Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

always the fittest will survive, kama ilivyo kwenye kila nyanja ya maisha, ndivyo ilivyo kwenye mahusiano, ni uhalisia

Fittest in which areas?
.emotional intelligence
.emotional maturity.

Wacha mtifuano uendelee, wacha debate zipambe moto, wacha kila upande ujenge hoja zake muhimu don't get physical.
 
Nshaona, lakini mwanamke hapendi na kutii sehemu isiyo na maokoto hasa wanawake wa mjini. Wanatafsili upendo wakweli ule unaombatana na maokoto na si upendo peke ake kama alivyosema mkuu Extrovert .
Na ni jukumu lako wewe kama mwanaume kutambua sababu ya utii wa mwanamke wako kwako. Kama sababu ni maokoto muache mapema maana siku ukiyakosa utautafuta utii wa mwanamke wako mpaka kwa viongozi wa dini na hutaupata.
Uamuzi ni wenu
 
Na ni jukumu lako wewe kama mwanaume kutambua sababu ya utii wa mwanamke wako kwako. Kama sababu ni maokoto muache mapema maana siku ukiyakosa utautafuta utii wa mwanamke wako mpaka kwa viongozi wa dini na hutaupata.
Uamuzi ni wenu
Ndio maana watu wenye busara na hekima wanashauri vijana waoe mapema kabla hawaja na uchumi imara, ili kuweza kubaini upendo na utii wakweli ambao hauna msukumo wa maokoto. Sema vijana tunakaza vichwa sana, tunaogopa ndoa tukiwa hatuna uhakika wa kula. Just imagine unapata mwanamke anaekutii na kukupenda ukiwa na uwezo wakumpatia mlo mmoja au miwili, unashindwa kutafuta shida zake za Muhimu lakini bado anaonyesha utii.

Lakini wanawake wasasa ukiwatongoza wanauliza suali la kwanza anauliza unafanya kazi gani, ndio suali la kwanza. Ili apime heshima anayoweza kukupatia na kuangalia security ya maisha yake kwako. Kisha baada yahapo atakupa utii wa size ya mfuko wako ulivyo.
 
Mwenyewe nimenyooka hadi najishangaa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Anayekupenda kweli kweli kabisa, atakulinda, atakutetea, atakupa uhuru, atakuonya na atakuficha Na hata kuomba fedha..maana wewe ni wa thamani kwake. Na hiyo ndio heshima... Sio kusikiwa tuu hata kusikia kwa watu wawili wanaopendana huo nao ni usikivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…