haishurutishwi hata siku moja. Si kwa mazingira (circumstances), uhitaji, pesa, hofu, wala nguvu ya mtu.
Tatizo linakuja pale mnapotaka kuchukua bila kutoa. Trust me, you can not take without giving!!
Wanaume nyie mnataka tuwapende, mnataka tuwajali (mbembelezwe na kupetiwa petiwa), tuwaheshimu, tuwatii, tuwasikilize, tuwa-appreciate etc. , ila nyie mnafanya juhudi gani kututengenezea mazingira/ kutuweka kwenye position ya kuwapa hayo yote na zaidi bila kujiona wajinga? Pengine tunafelishana in the sense that hamna anaetaka kuonekana mnyonge, nyie mnatuonyesha ubabe kwahiyo na sisi tunawaonyesha jeuri.
Hii pia inatokana na the fact that kuna baadhi wanakuwa na watu ambao sio sahihi kwao, either kwa tamaa, uzembe ama haraka ya kuingia kwenye mahusiano. Mtu wa hivi hata umbebe mgongoni, it will never change the fact that HAKUPENDI! Anaweza akawa anakuhitaji kwa sababu moja ama nyingine, but that's pretty much it.
Ukweli ni kwamba, ukiwa na mtu sahihi kwako na ukam-treat vizuri, she'll naturally become your peace...and vice versa!
Tukiacha kushindana, kila mmoja akaanza kumpa mwenzie kila anachoweza kumpa without conditions, judgement, or holding back, maisha yatakua rahisi sana.
Wanaongea kile chenyewe kile texas ndani ndani huko lazm kichwa kiume 😄Hivi, mbona kingereza cha Nyani Ngabu na bwana Kiranga ni kigumu kuliko ninachosoma toka kwa mabeberu?🤣
Tumekuwa vichwa maji tena duh sawaSure aisee,na ukizingatia wanaume wengi humu ni vichwa maji...like they knew everything before and after birth
Umemaliza kila kitu[emoji120][emoji120][emoji120]Sio kila mwanamke ni wa kuolewa akafit kukaa kwenye ndoa, baadhi ni wa kugongwa na kuzalishwa tu
Aisee,utanifanya nikimbie mkuuTumekuwa vichwa maji tena duh sawa
Sasa kuna uhusiano gani mpaka umtie bwana wako kwenye mada, au ulihisi hii mada uliandikiwa wewe ujimwambafai na Bwana wako, sawa endelea kuturusha roho ila mimi sikutakii mema kabisa kwenye huo uhusiano wako, labda ungelikuwa hayo unayoyasema unanipenda mimiDr Lizzy Siku zote huwa unaongea facts, kila neno uliloandika naunga mkono 100%
Niwe mkweli, sijawahi kuwa na utii genuine kwa mwanaume maisha yangu yote kama ilivyo sasa kwa kaka mzuri, sipingani nae katika mengi, ni mara chache mno na ni pale ninapoona kabisa kwamba hili sio sahihi.
Kupitia yeye nimegundua kila mwanamke ni mtiifu kwa mwanaume anayempenda kweli, na mwanaume huyo akawa muungwana asiye na chembe ya shaka juu ya upendo wake kwako. Yani kwamba akisema kitu kwa kuwa unajua anakupenda unaona kitakuwa chenye manufaa/sahihi.
Lakini kwa mwanaume mbabe, asiyejali kwakweli asahau utii wa kweli kutoka kwa mwanamke. Huwa tunawadanganya kutii ila kiukweli ni tunawapuuza kuepusha ugomvi.
Aisee🙌Sasa kuna uhusiano gani mpaka umtie bwana wako kwenye mada, au ulihisi hii mada uliandikiwa wewe ujimwambafai na Bwana wako, sawa endelea kuturusha roho ila mimi sikutakii mema kabisa kwenye huo uhusiano wako, labda ungelikuwa hayo unayoyasema unanipenda mimi
Mwanaume yeyote kosa kubwa analoweza kulifanya ni kuonesha upendo wa kweli kwa mwanamke, umekwisha, anaweza kukuvua nguo hadharani, trust me wanaume wenzangu musidanganyikeTupendeni mpaka tuchanganyikiwe muone maajabu!! [emoji6][emoji16]