Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hili jambo linanihuzunisha sana. Sina cha kuwasaidia lakini angalau nina mdomo na mikono ya kusema na kuandika.
Kila ninapona watoto wadogo wasio na mwelekeo kwemye maisha, hawana pa kulala, kula kwa tabu, kuvaa mtihani na shule ndio kabisa wamepoteza mwelekeo.
Kipindi kama hiki cha mvua mfululizo utawaona watoto wamezagaa mitaani kama vifaranga wasio na mama yao.
Nakumbuka kuwa hawa wana Mama zao na Baba zao.
Kweli hatuna uwezo unaolingana kuwahudumia vizuri lakini angalau tunaweza kutoa emotional support na the atleast the minimum acceptable services.
Watoto wameishia kuwa wahanga wa ulawiti, ukatili wa kingono, matusi na kudumaza utu wao.
Huku baba zao waliokuwa wanajidai miamba ya kula mbususu wamekimbia wajibu matokeo ya matendo yao.
Hata kama mlikosana na mama yao sasa hao watoto walikufanya nini hadi uwatelekeze??
Na nyie wanawake punguzeni nyege muacha kuzaa hovyo hovyo na wanaume wasio na mwelekeo.
Jambo jingine ni kuwa je kwani hata mkitombana lazima mzae??
Kila ninapona watoto wadogo wasio na mwelekeo kwemye maisha, hawana pa kulala, kula kwa tabu, kuvaa mtihani na shule ndio kabisa wamepoteza mwelekeo.
Kipindi kama hiki cha mvua mfululizo utawaona watoto wamezagaa mitaani kama vifaranga wasio na mama yao.
Nakumbuka kuwa hawa wana Mama zao na Baba zao.
Kweli hatuna uwezo unaolingana kuwahudumia vizuri lakini angalau tunaweza kutoa emotional support na the atleast the minimum acceptable services.
Watoto wameishia kuwa wahanga wa ulawiti, ukatili wa kingono, matusi na kudumaza utu wao.
Huku baba zao waliokuwa wanajidai miamba ya kula mbususu wamekimbia wajibu matokeo ya matendo yao.
Hata kama mlikosana na mama yao sasa hao watoto walikufanya nini hadi uwatelekeze??
Na nyie wanawake punguzeni nyege muacha kuzaa hovyo hovyo na wanaume wasio na mwelekeo.
Jambo jingine ni kuwa je kwani hata mkitombana lazima mzae??